Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?
--Kwahiyo Wazungu waliondoa CCTV Camera na Walinzi wote Getini?
--Wazungu wamekataa kuleta Scotland Yard kuja kuchunguza au siyo?
 
Mimi sina msimamo wa chama chochote..
Lakini natumia logic ya kawaida.
Kama huyo jamaa wa wizarani anafahamu mchongo wote je serikali yenye resources zote inashindwa nini kuwashika hao wahuni ili sheria ishike mkondo wake na mwisho wa siku waki tubu lisu naye atakuwa amedakwa kwa kununua nyara za serikali

Kwa Mtu mwenye akili timamu kabla hajatupia uharo wake lazima ajiulize kauli hii Mdau.. maana kwa nini mtu wa serikali awe na gossip ambazo hazifanyiwi kazi na kwa nini wasizitumie kumkamata na kuwakamata wanaouza hizo nyaraka na hao wazungu ili wawajibishwe?? Na hiyo ndio tunaouita uhaini (Trison).. hawa viongozi wa CiCiM waache kutengeneza vijana wasiokuwa na ubongo kuwafanyia propoganda za mitandao maana zinazidi kuwaanika na wanavyuhusika kwa jaribio la kutaka kumuua Lisu. Poule poule awaambie wapost vitu vinavyoendana na uhalisia japo ni vya uongo waache cheap and awkward posts.
 
Yawezekana ulitumwa ukiwa hujijui.

Vitu vingine usiwe kama mtoto.
Mtoto ukimpiga akalia,
Ukimuita ukampa pipi hafu ukamuuliza nani amekupiga hatokutaja.


Hii hoja kwa mazingira ya kuiepusha serikali dhidi ya hili kunahitajika hoja nzito mno hata kama haihusiki.
Waliotumwa kuiba nyaraka ndio waliowaondoa walinzi kule area c?
Kama inavyodaiwa, report za kamera ziko wapi??
Ilikuwaje eneo kama lile shambulozi litekelezwe tena kama vita ya msituni?

Aaaasaa wapi kuwashawishi wa tz kazi ni ngumu.

Muuaji ajurikane tuu vinginevyo hii skendo kuikimbia ni inshu mkuu
Tatizo ni kusikia Lissu alidhulumu wenzie?
 
Uvivu wa serikali na bunge kushughulikia hii ishu vmefanya iwe first suspect
Mkanganyiko wanaojichanya ndio unaotupa wananchi confidence ya kusema hayo
Hamna mwananchi hata mmoja anaeweza kuorganize mauaji yale
Ya Erasto Msuya Arusha!
 
Kwa Mtu mwenye akili timamu kabla hajatupia uharo wake lazima ajiulize kauli hii Mdau.. maana kwa nini mtu wa serikali awe na gossip ambazo hazifanyiwi kazi na kwa nini wasizitumie kumkamata na kuwakamata wanaouza hizo nyaraka na hao wazungu ili wawajibishwe?? Na hiyo ndio tunaouita uhaini (Trison).. hawa viongozi wa CiCiM waache kutengeneza vijana wasiokuwa na ubongo kuwafanyia propoganda za mitandao maana zinazidi kuwaanika na wanavyuhusika kwa jaribio la kutaka kumuua Lisu. Poule poule awaambie wapost vitu vinavyoendana na uhalisia japo ni vya uongo waache cheap and awkward posts.
Una point mkuu..
Haiwezekani eti mfanyakazi mmoja wa wizarani afahamu ukweli wote halafu polisi wawe wanahangaika kufanya upelelezi..
Hizi propaganda mtoa mada akawasimulie mke wake na watoto wake labda kidogo wanaendana akili
 
Leo nimekutana na mdau flani toka wizara flani ya serikali ya Tanzania, tulikuwa tukipata chakula cha mchana sehemu flani hapa dar, sitaitaja jina kwa Sababu flani.akaniambia mdogo wangu shambulizi la Lissu serikali haihusiki hata kidogo, wanaionea bure kabisa, siasa inatupeleka vibaya. Kaniambia unajua shambulizi hili limetokana na kudhulumiana pesa, jamaa zangu walikua wananyofoa nyaraka wizarani wanampa kwa makubaliano ya ujira, tatizo la Lissu Kila alipopewa pesa na wazungu aliwaeleza wale jamaa kwamba bado malipo yanashughulikiwa Kumbe alikua analipwa kwa instalment , wakimsumbua Sana anakata kiwango kidogo Sana, akidai yeye ndo master plan wasiwe na Shaka , sasa jamaa wakaona huyu tunamtajirisha yeye huku Sisi Kazi zetu zipo hatarini, ndo maana wakaona dawa ni ku revenge, jamaa Kaniambia wazungu walimtegemea Sana Lissu , na yeye aliwaambia wasiwe na Shaka kwa kua ametengeneza mtandao mpana kuhakikisha serikali haifurukuti kwa Mikataba iliofungwa hapo nyuma.

