Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?
Unahangaia bure brother. Unachosemà ni kweli. Point ya False-flag attack kutumiwa na maadui wa serikali na point ya internal conflicts zina mashiko kuliko hoja ya serikali kutaka kumwua lissu. Lakini hata ukieleza vipi watu hawataki kujua ukweli na aliyefanya hivyo alijua watu wako hivyo (wepesi kuamini)
 
Unahangaia bure brother. Unachosemà ni kweli. Point ya False-flag attack kutumiwa na maadui wa serikali na point ya internal conflicts zina mashiko kuliko hoja ya serikali kutaka kumwua lissu. Lakini hata ukieleza vipi watu hawataki kujua ukweli na aliyefanya hivyo alijua watu wako hivyo (wepesi kuamini)
Na ndio tatizo lilipo, watu wamekua ni wa kufata mkumbo tu.
Siamini km katika kipindi hiki serikali ingeweza kumshughulikia Lissu kwa muhemko namna hiyo huku wakielewa huyo Lissu karopokwa saana kwenye vyombo vya habari mpk huko nje.
Yah inawezekana walikua na lengo hilo, sio kufikia kumuua kwa risasi. Lissu ni wa hapo hapo mjini serikali ikitaka kumshughulikia haina haja ya kumuua,angeshughulikiwa kimya kimya mpk akaomba poo.
CDM nao wana figisu figisu huko.hasa inapoonekana huyu wakili anayejiita msomi anatishia maslahi ya m/kiti Na mgombea urais 2020
 
Na ndio tatizo lilipo, watu wamekua ni wa kufata mkumbo tu.
Siamini km katika kipindi hiki serikali ingeweza kumshughulikia Lissu kwa muhemko namna hiyo huku wakielewa huyo Lissu karopokwa saana kwenye vyombo vya habari mpk huko nje.
Yah inawezekana walikua na lengo hilo, sio kufikia kumuua kwa risasi. Lissu ni wa hapo hapo mjini serikali ikitaka kumshughulikia haina haja ya kumuua,angeshughulikiwa kimya kimya mpk akaomba poo.
CDM nao wana figisu figisu huko.hasa inapoonekana huyu wakili anayejiita msomi anatishia maslahi ya m/kiti Na mgombea urais 2020
Mkuu walitaka kummaliza hadharani ili kuwatisha wabunge wa upinzani.
 
Ivi kweli serikali inataka kumtoa jamaa inaweza mtumia killer amateur kiasi apige risasi 32 na za kuhit target zisizidi tano? Yan chini ya 16% tu ya risasi zote?

Hebu tuaminishen bwana!

Inamana tz hakuna masniper kbs?

Na makomandoo wote hao?

Mwngne hapo kasema FFU, haki hii ni aibu, FFU ndo hawana shabaha kiasi hicho?

Labda angesema ni mgambo!!

<> semper fi <>
They are not that good my friend. What happened in Kibiti is a testimony-it took moons for them to crack down the killers. By the way, every gunman who intends to kill will fire many bullets to signify that he/she intends to kill. One of the fearsome Mafia boss of all time is Al Capone. He rained bullets on his adversaries on the 14th of February 1929. The incident is famously known as St. Valentine's day massacre. Was his gunmen amateurs to fire so many bullets (70 rounds of ammunition to 7 gangsters)?

Firing many bullets is just a message that you intended to kill. Am sure if the bullets had killed Lissu, we wouldn't be arguing whether they were pro's or amateurs.

Jifunzeni hapa nyie vijana wa leo:St. Valentine’s Day Massacre - Facts & Summary - HISTORY.com
 
Ivi kweli serikali inataka kumtoa jamaa inaweza mtumia killer amateur kiasi apige risasi 32 na za kuhit target zisizidi tano? Yan chini ya 16% tu ya risasi zote?

Hebu tuaminishen bwana!

Inamana tz hakuna masniper kbs?

Na makomandoo wote hao?

Mwngne hapo kasema FFU, haki hii ni aibu, FFU ndo hawana shabaha kiasi hicho?

Labda angesema ni mgambo!!

<> semper fi <>
Sniper anatumika pale ambapo inajulikana wazi anayetakiwa kuuawa atapita sehemu fulani. Je ni kweli wauaji wake walijua atakapoenda mchana ule? Sniper anahitaji jengo/sehemu atakapojificha ili aweze kudungua-hasa juu ya jengo. Kwa eneo la makazi kama Area D, angeweza kupata eneo hilo bila kuhatarisha operesheni nzima?

You skeptical maza fantaz and spin doctors should stop watching too much movies, what happened to Lissu is really while your theories are empty and fake.
 
