Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Amelaaaniwa yeye na vizazi vyake vyote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mara zote huwa hawajielewi kama wamepigwa laana.Huwa wanabaki kuweweseka na kughubikwa na hasira muda wote kama mfalme Saul enzi za Daudi.Upofu wa kiroho huwafumba mengi ingawa wana macho ya kimwili.Kizazi changu KAMWE hakitapata laana maana unlike you sifurahii uovu. Kwa maneno na vitendo vyangu. Laana ni kwa watu aina yako wanaofanya na kushangilia uovu.
wale wachungaji wote na manabialiokuwa wamejazana Ikulu wamesemaje?Neno la Mungu halijawahi kuanguka bure, likisema ukifanya hivi utabarikiwa lazima utabarikiwa pindi tu ukifanya, likisema utalaaniwa ukifanya hivi, na wewe ukafanya basi lazima ulaaniwe.
Unaweza ukawa mfalme au mtu maarufu lakini ukawa uko chini ya laana.
Ukiwa chini ya laana ni mateso makubwa, kizazi chako chote kinalaaniwa kupitia wewe, Mungu anachukia mpaka shamba lako. Amani ya kudumu inang'olewa nyumbani mwako, unapanda mbegu magunia hata kumi unavuna gunia moja(juhudi na matokeo vinakinzana).
Na mwisho kabisa unakuwa na mwisho mbaya.
Watanzania tunaomwamini Mungu tufunge mjadala wa juu ya attempt ya mauaji ya Lisu , huyu mtu ashajiweka chini ya laana.
Ataangushwa kama umeme na Mungu mwenyewe.
I believe in God, I have seen His dids, He is absolutely true.
Nimeandika katika roho.
Mungu amekusikia ila mbinguni ni moto tu haijalishi ulikuwa nani hapa Duniani Amen
wale wachungaji wote na manabialiokuwa wamejazana Ikulu wamesemaje?
Wakati mwingine hakuna Ulazima wa kuamka tu asubuhi na kujifanya mchungaji. Pata angalau uji.
Hivi hadi leo wewe hujawajua walio panga kwa siri muua Lissu?
Hao ndo walio laanaia, na dalili za kulaaniwa ni kama makelele hayo, na aliye laaniwa kuliko wote siku hizi kimya, dalili zingine ni kushindwa kwa shughuli wazipangazo maana waliolaaniwa na kazi za mikono yao pia zimelaaniwa.
Mkuu mbona unatapatapa? Mtu hajatajwa ila unaweweseka na kupost mara mbili mbili hadi unaanza kubishana na maandiko! Baadaye mkiambiwa wahusika ni ninyi mnakataa wakati mnajionesha wazi.Pia fahamu malipo ni hapahapa duniani, pengine Lissu nae kalipwa malipo yake, wewe huwezi jua
Sent using Jamii Forums mobile app
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu uumbe huu uaisha ikiwa unakuhusu wewe, huwezi kuupenda. Lakini ndio kweli.Neno la Mungu halijawahi kuanguka bure, likisema ukifanya hivi utabarikiwa lazima utabarikiwa pindi tu ukifanya, likisema utalaaniwa ukifanya hivi, na wewe ukafanya basi lazima ulaaniwe.
Unaweza ukawa mfalme au mtu maarufu lakini ukawa uko chini ya laana.
Ukiwa chini ya laana ni mateso makubwa, kizazi chako chote kinalaaniwa kupitia wewe, Mungu anachukia mpaka shamba lako. Amani ya kudumu inang'olewa nyumbani mwako, unapanda mbegu magunia hata kumi unavuna gunia moja(juhudi na matokeo vinakinzana).
Na mwisho kabisa unakuwa na mwisho mbaya.
Watanzania tunaomwamini Mungu tufunge mjadala wa juu ya attempt ya mauaji ya Lisu , huyu mtu ashajiweka chini ya laana.
Ataangushwa kama umeme na Mungu mwenyewe.
I believe in God, I have seen His dids, He is absolutely true.
Nimeandika katika roho.
Sio korosho tu, makinikia, Bombadier, expansion joint.Korosho zimefanyeje?
Kile Ulaya walipoachaana kuua hovyo na.kutambua umuhumu wa uhai na umuhimu wa haki za binadamu kule maendeleo ni nje nje, kila wanachofamya kinasonga mebeli, teknolojia inapaa, hawajafeli kitu. Hizi ni baraka.Na ameshalaaniwa kwelikweli..
Ona anavyotapatapa kaa kuku anaekata roho...
Kula analolianzisha halifanikiwi na halitofanikiwa..
Laana hiyo.
Kile Ulaya walipoachaana kuua hovyo na.kutambua umuhumu wa uhai na umuhimu wa haki za binadamu kule maendeleo ni nje nje, kila wanachofamya kinasonga mebeli, teknolojia inapaa, hawajafeli kitu. Hizi ni baraka.
Kwa kitendo cha kumwokoa katika mazingira Yale ni dalili wazi kuwa Mungu anaenda kulipa kisasi yeye Mwenyewe.Neno la Mungu halijawahi kuanguka bure, likisema ukifanya hivi utabarikiwa lazima utabarikiwa pindi tu ukifanya, likisema utalaaniwa ukifanya hivi, na wewe ukafanya basi lazima ulaaniwe.
Unaweza ukawa mfalme au mtu maarufu lakini ukawa uko chini ya laana.
Ukiwa chini ya laana ni mateso makubwa, kizazi chako chote kinalaaniwa kupitia wewe, Mungu anachukia mpaka shamba lako. Amani ya kudumu inang'olewa nyumbani mwako, unapanda mbegu magunia hata kumi unavuna gunia moja(juhudi na matokeo vinakinzana).
Na mwisho kabisa unakuwa na mwisho mbaya.
Watanzania tunaomwamini Mungu tufunge mjadala wa juu ya attempt ya mauaji ya Lisu , huyu mtu ashajiweka chini ya laana.
Ataangushwa kama umeme na Mungu mwenyewe.
I believe in God, I have seen His dids, He is absolutely true.
Nimeandika katika roho.
Nimeota huyo asiyejulikana hata akiombewa na manabii hatabarikiwa,atakosa amani siku zote za uhai wake,hatakua na furaha kama alivyo Sikh hizi,ataendelea kua na aibu.Neno la Mungu halijawahi kuanguka bure, likisema ukifanya hivi utabarikiwa lazima utabarikiwa pindi tu ukifanya, likisema utalaaniwa ukifanya hivi, na wewe ukafanya basi lazima ulaaniwe.
Unaweza ukawa mfalme au mtu maarufu lakini ukawa uko chini ya laana.
Ukiwa chini ya laana ni mateso makubwa, kizazi chako chote kinalaaniwa kupitia wewe, Mungu anachukia mpaka shamba lako. Amani ya kudumu inang'olewa nyumbani mwako, unapanda mbegu magunia hata kumi unavuna gunia moja(juhudi na matokeo vinakinzana).
Na mwisho kabisa unakuwa na mwisho mbaya.
Watanzania tunaomwamini Mungu tufunge mjadala wa juu ya attempt ya mauaji ya Lisu , huyu mtu ashajiweka chini ya laana.
Ataangushwa kama umeme na Mungu mwenyewe.
I believe in God, I have seen His dids, He is absolutely true.
Nimeandika katika roho.
Nimeota huyo asiyejulikana hata akiombewa na manabii hatabarikiwa,atakosa amani siku zote za uhai wake,hatakua na furaha kama alivyo Sikh hizi,ataendelea kua na aibu.