Akili zako Kama mpira wa kiume unaovaliwa wakati wa kufanya zinaa,ulishajiuliza hata siku moja walinzi wa area D walikuwa wapi trh 7September 2017? Na aliyeamru wasiwepo lindoni siku hiyo kawajibishwa? Hujui kina madaktari na walimu wametumbuliwa kisa wametumia vyeti vya sekondari vya jamaa zao wakati Bashite anapeta TU nakunenepeana tu. Ulishawahi kuhoji haya?Uzi pumba.