Ni shule gani ya sekondari ilijengwa na wakoloni Waarabu halafu Serikali ikaitaifisha baada ya uhuru 1961?

Ni shule gani ya sekondari ilijengwa na wakoloni Waarabu halafu Serikali ikaitaifisha baada ya uhuru 1961?

Weka nyama.. nimeuliza kwenye uzi.. mtaje shule ambazo baada ya uhuru serikali ilizitaifisha kutoka kwa waarabu..

Mbona za wazungu nimezitaja Ilboru, mazengo, pugu, forodhani, oldu moshi.

Na wewe zitaje za waarabu majina?
Kwa uelewa wako shule ni nini!?
 
Kwa elimu yako shule ni nini!?

Shule ya sekondari zilizotaifishwa baada ya uhuru ndizo zimetajwa kwenye kichwa cha habari cha uzi.

Shule ya sekondari ni kama hizo nilizotaja pugu, oldu moshi, ilboru, mazengo etc

Nitajie shule gani iliyokuwa inatoa elimu ya sekondari kama hizo pugu ambayo ilijengwa na mwarabu
 
Shule ya sekondari zilizotaifishwa baada ya uhuru ndizo zimetajwa kwenye kichwa cha habari cha uzi.

Shule ya sekondari ni kama hizo nilizotaja pugu, oldu moshi, ilboru, mazengo etc

Nitajie shule gani iliyokuwa inatoa elimu ya sekondari kama hizo pugu ambayo ilijengwa na mwarabu
Nimekuuliza kwa uelewa wako shule ni nini!?..hizo shule za mzungu ndo zmekufunza ujinga hata kujibu swali huwezi!?
 
Nimekuuliza kwa uelewa wako shule ni nini!?..hizo shule za mzungu ndo zmekufunza ujinga hata kujibu swali huwezi!?


Taja majina ya shule... huu uzi hautaki bla bla bali unataka ushahidi wa majina ya shule zilizojengwa na mwarabu
 
Taja majina ya shule... huu uzi hautaki bla bla bali unataka ushahidi wa majina ya shule zilizojengwa na mwarabu
Secondary ni neno la kiingereza, kiarabu linaitwaje ili tujue mwarabu alijenga sekondari au laa!?.. unalia nini!?
 
Acha kutukana jibu hoja ya uzi huu Taja majina ya shule... weka ushahidi wa majina ya shule zilizojengwa na mwarabu
Shule ni neno la kiarabu lenye maana ya mahali pa kujifunza,Sasa Kama mwarabu hakujenga mahali pa kujifunza huku Tanganyika na Zanzibar sawa
 
Shule ni neno la kiarabu lenye maana ya mahali pa kujifunza,Sasa Kama mwarabu hakujenga mahali pa kujifunza huku Tanganyika na Zanzibar sawa

Soma kichwa cha habari cha uzi.. kimeandika hivi

Ni shule gani ya sekondari ilijengwa na wakoloni waarabu Serikali iliitaifisha baada ya uhuru 1961

Kisha leta majibu kwa kutaja majina ya hizo shule
 
Sema wanasifika kwa Jambo la kuingiliana kinyume na maaumbile cjui kwann na wao hiyo swala wanaipenda
Mbona mbapa yule, aliepelekwa leo, nimeambiwa alikua analipenda, Na nchi za ulaya na Amerika viongozi wake tumeona wakitoka hadharani kusimama na mashoga, akina David Cameroon, tunawakumbuka.

Donald Trump, alionyesha kuto kubaliana sera ya kuunga mkono mashoga, na sasa Rais wa Urusi Vadimir Putin.

Ila yote kwa yote ukumbuke msenge no 1 kwa umaarufu anaishi ulaya, tena yuko huru na mumewe anaalikwa kwenye kalamu za kifalme.

Ila msimo wa nchi za kiarabu, hamna haja ya kuandika mistari mirefu, wakati wote mmeshuhudia Qatar.
 
Back
Top Bottom