Sniper anatumika pale ambapo inajulikana wazi anayetakiwa kuuawa atapita sehemu fulani. Je ni kweli wauaji wake walijua atakapoenda mchana ule? Sniper anahitaji jengo/sehemu atakapojificha ili aweze kudungua-hasa juu ya jengo. Kwa eneo la makazi kama Area D, angeweza kupata eneo hilo bila kuhatarisha operesheni nzima?

You skeptical maza fantaz and spin doctors should stop watching too much movies, what happened to Lissu is really while your theories are empty and fake.
As real as wale polisi 10, wenyeviti wa vijiji wa CCM 30 na raia 3, plus nyumba kibao zilizochomwa kibiti...

Unataka kuniaminisha kuwa mtu huyu ni wa thamani kuliko wale wote waliouawa kibiti?

Kama CDM inathamini sana maisha, mbna ckusikia vurugu kama hz wakati ule?

Is this about a tanzanian Lissu, or about a Chademanian Lissu?

Are our life's values different, depending on our political standpoints?

Is that where we are heading now?

<> semper fi <>
 
Sniper anatumika pale ambapo inajulikana wazi anayetakiwa kuuawa atapita sehemu fulani. Je ni kweli wauaji wake walijua atakapoenda mchana ule? Sniper anahitaji jengo/sehemu atakapojificha ili aweze kudungua-hasa juu ya jengo. Kwa eneo la makazi kama Area D, angeweza kupata eneo hilo bila kuhatarisha operesheni nzima?

And, trust me, sniper doesn't need to be in building, he just needs unobstructed view of target, be it in water, or trees.

Na kama ingekuwa gov, icngejarb "kufanya jarbio", ingetekeleza mpango.

Too many gun rounds means not sure of one's doings... (that again means amateurism in a firing person)

Gov inajua kila mahali jamaa angekuwepo, wala icngekuwa na haja ya kufanya jarbio ambalo hawajui kama litafanikiwa au la....

And what about his driver? Yuko wapi mpaka leo?

He is nowhere to be seen... Je huyo mbna hamum accuse?

<> semper fi <>
 
As real as wale polisi 10, wenyeviti wa vijiji wa CCM 30 na raia 3, plus nyumba kibao zilizochomwa kibiti...

Unataka kuniaminisha kuwa mtu huyu ni wa thamani kuliko wale wote waliouawa kibiti?

Kama CDM inathamini sana maisha, mbna ckusikia vurugu kama hz wakati ule?

Is this about a tanzanian Lissu, or about a Chademanian Lissu?

Are our life's values different, depending on our political standpoints?

Is that where we are heading now?

<> semper fi <>
Not only that but also that CUF Mp who passed away, the case wasnt serious to them, even those hu passed away with car accident, people didnt react , right now they ar trying to create the image of Lissu to be seen as a hero, while he z just a snitch hu support Acacia, people hu exploit the wealthy of our country,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungeweka na 5. Inawezekana washambuliaji wakatoka cdm yenyewe katika mpambano wa kugombea mgombea urais wao 2020.
6. Washambuliaji kutoka huko huko cdm ili kuichonganisha serikali na wananchi?
Hili suala ni gumu sana linachohitaji ni kusubiri uchunguzi wa vyombo vya usalama tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kweli na wewe unaamini kuwa kuna uchunguzi wa vyombo vya dola

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kuna waliotekwa wakawa tortured. Kuna waliotolewa bastola hadharani. Kuna waliovamia studios na silaha kali. Hata Lissu alishasema hadharani alipofuatiliwa akiwa Dar.

Yote unayosema ni a long shot. Haya mengine yangekuwa yameshghulikiwa i.e. Kwa Lissu kupewa ulinzi nk. Maybe ningekubaliana na hoja yako.
Kamanda siro ameshasema lissu akirudi aje atuambie ni lini na wapi alikuja polisi kuomba ulinzi akanyimwa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
And, trust me, sniper doesn't need to be in building, he just needs unobstructed view of target, be it in water, or trees.

Na kama ingekuwa gov, icngejarb "kufanya jarbio", ingetekeleza mpango.

Too many gun rounds means not sure of one's doings... (that again means amateurism in a firing person)

Gov inajua kila mahali jamaa angekuwepo, wala icngekuwa na haja ya kufanya jarbio ambalo hawajui kama litafanikiwa au la....

And what about his driver? Yuko wapi mpaka leo?

He is nowhere to be seen... Je huyo mbna hamum accuse?

<> semper fi <>
Kama umeamua kujipendekeza mimi siwezi kukuzuia maana ni tatizo la kisaikolojia.
 
