Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?
Tokea mnadhimu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni T Lisu apigwe risasi mchana kweupe kuna nadharia kadhaa zimeibuka kujaribu kuelezea huo upigwaji risasi wa Lisu.

Lisu mwenyewe alipotembelewa na makamu wa rais akiwa Nairobi alikiri wazi kuwa hawajui waliompiga risasi na kuviachia vyombo vya dola vifanye uchunguzi wake.
Ingawa hivi majuzi akiwa ubeligiji ameibuka na kuihusisha serikali na upigwaji wake risasi.

Nadharia nyingine inatokea ndani ya chama cha chadema ,gazeti la Jamvi la habari wameelezea A to Z kuwa Lisu alipigwa risasi baada ya kutishia uenyekiti wa Mbowe. Wameeleza siku chache kabla ya kupigwa risasi kulikuwa na vikao kadhaa vya wanachadema wakimtaka Lisu agombee uenyekiti.

Pia aliyekuwa mbunge wa Ukonga na mjumbe wa kamati kuu ya chadema naye alinogesha nadharia hii baada ya kuelezea namna watu wanavyopata misukosuko wakitangaza kugombea uenyekiti ndani ya chadema.

Waitara alihusisha kufa kwa Chacha Wangwe ,kutaka kulishwa sumu kwa Zito Kabwe ,kupigwa risasi kwa Lisu na yeye mwenyewe kutishiwa kushughulikiwa iwapo atagusa kiti cha mwenyekiti ndani ya chama..

Kama kweli Mbowe anasingiziwa kwenye tuhuma hizi za kuuwa watu wanaotaka kugombea uenyekiti ndani ya chama basi aende mahakamani kutaka kusafishwa na tuhuma hizi.
Mbowe akiendelea kukaa kimya bila kuwaburuta mahakamani wanaomtuhumu basi , mamilioni ya watanzania watajua ni kweli View attachment 829281View attachment 829284
Unastahili u DC
 
Akiwa Nairobi kasema HAWAJUI waliompiga risasi, akiwa Ubelgiji kasema ANAWAJUA waliompiga risasi, huyu zimeanza KUDATA, haraka akifika AWAHISHWE MIREMBE !
 
Yaani MBOWE ana mambo ya "ajabu" kweli kweli, apange kumuua LISSU, halafu aondoe ulinzi wote wa kiserekali kwenye eneo husika na kama haitoshi akazipotezesha kamera za CCT (kwa waziri nani sijui) kutoka eneo husika. Halafu akaenda na LISSU Nairobi na huko akashindwa kum-maliza mlengwa wake. Kana kwamba haitoshi akalipiga ganzi jeshi la polisi lisijue la kufanya hata kupata taarifa za kilichotokea toka kwa LISSU na DEREVA wake. HII SINGLE YA CCM IMECHUJA WATAFUTE NYINGINE.
Wanawatumia Watu ambao uwezo wao wa Kufiri umefika Kikomo ''If yo dot know where you are going any road will take you there''
 
Kuna nadharia zinajengwa kupotezea watu muda hasa magazeti hayo. Shida ni Chadema ivunjike au waweke vibaraka wao that is why very day Chasema. Njia mbona fupi sana Serikali iitishe bunge la dharura lifute ile sehemu kwenye katiba inayoruhusu uwepo wa vyama pinzani. CCM ibaki yenyewe watu tupumue sio lazima upinzani uwepo kabisa. hakuna haja ya kuwindana kama swala hapa.
 
Tokea mnadhimu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni T Lisu apigwe risasi mchana kweupe kuna nadharia kadhaa zimeibuka kujaribu kuelezea huo upigwaji risasi wa Lisu.

Lisu mwenyewe alipotembelewa na makamu wa rais akiwa Nairobi alikiri wazi kuwa hawajui waliompiga risasi na kuviachia vyombo vya dola vifanye uchunguzi wake.
Ingawa hivi majuzi akiwa ubeligiji ameibuka na kuihusisha serikali na upigwaji wake risasi.

