Je mwanaume analipwa na nani kufanya kazi na kugharamikia familia kwa 100%?🤔Nashangaa sana ujue hakuna kazi ngumu kama kazi za nyumbani nashangaa watu wanachukuliaga poa sana hii sekta.. kuwafanyia maandalizi watoto na baba wanaokwenda shule na wanaokwenda kazini waende wakiwa smart..na bado wengine ubaki nao na kazi za nyumbani upambane nazo warudi wakute mambo yako fresh si jambo rahisi na ukute hana hata msaidizi wa nyumbani so ni kila kitu anafanya mtu mmoja tena kwa ukamilifu na bado anachukuliwa poa mwanamke hiyu..wanahaki na kupata 50 50 acha mfumo uwabebe
Haya, inawezekanaWapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila kuna watu wana roho ngumu. Yaani kabisa unaenda kuoa Fatuma Karume? Kama anabishana na serikali na vyama, wewe utapona?
Kwa anae mpenda, anakua vizuri mnoo.Hivi huyu anaweza kuwa romantic kwa bd kweli?
Sjui umesoma vizuri hii point imeanzia wapi mkuu...hii issue imeanzia pale mdau mmoja alipoonesha kumchulia poa mwanamke ambae ni home stayer kupata 50 50 pale inapotokea wamatalakiana..madai yake ni kwamba mwanamke haongezi wala hachangii chochote mimi nimejaribu kuonesha kwa mapana yake..mwanaume anafanya kazi anapata pesa anatimiza ndoto zake anahudumia familia yake na kwao anajitimizia mahitaji yake ...vipi huyu mwanamke anayefanya unpaid work analipwa pesa na nani kupata mahitaji yake(hapa nazungumzia wanaume wasiowapa pesa wake zao kwa ajili ya mahitaji binafsi)kwa nn basi hiyo pesa ambayo angelipwa dada usimpe mkeo na yeye apate mahitaji yake ya kike?Je mwanaume analipwa na nani kufanya kazi na kugharamikia familia kwa 100%?🤔
wanawake wanaharakati wakiwa nyumbani mbona ni watu wakawaida tu mkuuIla kuna watu wana roho ngumu. Yaani kabisa unaenda kuoa Fatuma Karume? Kama anabishana na serikali na vyama, wewe utapona?
Kwani alimuoa miaka miwili iliyopita?Ila kuna watu wana roho ngumu. Yaani kabisa unaenda kuoa Fatuma Karume? Kama anabishana na serikali na vyama, wewe utapona?
Unapopewa uchi bila kupimiwa unafikiri ni bure?wasenge tu, mwanamke hata akiwa anapika ugali na kuangalia tamthilia tu nyumbani mkiachana mahakama inataka apewe 50% ya mali zote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unapopewa uchi bila kupimiwa unafikiri ni bure?
Mkiachsna ndio utajua mwenzio alikuwa kazini kama wewe[emoji1787]
Wakili Fatma Karume ameamua kuweka wazi kesi yake ya talaka mahakamani ambapo katika ugawaji mali mahakama imempa 75% dhidi ya 25% kwa upande wa mtalaka aliyekuwa mume wake.
Kinachonishangaza ni mwanaume kutaka Fatma Karume asizingatiwe kwa haki sawa wakati yeye ndiye aliyechangia zaidi katika kutafuta mali!
Hii kesi inaonyesha pia kwa nini wanaume wengi wanaogopa kuoa wanawake wanaharakati, wasomi na walio smart.
View attachment 3248257
View attachment 3248258
Chapili ile share anayokula nayo kalipia yeye?unga na jiko umenunua wewe?
Big pointSjui umesoma vizuri hii point imeanzia wapi mkuu...hii issue imeanzia pale mdau mmoja alipoonesha kumchulia poa mwanamke ambae ni home stayer kupata 50 50 pale inapotokea wamatalakiana..madai yake ni kwamba mwanamke haongezi wala hachangii chochote mimi nimejaribu kuonesha kwa mapana yake..mwanaume anafanya kazi anapata pesa anatimiza ndoto zake anahudumia familia yake na kwao anajitimizia mahitaji yake ...vipi huyu mwanamke anayefanya unpaid work analipwa pesa na nani kupata mahitaji yake(hapa nazungumzia wanaume wasiowapa pesa wake zao kwa ajili ya mahitaji binafsi)kwa nn basi hiyo pesa ambayo angelipwa dada usimpe mkeo na yeye apate mahitaji yake ya kike?
Alafu Kuolewa sio mafanikio.. wala kuolewa na mwanaume mwenye pesa hakufanyi mwanamke kuwa tajiri unaweza kutana na usichotarajia huko na ndoto zikafa kabisa ukawa busy na familia ambayo wala haithamini mchango wako..
Sijaambiwa na mtu. Nafahamu pre-nup are not legal in TZnani kakwambia
Kuna mjinga mwingine alijitwisha Joyce Kiria,nilicheka sana.Ila kuna watu wana roho ngumu. Yaani kabisa unaenda kuoa Fatuma Karume? Kama anabishana na serikali na vyama, wewe utapona?
Kuwa mama wanyumbani wangu ni kazi ngumu kinoma ...Wacha wagawane .wasenge tu, mwanamke hata akiwa anapika ugali na kuangalia tamthilia tu nyumbani mkiachana mahakama inataka apewe 50% ya mali zote.
Hapo naunga mkono hoja.Na ikitokea Mwanaume amechangia zaidi nae apewe hiyo hiyo 75% badala ya 50/50 inayotumika Sasa.Wakili Fatma Karume ameamua kuweka wazi kesi yake ya talaka mahakamani ambapo katika ugawaji mali mahakama imempa 75% dhidi ya 25% kwa upande wa mtalaka aliyekuwa mume wake.
Kinachonishangaza ni mwanaume kutaka Fatma Karume asizingatiwe kwa haki sawa wakati yeye ndiye aliyechangia zaidi katika kutafuta mali!
Hii kesi inaonyesha pia kwa nini wanaume wengi wanaogopa kuoa wanawake wanaharakati, wasomi na walio smart.
View attachment 3248257
View attachment 3248258
Yule mjinga wa chadema harafu akajiona mjanja sana mixer mabago kibao humu JfKuna mjinga mwingine alijitwisha Joyce Kiria,nilicheka sana.
Nimeona hili .... Huko Marekani... Donald Trump amelizungumzia kwa uchungu..... Nafikiri sheria za huko zitarekebishwa siku sio nyingi...wasenge tu, mwanamke hata akiwa anapika ugali na kuangalia tamthilia tu nyumbani mkiachana mahakama inataka apewe 50% ya mali zote.