Tuwe na subra, mengi tutayasikia, yatabadilisha mitizamo yetu kabisa
Kumbe ni kweli serikali inahusika
 
Kuna maandiko mengine ukiyasoma unashindwa kuelewa dhamira ya anayeleta andiko hilo. Hili andiko hata mwanafunzi wa darasa la saba hawezi jenga hoja ya aina hii
 
Umetumwa uje upime upepo kama bado watu ni wajinga? Kama ni kweli umeambiwa na mtu sijui wa serekali sijui nani, huyo lazima atakuwa ni wale tiss wazee wenye mbinu za wakati barua inachapwa kwa typewriter. Hizo mbinu za hivyo ni zile za wale tiss waliosoma nchi za ulaya mashariki ambako ilikuwa ni sheria kusikiliza habari za kiongozi wa nchi kila siku. Halafu thetallest unajiaibisha wewe kama kijana kuambiwa mambo na wazee wanausibiri kustaafu walipwe mafao yao halafu uje kutuletea huo upuuzi hapa jukwaani.
Mkuu tindo yote hayo yanatoka wapi?, Nilitegemea jibu fupi tu la kistarabu kwa hukubaliani na nilicho share
 
Bro kumbuka unachokiandika humu kuna watu wamekupita mara mia saba katika zoezi la kufikiria. So is better ukae kimya tu kuliko kujidharikisha na ujinga unaoleta. Tutakupiga
 
Wengine wanasema eee lisu kashutiwa na watu El kwa sababu alionesha dalili za kumreplace kwenye kinyang'anyiro cha uraisi na wengine wakasema kuwa ameshutiwa na watu wasiojulikana a.k.a TISS mbona tutasikia mengi huu mwaka mpya
 
Ingekuwa hivyo serikali ingekuwa mstari wa mbele kuchunguza na hata huo uchunguzi huru wa kimataifa ulioombwa ungeruhusiwa. Hoja ya kijinga sana hii ya mtu asiyejua kutengeneza uongo
Muda ni mwalimu
 
Leo nimekutana na mdau flani toka wizara flani ya serikali ya Tanzania, tulikuwa tukipata chakula cha mchana sehemu flani hapa dar, sitaitaja jina kwa Sababu flani.akaniambia mdogo wangu shambulizi la Lissu serikali haihusiki hata kidogo, wanaionea bure kabisa, siasa inatupeleka vibaya. Kaniambia unajua shambulizi hili limetokana na kudhulumiana pesa, jamaa zangu walikua wananyofoa nyaraka wizarani wanampa kwa makubaliano ya ujira, tatizo la Lissu Kila alipopewa pesa na wazungu aliwaeleza wale jamaa kwamba bado malipo yanashughulikiwa Kumbe alikua analipwa kwa instalment , wakimsumbua Sana anakata kiwango kidogo Sana, akidai yeye ndo master plan wasiwe na Shaka , sasa jamaa wakaona huyu tunamtajirisha yeye huku Sisi Kazi zetu zipo hatarini, ndo maana wakaona dawa ni ku revenge, jamaa Kaniambia wazungu walimtegemea Sana Lissu , na yeye aliwaambia wasiwe na Shaka kwa kua ametengeneza mtandao mpana kuhakikisha serikali haifurukuti kwa Mikataba iliofungwa hapo nyuma.

Tuwe na subra, mengi tutayasikia, yatabadilisha mitizamo yetu kabisa
Hebu waambie hawa jamaa manaake wanachosha,
 
Usitufanye sisi ni mambumbumbu.
Sasa hivi hata kichanga kinamjua aliyetaka kumuua Tundu Lisu.
Nijibu maswali haya machache kwanza ili tuendeleze mjadala;
1.Polisi(FFU) waliolinda block D alipokuwa anaishi Lisu unajua sasa hivi wako wapi na nini hatma yao?
2.Tuambie CCTV camera za eneo lile la tukio ziko wapi, server zake ziko wapi?
ziliondolewa na nani?
3.Umewahi kupata mafunzo yoyote ya kijeshi?
Kwa mahali lilipotokea tukio plus muda ambao tukio lilitokea ungekuwa umepitia hata mafunzo ya Skauti ndipo ungejua kuwa wale wasiojulikana bila tukio kuwa organised na kamati ya ulinzi lazima wangeshikwa.
Tanzania ya leo si ile ya 77 , macho ya watanzania yanaona sana.
Nilipanga nikutukane ile nimeghairi.
 
Hoja sio Lissu kapigwa kwa sababu gani hoja ni wakinanani wamehusika kitendo alichofanyiwa Lisu ni kosa kisheria kwa hiyo hao watu lazima wajibu

Huu utaratibu mnaoleta wa kuleta hoja za kuhalalisha kosa ni upuuzi ambao unaweza kuungwa mkono na zelo blan tu sio mtu mwenye akiri timamu
 
Mkuu tindo yote hayo yanatoka wapi?, Nilitegemea jibu fupi tu la kistarabu kwa hukubaliani na nilicho share

Tunajua uwezo wako wa kujenga hoja, ukija na hoja ya kipuuzi tunakurudisha nayo kwa mateke na mangumi.
 
Back
Top Bottom