Ni sababu zipi zinazofanya kupotea kwa Ben Rabiu Saanane lionekane ni jambo dogo mbele ya vyombo vya dola?

Ni sababu zipi zinazofanya kupotea kwa Ben Rabiu Saanane lionekane ni jambo dogo mbele ya vyombo vya dola?

Kijana Ben alikamatwa na watu "wasiojulikana" (hawa walikuwa ni kikundi cha kuteka na kuua chini ya Makonda) wakamtesa sana, wakamhamisha sehemu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kumfikisha kwa Magufuli lakini alibaki na msimamo wake kuwa PhD ya Magufuli siyo halali. Hatimaye alikufa katika vyumba vya mateso na maiti yake ikapelekwa MNH kwa jina tofauti.

Nenda UDSM kwenye maktaba ya kitivo cha kemia, ukajaribu kuazima Thesis ya Magufuli, nakuhakikishia hutopewa. Imeondolewa, ni aibu.

Supervisor wa Thesis Magufuli, ambaye ni Profesa jina linaanza na "Bu", alipewa Uwenyekiti wa Bodi mbalimbali baada ya Magufuli kupata uRais. Na Mkuu wa Idara aliyekuwapo wakati huo alikuwa ni mlemavu wa miguu jina lake linaanza na "Prof Md" alipewa Ukatibu Mkuu wa Wizara
Kama ipo hivyo Bas ni kufeli KWA system ya elimu nchini na sio jpm wala hao ma profesa!!

Kama system unaruhusu vipi eti kuhitimu elimu ya chuo kuwe chini ya mamlaka ya mtu au kikundi cha watu wachache!!
 
Hii Nchi watu hawajali, ni muhimu kuwa makini unapopambana na serikali ya CCM. Tukio la kuuliwa Imran Kombe mtu amekuwa Liutenant General wa JWTZ na DG wa TISS anakuja kuuliwa na askari kwa bahati mbaya? Watu waliouwawa huko Zanzibar kwenye uchaguzi wa 95. Hiyo miaka Nyerere, Kawawa, Butiku, Mwinyi, Mkapa et al wote walikuwa hai. Its enough evidence kuonesha CCM ni chama kipo tayari kumaliza watu kubaki madarakani. Siyo tu Ben, Gwanda uchaguzi wa 2025 naona watu wengine wakimalizwa na hiki chama ilikibaki madarakani.

Ccm imeshatoka huko kwenye chama cha siasa kwa sasa ni genge la wahuni na mafisadi linalolinda maslahi yake.
 
Huyu Ben alijichanganya, ndiyo maana hakuna mtu ambaye ana habari naye. Yeye badala la kufuatilia mambo yanayohusu ustawi wa moja kwa moja wa wananchi, yeye anaanza kupamba na mambo binafsi. Halafu mwenye mamlaka makubwa. Hilo liwe somo kwa vijana, never fight with your government and top leaders. Those are institutions. It's very likely to lose your everything.
Isitoshe kati ya Ben na JPM nani alikuwa smart upstairs. Huyo Ben wengine tulianza kumsikia baada ya kutoweka. Alikuwa hafahamiki.
Well said!
Mwisho wa siku JPM ndio mwenye mchango zaidi kwa Taifa, kuliko huyo kifaranga mnachokililia daily!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ufikie muda Sasa huu ugomvi tuwaachie wenyewe Ben na JPM huko waliko!

Ben Kama ana hasira aombe pambano wazichape hukohuko!
Na naamini Ben atapigwa KO round ya kwanza tu

Yule Bwana Ni jiwe kwelikweli!

Na alishasema yeye hachezewi!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna tukio limewahi kuniuma kama la Ben Saanane.
Mbaya zaidi nyakati zake za mwisho hapa JF tulitokea kuwa marafiki wakubwa, akifurahia sana ubuyu wangu kule celebrities forum.

Kupotea kwake kulinifanya nimchukie sana bwana yule! Ila, Mungu anajua zaidi.
Ben saa nane,aulizwe mbowe yeye ndie anafahamu mahari alipo,kwa sababu siku ya mwisho kupotea kwa Ben,alikuwa ameitwa na mbowe.na walionana.
 
