Ni sababu ipi muhimu sisi wazazi tunakuwa na mtoto zaidi ya mmoja?

Watu wawili muungane halafu mzae mtoto mmoja basi binadamu wataisha.

Kule Tailand kuna kisiwa watu hawataki kuzaa ila tambua hilo kundi lenye imani hiyo lishaanza kutokoweka maana wanakufa bila ya kuzaliana...Dunia haiwezi kuvumilia mitazamo ya kipumbavu la sivyo mtapotea wote.
 
Hivi ukoo wako ili udumu unahitaji mtoto wa kiume au wa kike?
Mali zako ukiondoka duniani zintakiwa kuangaliwa na nani?
Mkuu, ukiondoka; mali unazoziacha sio zako tena... ni za warithi/ uliowaacha hai.

Wao ndio watajua wanaziangaliaje, kama wakizinywea bia au wakiamua tu kuzitom#bea hadi ziishe wewe haikuhusu kabisa! [emoji41][emoji23]
 
Sasa issue kubwa nataka kufahamu nimeona kama nimeridhika

Mkuu sababu pekee ni kuridhika na kutokuridhika...

Wewe umepata mmoja na umeridhika kabisa (umeona ndiyo riziki), wengine watataka wawili, watatu na kuendelea...

Baada ya kuwa na hamu ya watoto kadhaa, wapo wanaotazama uwezo wao kiuchumi, mwanaume au mwanamke sahihi wa kulea naye familia, jinsia ya watoto n.k n.k
 
So long as uko na nguvu za kiume na unatomba basi Watoto kuja kawaida tu Mkuu, labda kama sijakuelewa
 
Mkuu,

Mimi nina heshima kwa wenye heshima.

Ukileta ukauzu mimi ni kauzu kupita maelezo.

Na hizo heshima mnazonipa kama zinanizuia mimi kuwa huru, kuwa Kiranga original, kuwa Kiranga authentic, basi sizitaki.

Kwangu mimi, kuwa huru nikasema ninachotaka ni muhimu kuliko hizo heshima mnazotaka kunipa.

Ikiwa hizo heshima zitazuia uhuru wangu, basi hizo heshima zitakuwa mzigo tu, zitakuwa mtego wa kunitega nisiwe huru, nisiwe my authentic self, niwe Kiranga feki anayeogopa kusema anavyojisikia kweli eti kwa sababu watu watamuona hivi au vile.

Nakuomba sana nivue hizo heshima ulizonibandika ili nipate wepesi kujieleza.

Naona heshima hizo zinanitia udhia na mzigo tu.

Falsafa zangu ni tofauti sana na zako, usilazimishe zako ziwe zangu wakati mimi sizielewi wala sizikubali.

Ushanifahamu?
 
Hahaha huyo ndo Kiranga. Anapiga spana na kufundisha.
 

Kwanza kabisa narudia tena kuzaa vyovyote au kutozaa kabisa ni haki ya kikatiba na kiutu, hakuna jinsi ya kuiingilia haki hii bila kuvunja haki za kikatiba na za kiutu.

Kwa hivyo, hapa naandika majadiliano ya kifalsafa na kidhahania, simshawishi mtu azae au asizae, simlaumu mtu kwa kuzaa au kutozaa.

Having said that:-

Watoto wote watakufa, sasa unaposema ni risk sana kuwa na mtoto mmoja una maana gani?

Ukiwa na watoto wengi hawafi?

Mtu mwingine anaweza kukuambia kuwa ni maadili mabaya kumzaa mtoto katika dunia ambayo unajua ina risk kubwa na matatizo mengi.

Yani hiyo high risk ya mtu kuweza kufa Bongo ni sababu ya kutozaa watoto wengi, si sababu ya kuzaa watoto wengi.

Kwa sababu ukizaa watoto wengi katika nchi yenye risk kubwa ya watoto kufa, maana yake umewafanya watoto kuwa expendable, maisha yao hayana thamani, unawazaa kwa mchezo wa kamali ya pata potea.
 
Weee komaaaa, huyo mgumba anazo mbegu za kuzalisha kwanza, nyie wote wagumba mmejaribu wee imeshindikana ndio mnakuja kujishaua hapa ooh mtoto mmoja inatosha badala muombe tiba ya ugumba wenu mnataka kujifariji washamba wakubwa,

Ikikuuma chomoa
 
umemamaliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…