Hesitation hii inatokana na precedent ya "unsolved" cases za matukio ya hivi karibuni kama Ben Saanane, Roma, Nape na bastola, n.k.

Tukirudi kwenye hili tukio.

Katika uchunguzi wowote wa mauaji swali la kwanza ni "Huyu Bwana alikuwa na ugomvi na mtu yoyote?".

Hiyo ni kujua motive ya muuaji. Sasa huyu Lisu ni mwanasiasa. Ameshalala ndani na kukwaruzana na Magufuli mara kibao.

Imetokea amepigwa risasi mara moja watu wanamhisi mgomvi wake. It's only natural. Hivyo Magu hawezi kukwepa kuhisiwa.

Ndiyo maana nasema Serikali ilipaswa imlinde Lisu ili ikitokea mtu anataka kuichonganisha Serikali na watu wake asipate nafasi.

Sasa kosa kubwa kama hili utashangaa hakuna kiongozi mkubwa anawajibishwa. Hili ni kosa kubwa sana kama Serikali haina mkono kwenye hili.

Pia kwa sababu tayari Serikali ni mshukiwa wa kwanza basi adui wa hii Serikali anakuwa mshukiwa wa pili. Adui wa pili ni either hao "wazungu" au watu wa serikali zilizopita wanaochafuliwa na kukwaruzana na Magufuli au nchi zisizopenda amani yetu.

Ipi ni rahisi kati ya "mzungu", ex-Government official au "enemy state" kufanya hili tukio leo katika usomaji wa hii ripoti ambayo ni headline.

Ni wazi ex-Government officials kwa sababu (i) sababu wanayo (kuchonganisha Serikali na kuzima hii ripoti) na (ii) wana access na watu wakufanya hii kazi.

Hii ya kusema ni vibaka (hawajaiba kitu) au ni Chadema wenyewe ni far-fetched assumptions tu.

Kwa hali ilivyo sasa upinzani kufanya hivyo ni kujimaliza kisiasa. For one Lisu is their mouth-piece and secondly, Serikali haipendi upinzani na inatafuta sababu yoyote kuwamaliza.

Pia kusema kwa sababu leo ripoti imesomwa basi hili jambo haliwezi kutendwa na Serikali si sawa kwa sababu hili tukio la kusoma ripoti laweza kuwa the perfect alibi for a crime.

Hizi zote ni speculation lakini ni wazi Serikali ina lawama kubwa ya kubeba kwenye hili tukio na matukio ya nyuma. Hapa natofautiana na wale wanaojaribu kukwepesha hii lawama.
Hatakama sio wao watasema ni wao tu. Watanzania kila mtu ni mpiga ramli. Tunakokwenda kuna watu watakuja kuumbuka humu atakapokuja lisu kusema analojua kuhusu kupigwa risasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kamanda siro ameshasema lissu akirudi aje atuambie ni lini na wapi alikuja polisi kuomba ulinzi akanyimwa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga wa Lissu ni kufanya mambo kama mwanakijiji sijui wa wapi tu!!! Anajua kabisa ukitishiwa au ukiona dalili hatari kwa usalama wako ni wapi pa kwenda kutoa taarifa! Aliishia kuita press conference akidhani ni siasa! Matokeo yake ndo hayo...

Sent from Moto G
 
Kamanda siro ameshasema lissu akirudi aje atuambie ni lini na wapi alikuja polisi kuomba ulinzi akanyimwa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama kuna ambaye wamemfuatilia na kumkamata na kumfungulia mashitaka kwa yale aliyoongea, ambaye waliomba ama walimsubiri aende mwenyewe. Ofcourse watadeal na hii issue politically.
 
Ujinga wa Lissu ni kufanya mambo kama mwanakijiji sijui wa wapi tu!!! Anajua kabisa ukitishiwa au ukiona dalili hatari kwa usalama wako ni wapi pa kwenda kutoa taarifa! Aliishia kuita press conference akidhani ni siasa! Matokeo yake ndo hayo...

Sent from Moto G
Mengine yote anayoongea wanamchukulia serious hadi kumpima mkojo lakini alipozungumza la kutishiwa masikio yalikuwa na pamba?
Mmsichotwe akili na propaganda za kitoto. Kwa akili hizi ndo maana wanatamani kuendelea kutugandamiza.
 
Vipi kuhusu mabomu IMMMA advocate?Kuna uhusiano na hili la Lissu?Washambulizi wa IMMMA walivaa sare gani?

Vipi kuhusu yule aliyemtolea bastola Nape?Kuna uhusiano na hili la Lissu?

Tusubiri uchunguz
uchunguzi???...kabisaa?
 
Back
Top Bottom