Nadharia nyingine inatokea ndani ya chama cha chadema ,gazeti la Jamvi la habari wameelezea A to Z kuwa Lisu alipigwa risasi baada ya kutishia uenyekiti wa Mbowe. Wameeleza siku chache kabla ya kupigwa risasi kulikuwa na vikao kadhaa vya wanachadema wakimtaka Lisu agombee uenyekiti.

Pia aliyekuwa mbunge wa Ukonga na mjumbe wa kamati kuu ya chadema naye alinogesha nadharia hii baada ya kuelezea namna watu wanavyopata misukosuko wakitangaza kugombea uenyekiti ndani ya chadema.

Waitara alihusisha kufa kwa Chacha Wangwe ,kutaka kulishwa sumu kwa Zito Kabwe ,kupigwa risasi kwa Lisu na yeye mwenyewe kutishiwa kushughulikiwa iwapo atagusa kiti cha mwenyekiti ndani ya chama..

Kama kweli Mbowe anasingiziwa kwenye tuhuma hizi za kuuwa watu wanaotaka kugombea uenyekiti ndani ya chama basi aende mahakamani kutaka kusafishwa na tuhuma hizi.
Mbowe akiendelea kukaa kimya bila kuwaburuta mahakamani wanaomtuhumu basi , mamilioni ya watanzania watajua ni kweli View attachment 829281View attachment 829284

Kwanini makonda na jpm wasiende mahakamani baada ya lisu kuwataja juzi.acha wehu
 
Yaani huu utoto mngeufanya sana kama Lissu angefariki ili mjisafishe,Lakini uzuri Mungu amemuokoa.Atawapa vidonge vyenu mpaka muache unafiki.Jibu hizi hoja
1.CCTV kwanini ilitolewa
2.Ulinzi ulikuepo wapi siku ile???
Hoja zipo nyingi mkuu ngoja niishie hapo mana hata ww mwenyew ukweli pengine unaujua ila unajaribu tu kuchangamsha genge.
 
Yaani huu utoto mngeufanya sana kama Lissu angefariki ili mjisafishe,Lakini uzuri Mungu amemuokoa.Atawapa vidonge vyenu mpaka muache unafiki.Jibu hizi hoja
1.CCTV kwanini ilitolewa
2.Ulinzi ulikuepo wapi siku ile???
Hoja zipo nyingi mkuu ngoja niishie hapo mana hata ww mwenyew ukweli pengine unaujua ila unajaribu tu kuchangamsha genge.
CCTV camera zipo polisi kwa ajili ya uchunguzi
 
wewe mtoa hoja hii unamatatizo ya mtindio wa akili,mh.Mbowe aende mahakamani kwa swala gani?unajua taratibu za kisheria kuhusu mahakama?elewa unaishi kwenye nchi ya wasadikika ambao una so called police force hawana hata uwezo wa to secure a crime scene?wao ni wajuaji wa kukimbizana na wanasiasa wa upande wa upinzani tu,na petty crimes mitaani,elewa nchi yako ni lango kuu la human trafficking(wahamiaji wengi wamekufa ndani ya nchi yetu wakisafirishwa na sycdicates mbali mbali),nchi yetu ni lango kuu la madawa ya kulevya hasa heroiuns kutoka india na jirani zake,nchi yako ni moja ya vituo vikuu vya usafirishaji wa fedha haramu kwa magaidi walioko jijini Kabul,nilitegemea utatumia mada yako to put pressure on police kuwa why until now hawajatuambia nini went wrongs hadi Mh.Lisu akajeruhuwa na risasi,ubinafsi wetu watanzania ndio tumeuweka mbele wewe hujui kuwa familia ya Lisu kikatiba wana haki ya kuambia ukweli nini kilijiri hadi mpendwa wao akajeruhiwa kwa risasi,maiti nyingi zimeokotwa kwenye viroba hadi leo hakuna maelezo,Dr.anakufa pale kijijini kwao Tanga hakuna maelezo eti amejinyonga!!hakuna foresinc reports!!!,unaishi nchi ambayo may be haina hata forensic pathologist(matokeo yake GPs na MAs ndio wanatuandikia repoti za forensic)tuendelee kusubiri meli yetu ya noah pale KIA.
 
