Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu watoto wako kuona picha zako za utotoni siioni Kama ni shida hyo ni kwangu Mimi maana pengne watajifunza vingi zamani tulikuwa tunavaa suruari Pana inaburuza mpaka chini ingekuwa leo hii pengne wanangu wote watatu wangeshona suti na kitambaa kingetosha ni mojawapo ya maadili mkuu na tabia nyingi watoto hurithi kutoka Kwa wazazi waoDah, nimeona -ve reaction ya watu humu na sijui ishu ni nini. Unajua kuna umri ukifika kuna ishu fulani zinazokuhusu ziwe na mipaka kwa kizazi kifuatacho. Mfano katika hali ya kawaida tu mwanaume mwenye miaka 70 hivi nakuendelea inabidi yeye ndiye awe mzazi aliyebakia, kwa maana ya kutoa maamuzi ya mwisho kwenye himaya yake. Sijajua kama nimeeleweka vyema
Pia natamani sana awepo mchangiaji mmoja kudadavua mada hii na kuonyesha upungufu uliojitokeza kuliko hizo duh, dah, aisee... na mengine
Mkuu thanks kw maelezo muruaMkuu watoto wako kuona picha zako za utotoni siioni Kama ni shida hyo ni kwangu Mimi maana pengne watajifunza vingi zamani tulikuwa tunavaa suruari Pana inaburuza mpaka chini ingekuwa leo hii pengne wanangu wote watatu wangeshona suti na kitambaa kingetosha ni mojawapo ya maadili mkuu na tabia nyingi watoto hurithi kutoka Kwa wazazi wao
Kuna siku Moja tulikuwa likizo Mimi na wanangu watatu na Mama Yao Sasa kule kijijini tulimkuta shangazi yao, Baba Yao mkubwa.
Ambao Mimi wale ni kaka angu na Dada angu
Ikawa hivi mtoto wangu mkubwa yupo darasa la nne Kuna kitu alifanya nikiwa namuadhibu Dada angu na kaka wakasema unamwonea mtoto mbona wewe ulipokuwa mtoto hyo ndo ilikuwa tabia Yako aisee nilimaindi Hadi hawakuamini Kama ni Mimi kidogo niwavunjie heshima hata ni wakubwa zangu
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Unakuta mtoto ana miaka 15 na kuendelea kisha anakutana na picha ya utotoni ya baba yake. Baadae jioni anamuona baba anarudi nyumbani.
Hivi mnadhani huyu mtoto anaweza kuweka au kudumisha heshima kwa mzazi aliyokuwa nayo awali?
Kwetu kuna albam nzima.Unakuta mtoto ana miaka 15 na kuendelea kisha anakutana na picha ya utotoni ya baba yake. Baadae jioni anamuona baba anarudi nyumbani.
Hivi mnadhani huyu mtoto anaweza kuweka au kudumisha heshima kwa mzazi aliyokuwa nayo awali?
Mkuu kuna viranga au lifestyle usiyotaka mwabao asiijue?Unakuta mtoto ana miaka 15 na kuendelea kisha anakutana na picha ya utotoni ya baba yake. Baadae jioni anamuona baba anarudi nyumbani.
Hivi mnadhani huyu mtoto anaweza kuweka au kudumisha heshima kwa mzazi aliyokuwa nayo awali?
Ujinga mwingi sana, sasa mwanao kuona picha yako utotoni tatizo liko wapi?Unakuta mtoto ana miaka 15 na kuendelea kisha anakutana na picha ya utotoni ya baba yake. Baadae jioni anamuona baba anarudi nyumbani.
Hivi mnadhani huyu mtoto anaweza kuweka au kudumisha heshima kwa mzazi aliyokuwa nayo awali?
Dah [emoji23][emoji23][emoji23]!Mkuu kwa hiyo ndo umekuja na huo Uzi si ndio
Bora na wewe umeliona hiliIla kusema kweli hii tabia ya kuona picha za wazazi wakiwa watoto sio nzuri.
Nakumbuka kuna siku tupoo na bibi anatuonesha picha za baba akiwa mdogo, aseeh babu alikuja kutufurusha na kumpora bibi ile album, na alimkoromea mnooo.
Hata baba naye hapendi picha zake za utotoni sisi watoto kuzionaa, anasemaga ule ni ukumbusho wake binafsi na sio sisi, hata sisi picha zetu za utoto ni ukumbusho wetu binafsi sio kwa watoto wetu.
Toka hapo hatuna mda hata wa kuulizia kuona picha zake, japo tunajua ziko nyingii mnoo.
Haipendezi hata.Bora na wewe umeliona hili
Kikubwa elewa nilichomaanishaWewe ni mama siyo baba
Hebu shangaa na wewe mkuuMkuu uko serious or unatutania tu?
Watoto wa sasa wana access ya kufhamu vitu vingi kuliko wewe mzazi.Unakuta mtoto ana miaka 15 na kuendelea kisha anakutana na picha ya utotoni ya baba yake. Baadae jioni anamuona baba anarudi nyumbani.
Hivi mnadhani huyu mtoto anaweza kuweka au kudumisha heshima kwa mzazi aliyokuwa nayo awali?
Sioni tatizo lolote hapo,picha zangu mi sasa hivi za utotoni nazitafuta sizipati maza alichoma moto kwa ajili ya mdingi tulipiga nae picha🥲.Ila kusema kweli hii tabia ya kuona picha za wazazi wakiwa watoto sio nzuri.
Nakumbuka kuna siku tupoo na bibi anatuonesha picha za baba akiwa mdogo, aseeh babu alikuja kutufurusha na kumpora bibi ile album, na alimkoromea mnooo.
Hata baba naye hapendi picha zake za utotoni sisi watoto kuzionaa, anasemaga ule ni ukumbusho wake binafsi na sio sisi, hata sisi picha zetu za utoto ni ukumbusho wetu binafsi sio kwa watoto wetu.
Toka hapo hatuna mda hata wa kuulizia kuona picha zake, japo tunajua ziko nyingii mnoo.