Muache hafai huyo. Ila ingekuwa mie nimgefanya juu chini nimjue huyo jamaa aliemzalisha then ningejua cha kufanya ikiwemo na mie kutumia gharama yoyote mpaka nitembee na mke wake na ikiwezekana nimzalishe pia au na mengineyo.Kinachonipa changamoto ya kuwaza sana n kuwa wife licha ya kupata ushahidi wote hadi wa maabara bado anakataa
Pole kwa hiyo depression, ila so far mpaka sasa hiyo depression uliyonayo ni kama vile umejitengenezea mwenyewe. Unaanzaje kumuonea huruma mwanaume mwingine kwamba hana uwezo wa kutunza mtoto wake? Tena kibaya zaidi huyo mtoto amezaa na mkeo.Japo umetumia lugha kali lakini nimekuelewa kaka asante sana
Depression inanitesa kwa sasa
Wewe una akili timamu kweli? Anakuwazisha kwani ni mtoto wako? Unanitia hasira asee!Mtoto ananiwazisha sana
Nina hakika huyu mtoto anaingia kwenye maisha magumu sana
Baba mtoto mwenyewe ni Playerboy asiye na uelekeo wa kutunza mtoto
Huyu ni kumuacha ateseke watu kama huyu mtoa mada ndo huwa wanajinyongaPole kwa hiyo depression, ila so far mpaka sasa hiyo depression uliyonayo ni kama vile umejitengenezea mwenyewe. Unaanzaje kumuonea huruma mwanaume mwingine kwamba hana uwezo wa kutunza mtoto wake? Tena kibaya zaidi huyo mtoto amezaa na mkeo.
Hivi unajua alitumia nguvu kiasi gani hela kiasi gani kumuhonga mkeo ili amkubalie? Unajua walienda guest ya shiling ngapi? Vuta picha alivyokuwa kamkunja huyo unayemuita mke wako. Alaf Bado unamuonea huruma?
Depression yako ilifaa itokane na mawazo ya kugongewa mke, kulea damu isiyoyako, lakini sio kuongea huruma huyo playboy.
Piga chini huyo mwanamke mkuu. Kama ameweza kuibishia hadi DNA, unaexpect nini mbeleni?
Atakuwa hanidhi hazalishiWewe una akili timamu kweli? Anakuwazisha kwani ni mtoto wako? Unanitia hasira asee!
Na kuna swali unalikwepa hadi sasa hivi..... huyo mke una watoto nae wangapi?
Kinakufa sababu inaonekana anahonga tu huyo mkeo, asee mkuu natamani ungekuwa karibu yangu nipige hata risasi mbili karibu na maskio yako labda ubongo wako utaamka.Baba yake yupo Huko Kusini dereva wa Daladala kazalisha sana wanawake huko
Dogo day care nimelipia 2m ada ya mwezi sijui maisha yake yatakuwaje
Mama mtu naye n mzigo tu kila unachomwanziashia kufanya kinakufa
Dunia bado inaendelea kushuhudia wanaume mabwege wa kiwango cha juu sana.Nimegundua wife alichepuka akabeba mimba na kujifungua mtoto hafanani na mm baba yake wala mama yake
Hapa nimekaa na mtoto hadi miaka miwili imefika
Nipo njia panda nimuache wife na mtoto au niendelee kuishi nao!?
Mie kanitia hasira sanaa, tena akiendelea na ujinga wake atazidi kuzalishiwa mke wake na hata akioa mwingine anaweza kuzalishwa na wahuni.Sikuwa na mpango wa kucomment,ila baada ya ww kuandika huu utopolo, nimelazimika kucomment.
Unalalamika mtoto sio wako, at the same time unamuonea huruma as if ni yatima wakati baba na mama yake wapo.
Kitu kingine cha kijinga ulichoandika, eti baba wa mtoto ni playboy hawezi mtunza mtoto, hivi akili yako inafikiria sawa sawa au ndio upo under depression? Kwavile baba wa mtoto hana uwezo wa kutunza mtoto, vipi akitaka mtoto wa pili, upo tayari aje azae tena na mkeo, ili ww mwenye uwezo wa kutunza umtunze?
