Mkulima ni nani,
Nani aliopo nyuma ya mkulima,
Nani aliyempa taarifa kama ndege yetu ipo kanada na itatoka na tarehe hiyo.
Ni wakati mzuri wa kushughulika nao.
WAKIWEKA UGOKO WEKA CHUMA!
Au wale wakulima wa korosho walio andamana kupongeza serikali kununua zao hiloSisi wakulima wetu wanadai mahakamani Rais atawale milele, nadhani umeona tofauti
Mkulima ni nani,
Nani aliopo nyuma ya mkulima,
Nani aliyempa taarifa kama ndege yetu ipo kanada na itatoka na tarehe hiyo.
Ni wakati mzuri wa kushughulika nao.
WAKIWEKA UGOKO WEKA CHUMA!
Dada dawa ya deni ni kulipa sio kutwa unaropoka majukwaani kama zuzuVibaraka wa mabeberu wanaenda kuaibika vibaya
Wanatambulika
Pole kwa Rais wa JMT kwa ndege yake kukamatwa.
Pole kwa Waziri Kabudi kwa TZ kusalitowa.
Pole kwa Waziri Mahiga kwa mateso kutuma vijana Canada
Pole kwa serikali yetu yote kwasababu ndege ni ya serikali.
Pole kwa CCM, kwasababu serikali ni ya CCM.
Pole kwa wanasheria watakaoteseka.
Pole kwa ATC ndege yao kukamatwa hivyo kuchelewesha kupiga pesa.
Pole kwa sisi Watanzania wote kwa ndege yetu kukamatwa na kututia hasara ambayo ni sisi tutaifidia.
Ndege ni rais Magufuli kwasababu ndiye aliyeamua kuinunua kwa cash money.
Ndege ni ya serikali kwasababu inamilikiwa na serikali 100%.
Ndege ni ya ATCL kwasababu ATCL ndio wanaitumia.
Ndege ni ya Sisi Watanzania wote kwasababu fedha zilizonunulia ni fedha zetu, na sisi ndio tunaoipanda.
Pole wote
P
Ni mkulima au wale Wa barabara ya bagamoyoWakati wa kuchekeana hakuna tena!
Wakati wa kuchekeana hakuna tena!
Hata mimi ni mkulima isipokuwa anataka kujaribu kutuyumbusha ole wao vibaraka waliopo nyuma yake!
Dada dawa ya deni ni kulipa sio kutwa unaropoka majukwaani kama zuzu
Hapo sasa.Mchawi ni sisi wenyewe mambo ya kupenda sifa na kujitangaza hovyohovyo ndiko kunatuponza, kwani kwenye majukwaa ya mapokezi ya ndege huwa hatusemi ndege ngapi tumepokea na ngapi zinakuja tena kwa tarehe?
Nimeshangaaa sana.Hii ni
Hii ni wewe umeandika au mkeo asiekupenda maana wewe sio wa kuandika hivi
Kaandamane ubalozi wa Canada wakuvunje kiuno
Kala mbegu!Ni mkulima au wale Wa barabara ya bagamoyo
Kwani akimiliki itakuwa ajabu!Punguza mahaba Pascaly raisi hajawahi kumiliki ndege
Ulidhania ni sawa na wakulima wa korosho?
Huyu Pascal Mayalla asipokumbukwa awamu hii kupewa uwongozi hata ujumbe wa nyumba kumi atakuwa ni kiumbe mwenye gundu baya maana jamaa anajua kujipendekeza.Punguza mahaba Pascaly raisi hajawahi kumiliki ndege
Ataumbuka tu muda si mrefu atakwenda ubalozi wa marekani na ulaya!Mkulima ni mkulima na hili jambo la kudai kafanya jambo jema kwa awamu hii vinginevyo hili deni lingedumu miaka na miaka na watu kujinufaisha kwa namna moja au nyingine..ni bora hili lijulikane mpaka mwisho kuliko kuchezewa mwenye haki stahili apate na mwenye njia ya ujanja janja nae aumbuke.
Kwani huyo akipanda zinatoka dhahabu!