wewe mtoa hoja hii unamatatizo ya mtindio wa akili,mh.Mbowe aende mahakamani kwa swala gani?unajua taratibu za kisheria kuhusu mahakama?elewa unaishi kwenye nchi ya wasadikika ambao una so called police force hawana hata uwezo wa to secure a crime scene?wao ni wajuaji wa kukimbizana na wanasiasa wa upande wa upinzani tu,na petty crimes mitaani,elewa nchi yako ni lango kuu la human trafficking(wahamiaji wengi wamekufa ndani ya nchi yetu wakisafirishwa na sycdicates mbali mbali),nchi yetu ni lango kuu la madawa ya kulevya hasa heroiuns kutoka india na jirani zake,nchi yako ni moja ya vituo vikuu vya usafirishaji wa fedha haramu kwa magaidi walioko jijini Kabul,nilitegemea utatumia mada yako to put pressure on police kuwa why until now hawajatuambia nini went wrongs hadi Mh.Lisu akajeruhuwa na risasi,ubinafsi wetu watanzania ndio tumeuweka mbele wewe hujui kuwa familia ya Lisu kikatiba wana haki ya kuambia ukweli nini kilijiri hadi mpendwa wao akajeruhiwa kwa risasi,maiti nyingi zimeokotwa kwenye viroba hadi leo hakuna maelezo,Dr.anakufa pale kijijini kwao Tanga hakuna maelezo eti amejinyonga!!hakuna foresinc reports!!!,unaishi nchi ambayo may be haina hata forensic pathologist(matokeo yake GPs na MAs ndio wanatuandikia repoti za forensic)tuendelee kusubiri meli yetu ya noah pale KIA.
Lakini vita ya dawa za kulevya ilipoanzishwa ulipinga sana na ukaanza kutetea wauza madawa
 
Tokea mnadhimu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni T Lisu apigwe risasi mchana kweupe kuna nadharia kadhaa zimeibuka kujaribu kuelezea huo upigwaji risasi wa Lisu.

Lisu mwenyewe alipotembelewa na makamu wa rais akiwa Nairobi alikiri wazi kuwa hawajui waliompiga risasi na kuviachia vyombo vya dola vifanye uchunguzi wake.
Ingawa hivi majuzi akiwa ubeligiji ameibuka na kuihusisha serikali na upigwaji wake risasi.

Nadharia nyingine inatokea ndani ya chama cha chadema ,gazeti la Jamvi la habari wameelezea A to Z kuwa Lisu alipigwa risasi baada ya kutishia uenyekiti wa Mbowe. Wameeleza siku chache kabla ya kupigwa risasi kulikuwa na vikao kadhaa vya wanachadema wakimtaka Lisu agombee uenyekiti.

Pia aliyekuwa mbunge wa Ukonga na mjumbe wa kamati kuu ya chadema naye alinogesha nadharia hii baada ya kuelezea namna watu wanavyopata misukosuko wakitangaza kugombea uenyekiti ndani ya chadema.

Waitara alihusisha kufa kwa Chacha Wangwe ,kutaka kulishwa sumu kwa Zito Kabwe ,kupigwa risasi kwa Lisu na yeye mwenyewe kutishiwa kushughulikiwa iwapo atagusa kiti cha mwenyekiti ndani ya chama..

Kama kweli Mbowe anasingiziwa kwenye tuhuma hizi za kuuwa watu wanaotaka kugombea uenyekiti ndani ya chama basi aende mahakamani kutaka kusafishwa na tuhuma hizi.
Mbowe akiendelea kukaa kimya bila kuwaburuta mahakamani wanaomtuhumu basi , mamilioni ya watanzania watajua ni kweli View attachment 829281View attachment 829284
This is non sense at the highest level
 
