Tulia Akson labda anaweza kujibu,Setina na Chama cha Mapinduzi, Tanganyika na Zanzibar, in wasomi wengi na wenye weledi wa kujibu hoja za msomi TAML lkn hawana hoja za kisheria au kikatiba ndiyo maana ni lazima tu wabwajaje ili mama aendelee kuwatunza ktk nafasi zao.
Porojo tupu🇹🇿 Huyo mbeatukaji Hana hoja yoyote na ni mazuzu tuu wanamwona anaongea point kumbe kupayuka kote ni vapor tuu
🔹 Kwa makusudi anajua accord ya muungano wetu kuwa unique dunia nzima ei Neither federal nor unitary
🔹 Inajulikana kabisa na sababu zilitolewa kuwa hakuna kitu kinachoitwa Tanganyika kwa Sasa kwa sababu ili surrender all it's power kwenye muungano na ila dissolve lakini Zanzibar ili surrender some na ku retain some.
🔹 Ndio maana Zanzibar Wana sub katiba Yao, ndio maana Zanzibar Wana sub citizenship Yao. Lengo ilikuwa ni kutokana na udogo wake is dissolve Moja kwa Moja kwenye muungano
🔹 Hivyo vi hoja kuwa Kwa nini Wana vitbulisho vya ukaazi ni hoja dhaifu Sana kwani ni sawa sawa na ninyi mlivyo kwenye daftari la ukoo
🔹 Kitendo Cha baadhi ya mazuzu kuulazimisha au kuleta hoja kana kwamba hii ni purely unitary ni utaahira.
🔵 Haya ma federation na ma unitary mnayoyadoma duniani yalianzishwa na watu. Kwa nini msiwapongeze wazee wetu Nyerere na karume kwa kutunga muungano ambao ni unique na unauoumiza vichwa vya wasomali.duniani kote kuufanyia utafiti ? Kwa nini tusiwape u proffesa waasisi Hawa na kuwapa credit zao?
🔹 Wazazabari na wazanzibari na wazanzibari ni Watanzania. Watanzania bara ni Watanzania . Utake ni hivyo hivyo usitake ni hivyo hivyo
Mkuu Tuweke Siasa pembeni Tuzungumze uhalisia Hebu nikumbushe Ziara ya Waziri Mkuu wa Tanzania aliyofanya Unguja au Pemba..huo ni mtazamo na maoni yako tu kwamba ati kiongozi fulani hana usemi mahala fulani...
hapana haiko hivyo,
viongozo uliowataja wana heshima zote na wanawajibika kikamilifu kwa mujibu wa sheria, katika masuala yote yahusuyo Jmuhuri ya Muungano wa Tamzania, kwa heshima zote, mila na desturi za kiTanzania
Kama kukodisha kuna faida za kiuchumi je Zanziba hawazitaki hizo faida?Ametoa HOJA kuwa bandari zetu zote za bara wamepewa waarabu,
Lakini Bandari za Zanzibar hazijaguswa,
HOJA kama hiyo Badala ya kulijibu unaamua kuipuuza kweli?
Huyo ndiyo atalia kabisa hadharani.Tulia Akson labda anaweza kujibu,
Yaezakuwa anajipanga,
Maana tuliambiwa Yeye ni mwalimu wa Lissu katika Sheria.
Mkuu vyeti umeweka kabatini !!Umechagua kuwa Malaya wa Kisiasa iliupate UKUU WA WAWILAYA.Hili tu la kwako ni jibu tosha kuwa katiba yetu haiko sawa.huo ni mtazamo na maoni yako tu kwamba ati kiongozi fulani hana usemi mahala fulani...
hapana haiko hivyo,
viongozo uliowataja wana heshima zote na wanawajibika kikamilifu kwa mujibu wa sheria, katika masuala yote yahusuyo Jmuhuri ya Muungano wa Tamzania, kwa heshima zote, mila na desturi za kiTanzania
Asije akatafut aibu na Uspika wake wa Mchongo.Tulia Akson labda anaweza kujibu,
Yaezakuwa anajipanga,
Maana tuliambiwa Yeye ni mwalimu wa Lissu katika Sheria.
kwani hizi hoja amezitoa akiwa wapi?Salaam, Shalom.
