Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
NakaziaHuyo jamaa nae vp kashindwa kumpiga mbata akili zirudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaHuyo jamaa nae vp kashindwa kumpiga mbata akili zirudi
🙌🏿🙌🏿🙌🏿😂😂😂😂Hivi vya mjini vinajua mzee
Mkuu siyo kila mtu unamjibu,focus kwenye ulichouliza.Sikutumiwa picha
Uzunguni huko sio bongoWatu wanaogelea na wazazi wao wakiwa na vichupi
Hasa ukute mwanamke kavaa ile tight nyeupeee ,watoto wanakuwa wanaona wazi wazi pale walipotokea. Inawakera lakini hawana namna watamwambia vipi mama yao kuwa yupo uchi. Ovyo kweliKuna ziingine zikibana mpaka taswira ya kitumbua inaonekana kilovyonona
Bongo hii hiiKUzunguni huko sio bongo
Kama kawaida
Inaonesha hadi kile kimstari cha pAP@
Tanzania Ni Mwiko Kabisa Kuvaa TightsUnashangaa nyumbani nilishuhudia familia baba, mama na binti zao wawili wote wamevaa skin jeans kanisani St Albans 😂😂Makanisa ya kilokole nayo wanasema Mungu haangalii mavazi anaangalia moyo, ukiangalia nguo walizovaa Kama rijali lazima upate taaabu kidogo
So ni suala la utamaduni zaidi wazungu wanaogelea na bikini mbele ya watoto wao kwetu huku haijakaa sawa
Na wewe uko na watoto wa kiume wakubwa?Binafsi vazi langu official nikiwa nyumbani ni tight(zile ndefu) na tshirt kubwa kubwa....sijazoea kuvaa dera/gauni wala sketi fupi
Napitia comments kwa umakini sana kuona kama ni sawa ama sio sawa
Do you have a son? Anajiskiaje 😂
Sina mtoto mkuuNa wewe uko na watoto wa kiume wakubwa?
Mamboo kijana I MISS UNi sahihii! Uzee mwisho Chalinze
I miss you too Sweety ake..!Mamboo kijana I MISS U
Hapo hata kichupi poa tuSina mtoto mkuu