Ni ubabaifu mwanaume kulilia mali za mwanamke katika talaka. Kesi ya talaka ya Fatma Karume ina masomo muhimu sana

Ni ubabaifu mwanaume kulilia mali za mwanamke katika talaka. Kesi ya talaka ya Fatma Karume ina masomo muhimu sana

Nashangaa sana ujue hakuna kazi ngumu kama kazi za nyumbani nashangaa watu wanachukuliaga poa sana hii sekta.. kuwafanyia maandalizi watoto na baba wanaokwenda shule na wanaokwenda kazini waende wakiwa smart..na bado wengine ubaki nao na kazi za nyumbani upambane nazo warudi wakute mambo yako fresh si jambo rahisi na ukute hana hata msaidizi wa nyumbani so ni kila kitu anafanya mtu mmoja tena kwa ukamilifu na bado anachukuliwa poa mwanamke hiyu..wanahaki na kupata 50 50 acha mfumo uwabebe
Je mwanaume analipwa na nani kufanya kazi na kugharamikia familia kwa 100%?🤔
 
Je mwanaume analipwa na nani kufanya kazi na kugharamikia familia kwa 100%?🤔
Sjui umesoma vizuri hii point imeanzia wapi mkuu...hii issue imeanzia pale mdau mmoja alipoonesha kumchulia poa mwanamke ambae ni home stayer kupata 50 50 pale inapotokea wamatalakiana..madai yake ni kwamba mwanamke haongezi wala hachangii chochote mimi nimejaribu kuonesha kwa mapana yake..mwanaume anafanya kazi anapata pesa anatimiza ndoto zake anahudumia familia yake na kwao anajitimizia mahitaji yake ...vipi huyu mwanamke anayefanya unpaid work analipwa pesa na nani kupata mahitaji yake(hapa nazungumzia wanaume wasiowapa pesa wake zao kwa ajili ya mahitaji binafsi)kwa nn basi hiyo pesa ambayo angelipwa dada usimpe mkeo na yeye apate mahitaji yake ya kike?

Alafu Kuolewa sio mafanikio.. wala kuolewa na mwanaume mwenye pesa hakufanyi mwanamke kuwa tajiri unaweza kutana na usichotarajia huko na ndoto zikafa kabisa ukawa busy na familia ambayo wala haithamini mchango wako..
 
Wakili Fatma Karume ameamua kuweka wazi kesi yake ya talaka mahakamani ambapo katika ugawaji mali mahakama imempa 75% dhidi ya 25% kwa upande wa mtalaka aliyekuwa mume wake.

Kinachonishangaza ni mwanaume kutaka Fatma Karume asizingatiwe kwa haki sawa wakati yeye ndiye aliyechangia zaidi katika kutafuta mali!
Hii kesi inaonyesha pia kwa nini wanaume wengi wanaogopa kuoa wanawake wanaharakati, wasomi na walio smart.

View attachment 3248257
View attachment 3248258

Kwahiyo hii ngumi ya chembe amepigwa Dr. Omar? Au sisi wana nzengo?
 
Sjui umesoma vizuri hii point imeanzia wapi mkuu...hii issue imeanzia pale mdau mmoja alipoonesha kumchulia poa mwanamke ambae ni home stayer kupata 50 50 pale inapotokea wamatalakiana..madai yake ni kwamba mwanamke haongezi wala hachangii chochote mimi nimejaribu kuonesha kwa mapana yake..mwanaume anafanya kazi anapata pesa anatimiza ndoto zake anahudumia familia yake na kwao anajitimizia mahitaji yake ...vipi huyu mwanamke anayefanya unpaid work analipwa pesa na nani kupata mahitaji yake(hapa nazungumzia wanaume wasiowapa pesa wake zao kwa ajili ya mahitaji binafsi)kwa nn basi hiyo pesa ambayo angelipwa dada usimpe mkeo na yeye apate mahitaji yake ya kike?

Alafu Kuolewa sio mafanikio.. wala kuolewa na mwanaume mwenye pesa hakufanyi mwanamke kuwa tajiri unaweza kutana na usichotarajia huko na ndoto zikafa kabisa ukawa busy na familia ambayo wala haithamini mchango wako..
Big point
 
Kuachana nako ni kuzuri jamani.
Gawaneni kwa Amani,peaneni nafasi,Ikibidi muulize mtalikiwa wako anataka kipi kuchukua na wewe akupe kipi.

Ukimpa mwanamke uhuru kuchagua wakati wa talaka inakaa poa sana,Ila inabdi uwe Smart.
 
Wakili Fatma Karume ameamua kuweka wazi kesi yake ya talaka mahakamani ambapo katika ugawaji mali mahakama imempa 75% dhidi ya 25% kwa upande wa mtalaka aliyekuwa mume wake.

Kinachonishangaza ni mwanaume kutaka Fatma Karume asizingatiwe kwa haki sawa wakati yeye ndiye aliyechangia zaidi katika kutafuta mali!
Hii kesi inaonyesha pia kwa nini wanaume wengi wanaogopa kuoa wanawake wanaharakati, wasomi na walio smart.

View attachment 3248257
View attachment 3248258
Hapo naunga mkono hoja.Na ikitokea Mwanaume amechangia zaidi nae apewe hiyo hiyo 75% badala ya 50/50 inayotumika Sasa.

Mwisho yaani Kuna mtu alioa huyo Fatma? 🤪🤪🤪
 
wasenge tu, mwanamke hata akiwa anapika ugali na kuangalia tamthilia tu nyumbani mkiachana mahakama inataka apewe 50% ya mali zote.
Nimeona hili .... Huko Marekani... Donald Trump amelizungumzia kwa uchungu..... Nafikiri sheria za huko zitarekebishwa siku sio nyingi...
 
Back
Top Bottom