Kwa hili uliloliandika na kulishadia ukiitwa MPUMBAVU utakuwa umetendewa haki yako.
Hivi sheria za nchi zinamakengeza? Maana wewe ni mpumbavu kama wengine wanavyoshabikia hata ya kawaida ngoja nikupe mifano midogo tuu ya nani mwenye wajibu katika taifa letu panapotokea na sintofahamu yote.
Ulishawahi kusikia KESI NI YA JAMHURI? UNAMJUA HUYO JAMHURI? HUWA ANAJITOKEZA WAKATI GANI? Mfano Umezaa mtoto wako kwa raha zako then umjeruhi sana na pengine kumsababishia umauti, unajua kitakachotokea? Je, utachekewa na serikali? Hapo ndipo JAMHURI UTAKAPOMUONA ili upate haki yako kwa madhira uliyosababisha.
Sasa tuje kwa ishu ya LISU, kama kweli wanaotajwa tajwa ambao mara nyingi watajaji ni walewale wenye mlengo wa NDIYO MZEE bila kujifikia na kujitafakari kuwa wanapotea si wangehojiwa wakatoa maelezo sahihi nani alitenda ovu hilo na mara moja JAMHURI akasimamamia hilo ili haki itendeke. Sasa mbona ni zaidi ya Mwaka hakuna waliokamatwa?
Kuna nini na huyo Mbowe? Kwa jinsi anavyosakamwa kwa kuelekezwa kila ovu basi naona huyo ni mwema zaidi, la sivyo naye tungeshamsahau maana tulishaambiwa JAMHURI anamkono mrefu, sasa kwa Mbowe ndo unapinda au kuwa mfupi?
Jitafakarini kwa buku 7 zenu hizo na vigazeti uchwala ambavyo vinaibua mambo ya ajabu ila havikemewi ila Magazeti makini ya kiuchunguzi na yenye data sahihi yanatishiwa na kufungiwa.


Tokea mnadhimu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni T Lisu apigwe risasi mchana kweupe kuna nadharia kadhaa zimeibuka kujaribu kuelezea huo upigwaji risasi wa Lisu.

Lisu mwenyewe alipotembelewa na makamu wa rais akiwa Nairobi alikiri wazi kuwa hawajui waliompiga risasi na kuviachia vyombo vya dola vifanye uchunguzi wake.
Ingawa hivi majuzi akiwa ubeligiji ameibuka na kuihusisha serikali na upigwaji wake risasi.

Nadharia nyingine inatokea ndani ya chama cha chadema ,gazeti la Jamvi la habari wameelezea A to Z kuwa Lisu alipigwa risasi baada ya kutishia uenyekiti wa Mbowe. Wameeleza siku chache kabla ya kupigwa risasi kulikuwa na vikao kadhaa vya wanachadema wakimtaka Lisu agombee uenyekiti.

Pia aliyekuwa mbunge wa Ukonga na mjumbe wa kamati kuu ya chadema naye alinogesha nadharia hii baada ya kuelezea namna watu wanavyopata misukosuko wakitangaza kugombea uenyekiti ndani ya chadema.

Waitara alihusisha kufa kwa Chacha Wangwe ,kutaka kulishwa sumu kwa Zito Kabwe ,kupigwa risasi kwa Lisu na yeye mwenyewe kutishiwa kushughulikiwa iwapo atagusa kiti cha mwenyekiti ndani ya chama..

Kama kweli Mbowe anasingiziwa kwenye tuhuma hizi za kuuwa watu wanaotaka kugombea uenyekiti ndani ya chama basi aende mahakamani kutaka kusafishwa na tuhuma hizi.
Mbowe akiendelea kukaa kimya bila kuwaburuta mahakamani wanaomtuhumu basi , mamilioni ya watanzania watajua ni kweli View attachment 829281View attachment 829284
 
Tokea mnadhimu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni T Lisu apigwe risasi mchana kweupe kuna nadharia kadhaa zimeibuka kujaribu kuelezea huo upigwaji risasi wa Lisu.

Lisu mwenyewe alipotembelewa na makamu wa rais akiwa Nairobi alikiri wazi kuwa hawajui waliompiga risasi na kuviachia vyombo vya dola vifanye uchunguzi wake.
Ingawa hivi majuzi akiwa ubeligiji ameibuka na kuihusisha serikali na upigwaji wake risasi.