Ni wiki sasa, Mwanasheria msomi Tundu Lissu ametoa HOJA nzito kuhusiana na Muungano wetu, na anatoa HOJA Kwa kutumia Katiba ya nchi iliyopo.
Cha kushangaza wanaibuka viongozi tena wenye hadhi ya juu kabisa na kumjibu TUNDU Lissu kiujumla jumla tu. Anauliza swali Kwa kunukuu Katiba ya nchi, lakini anajibiwa Kwa kauli nyepesi za kisiasa bila ushahidi wowote au nukuu yoyote kisheria, imekaaje hii?
Jamani, HOJA hujibiwa Kwa HOJA,
Ikiwa wamekosekana viongozi wa Serikali wenye uwezo wa kumjibu TUNDU Lissu kisomi, ni Bora kunyamaza.
Swali linabaki kuwa, huko serikalini hawapo watu wenye capacity ya kumjibu TUNDU Lissu Kwa HOJA?
Karibuni🙏
Mdahalo wa wazi ungeitishwa,Kama kukodisha kuna faida za kiuchumi je Zanziba hawazitaki hizo faida?
Nani atathubutu? Huu sio Muungano wa Wananchi ni Muungano wa viongozi wa Nchi tu.Ungeanzishwa mdahalo kuhusu Katiba na Muungano,
Upande wa Serikali akawepo Tulia Akson na AG, upinzani akawepo Lissu, wananchi wakaalikwa kuuliza maswali na mdahalo ukawa live,
Nchi ingepumua na kustawi Kwa muda mfupi.
Nawe huna HOJA,kwani hizi hoja amezitoa akiwa wapi?
kwao UBELGIJI au TANZANIA
hakuna hata mmoja, kwasababu hawana hoja na hawatakuja kuwa nazo milele. kakobe aliwahi kusema ni suala la muda tu Tanganyika kuzaliwa. kuna siku hawa wanaotuita chogo watakuja hapa kwa VISA.Salaam, Shalom.
Ni wiki sasa, Mwanasheria msomi Tundu Lissu ametoa HOJA nzito kuhusiana na Muungano wetu, na anatoa HOJA Kwa kutumia Katiba ya nchi iliyopo.
Cha kushangaza wanaibuka viongozi tena wenye hadhi ya juu kabisa na kumjibu TUNDU Lissu kiujumla jumla tu. Anauliza swali Kwa kunukuu Katiba ya nchi, lakini anajibiwa Kwa kauli nyepesi za kisiasa bila ushahidi wowote au nukuu yoyote kisheria, imekaaje hii?
Jamani, HOJA hujibiwa Kwa HOJA,
Ikiwa wamekosekana viongozi wa Serikali wenye uwezo wa kumjibu TUNDU Lissu kisomi, ni Bora kunyamaza.
Swali linabaki kuwa, huko serikalini hawapo watu wenye capacity ya kumjibu TUNDU Lissu Kwa HOJA?
Karibuni🙏
Sasa amekuja kufanya nini huku Tanzania kama anahofia usalama wakeNawe huna HOJA,
Ikiwa waliomshambulia Kwa risasi hawajulikani Bado,
Unaamini kiusalama ni sawa kukaa humu?
Jikite kwenye mada🙏
Ila sisiem ndiyo wanatakiwa kukodisha watu sio??mandamano huko moshi yametia aibu wallah
chadema ni wakukodisha watu kwa kuwalipa kweli
ngome kuu ya upinzani unakodisha watu zunduka nduguIla sisiem ndiyo wanatakiwa kukodisha watu sio??
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Jikite kwenye mada 🙏Sasa amekuja kufanya nini huku Tanzania kama anahofia usalama wake