Hii Nchi watu hawajali, ni muhimu kuwa makini unapopambana na serikali ya CCM. Tukio la kuuliwa Imran Kombe mtu amekuwa Liutenant General wa JWTZ na DG wa TISS anakuja kuuliwa na askari kwa bahati mbaya? Watu waliouwawa huko Zanzibar kwenye uchaguzi wa 95. Hiyo miaka Nyerere, Kawawa, Butiku, Mwinyi, Mkapa et al wote walikuwa hai. Its enough evidence kuonesha CCM ni chama kipo tayari kumaliza watu kubaki madarakani. Siyo tu Ben, Gwanda uchaguzi wa 2025 naona watu wengine wakimalizwa na hiki chama ilikibaki madarakani.
Shida nyie hamjui nn maana ya masrahi ya nchi,hata wewe ungefanya hivyo,tena kwa kombe walichelewa sana kulingana na kiapo chake imran kombe.
 
Kijana Ben alikamatwa na watu "wasiojulikana" (hawa walikuwa ni kikundi cha kuteka na kuua chini ya Makonda) wakamtesa sana, wakamhamisha sehemu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kumfikisha kwa Magufuli lakini alibaki na msimamo wake kuwa PhD ya Magufuli siyo halali. Hatimaye alikufa katika vyumba vya mateso na maiti yake ikapelekwa MNH kwa jina tofauti.

Nenda UDSM kwenye maktaba ya kitivo cha kemia, ukajaribu kuazima Thesis ya Magufuli, nakuhakikishia hutopewa. Imeondolewa, ni aibu.

Supervisor wa Thesis Magufuli, ambaye ni Profesa jina linaanza na "Bu", alipewa Uwenyekiti wa Bodi mbalimbali baada ya Magufuli kupata uRais. Na Mkuu wa Idara aliyekuwapo wakati huo alikuwa ni mlemavu wa miguu jina lake linaanza na "Prof Md" alipewa Ukatibu Mkuu wa Wizara
Kwa nn makonda umemtaja moja kwa moja,lkn kwa nn hawa wengine umeshindwa kuwataja?!, na kama wewe unajua Ben alikamatwa na nani na kwa kuongozwa na nani,na akapelekwa wapi ,kwa nn bado Ben mnamtafuta wakati kila kitu mnajua?!,
 
Ufikie muda Sasa huu ugomvi tuwaachie wenyewe Ben na JPM huko waliko!

Ben Kama ana hasira aombe pambano wazichape hukohuko!
Na naamini Ben atapigwa KO round ya kwanza tu

Yule Bwana Ni jiwe kwelikweli!

Na alishasema yeye hachezewi!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Jiwe alikuwa hana akili...
Kiongozi wa hovyo kutokea...
Anadanganya watu eti mzalendo na kuchukia ufisadi huku yeye akiwaibia wafanyabiashara...

Kama alikuwa jiwe kweli kweli mbona walimchezea akasepa?
 
Magufuli maisha yake yote alikuwa mwalimu na alijiendeleza baada ya kupata Masters na ushahidi wa picha siku anapata hiyo shahada upo mitandaoni akiwa amekaa pembeni ya Mama yake.

JPM alichukiwa kwa sababu ya misimamo yake ya kutotaka ujinga huko serikalini. Alikuwa na maadui wengi hivyo haikuwa ajabu kumtengenezea hizo habari zikiwa ni sehemu ya chuki.
Na huo ndio ukweli.lkn pia kuna majinga furani yalikosa vitu vingi kipindi cha utawala wa kpm,hivyo yana hasira mpk leo.hayo ndio yanatunga huzi stori za kusadikika.
 
Ulichokiandika ni sawa kwa kadiri ya unavyotaka tupokee.Lakini,ni ajabu wewe hupendi wala hautaki kuambiwa usiyoyataka na wengine.Tatizo lilikuwa wapi muda ule?Ukiulizwa jina lako unaitwa nani,chimbuko la wazazi wako nk,si unatakiwa ujibu tu?Unadodoswa,mtu anapotea.Unapewa changamoto za uongozi,unahutubia umma.Baada ya dakika tano mtu aliyekupa changamoto ananyukwa risasi nyingi mwilini.Tukuweke kundi gani?Tukufikiriaje?Unatuondoleaje fikra hasi juu yako?.Hapo bado kuna ya akina mchungaji Mwingira na wanasiasa wengine waliowekwa under-pressure(blackmail) ili waunge juhudi zisizoeleweka.
Shida kubwa ni ile miwani iliyovaa,inakuzuia kuuona ukweli,lkn pia uwezo wako wa kuchambua hoja na kutafakari ni mdogo,ndio maana unakuja na hoja mfu, ni sawa na leo kusema chacha wangwe aliuwawa na mbowe bira ushahidi wowote,utakuwa ni upumbavu.
 
Back
Top Bottom