Nadharia nyingine inatokea ndani ya chama cha chadema ,gazeti la Jamvi la habari wameelezea A to Z kuwa Lisu alipigwa risasi baada ya kutishia uenyekiti wa Mbowe. Wameeleza siku chache kabla ya kupigwa risasi kulikuwa na vikao kadhaa vya wanachadema wakimtaka Lisu agombee uenyekiti.

Pia aliyekuwa mbunge wa Ukonga na mjumbe wa kamati kuu ya chadema naye alinogesha nadharia hii baada ya kuelezea namna watu wanavyopata misukosuko wakitangaza kugombea uenyekiti ndani ya chadema.

Waitara alihusisha kufa kwa Chacha Wangwe ,kutaka kulishwa sumu kwa Zito Kabwe ,kupigwa risasi kwa Lisu na yeye mwenyewe kutishiwa kushughulikiwa iwapo atagusa kiti cha mwenyekiti ndani ya chama..

Kama kweli Mbowe anasingiziwa kwenye tuhuma hizi za kuuwa watu wanaotaka kugombea uenyekiti ndani ya chama basi aende mahakamani kutaka kusafishwa na tuhuma hizi.
Mbowe akiendelea kukaa kimya bila kuwaburuta mahakamani wanaomtuhumu basi , mamilioni ya watanzania watajua ni kweli View attachment 829281View attachment 829284
Wewe mpumbavu kweli ,nyie ndiyo MNA polisi na mahakama kama kweli amefanya hivyo mnagwaya nini kumchukulia hatua? Damu ya Lissu itawatesa sana na 2020 hamfiki wapumbavu wa kubwa.
 
Tokea mnadhimu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni T Lisu apigwe risasi mchana kweupe kuna nadharia kadhaa zimeibuka kujaribu kuelezea huo upigwaji risasi wa Lisu.

Lisu mwenyewe alipotembelewa na makamu wa rais akiwa Nairobi alikiri wazi kuwa hawajui waliompiga risasi na kuviachia vyombo vya dola vifanye uchunguzi wake.
Ingawa hivi majuzi akiwa ubeligiji ameibuka na kuihusisha serikali na upigwaji wake risasi.

Nadharia nyingine inatokea ndani ya chama cha chadema ,gazeti la Jamvi la habari wameelezea A to Z kuwa Lisu alipigwa risasi baada ya kutishia uenyekiti wa Mbowe. Wameeleza siku chache kabla ya kupigwa risasi kulikuwa na vikao kadhaa vya wanachadema wakimtaka Lisu agombee uenyekiti.

Pia aliyekuwa mbunge wa Ukonga na mjumbe wa kamati kuu ya chadema naye alinogesha nadharia hii baada ya kuelezea namna watu wanavyopata misukosuko wakitangaza kugombea uenyekiti ndani ya chadema.

Waitara alihusisha kufa kwa Chacha Wangwe ,kutaka kulishwa sumu kwa Zito Kabwe ,kupigwa risasi kwa Lisu na yeye mwenyewe kutishiwa kushughulikiwa iwapo atagusa kiti cha mwenyekiti ndani ya chama..

Kama kweli Mbowe anasingiziwa kwenye tuhuma hizi za kuuwa watu wanaotaka kugombea uenyekiti ndani ya chama basi aende mahakamani kutaka kusafishwa na tuhuma hizi.
Mbowe akiendelea kukaa kimya bila kuwaburuta mahakamani wanaomtuhumu basi , mamilioni ya watanzania watajua ni kweli View attachment 829281View attachment 829284
Anayetakiwa kushitaki ni raia mwema aliyeona mipango ikipangwa.
 
Wewe mpumbavu kweli ,nyie ndiyo MNA polisi na mahakama kama kweli amefanya hivyo mnagwaya nini kumchukulia hatua? Damu ya Lissu itawatesa sana na 2020 hamfiki wapumbavu wa kubwa.
Ulishawahi kugombea uenyekiti wa chadema?
 
Back
Top Bottom