Situation kama hizo, solution huwa ni mbili tu, either upige chini mama na mtoto, au ukubali kuendelea nao. Na ukishachagua moja, basi kula buyu, life lisonge, hakuna kugeuka nyuma.
Comments zako inafikia hatua badala ya kukuonea huruma, zinatukera.
Hata mie nahisi hivyo.Atakuwa hanidhi hazalishi
Kwa mwanaume Rijali ni ngumu kuishi na mke aliyekubambikia mtoto ila kama mwaume huna uwezo wa kupata mtoto utaweza kuishi na huyo mtoto kama mtoto.Subiri siku huyo mkeo akuporomoshee tusi mbele za watu kuwa hata huyo mtoto si wako'!
Ushauri wangu: Tafuta amani ya moyo. Jitenge nao kwa muda upate nafasi ya kutafakari. Faida ya kufanya hivyo utapata namna ya kuweza kusamehe hatimaye utarudi na kuishi nao kwa upendo. Kuendelea kuhifadhi kinyongo moyoni unaweza ukaishia jela bila kutarajia
Mke wako amekujua wewe ni mpole siyo mtata wanawake wana akili sana wanajua kumsoma mwanaume roho yake na matendo naamini ungekuwa mkorofi siku ulivyo sema unataka kwenda kupina DNA ya mtoto naamini angeondoka kwenda kwaoKinachonipa changamoto ya kuwaza sana n kuwa wife licha ya kupata ushahidi wote hadi wa maabara bado anakataa
Baba mtoto umesha mjua?Kwanza mtoto hafanani na mm wala wife
Pili wife alimwmbia rafiki yake lakini siri ikavuja hadi kunifikia
Kwani siumesema mtoto siyo wakwako ? Sasa maisha ya mtoto yana kuhusu nini kwani maisha ya watoto wote wa nchii wewe ndio unawalea?Nawaza hivyo ila nikifkr maisha ya mtoto yatakuaje nachanganyikiwa kabisa
Wife n mama wa nyumbani tu
Limbwata kama kuchanganyikiwa husinge weza kupata nafasi ya kuandika hapaKuchanganyikiwa mkuu
Baba mtoto boda boda je?Akidai unampiga tu faini ya gharama ulizotumia kwa mtoto (Kutunza Mimba, kuzaa, na kumtunza mpaka alipofikia), na interest ku-cover kupanda gharama za maisha, na fidia ya kumtumia Mkeo mpaka akazaa, kisha unachukua huo mpunga - na kumuachia mtoto, wewe unaendelea tu na maisha na Mkeo.
Mimi huyo mtoto ningemfanya ndondochaLazma ushtuke maana mtoto wa kwanza nafanana nae iweje huyu hata mama ake hamfanani,pili nilimnunua smartphone nikamuweke callrecoder faili nikalificha,baada ya week mbili nikajua mpaka jamaa anaongea na kuhusu mtoto wake na mpaka mama mkwe alishaambiwa.
Mkuu kama ana muonea huruma mtoto si bora atafute single mother aoeInaonekana unamuonea huruma mtoto, una watoto wengine na huyo mwanamke,?
Mwanzo niliwaza uendelee tu kuishi nae ila huyo mwanamke kama amekataa kukubali kosa na bado ameamua kutangaza kitu kama hicho kwa rafiki yake inaonesha jinsi gani ana confidence juu yako, angekua anajitambua angenyamaza na pia angekubali kosa , hapo jiandae kuambiwa hata huyu mtoto sio wako kwenye majibizani na hata mtoto mwenyewe anaweza kukukataa akiwa mkubwa.
PIGA CHINI MAPEMA
Duh mpaka two years bond ni kali/kubwa sana kati yako wewe na mtoto..... Kuna wanawake wanajua kuvuruga Raha na stability ya familia balaaa.Nimegundua wife alichepuka akabeba mimba na kujifungua mtoto hafanani na mimi baba yake wala mama yake
Hapa nimekaa na mtoto hadi miaka miwili imefika
Nipo njia panda nimuache wife na mtoto au niendelee kuishi nao!?