Ni ujinga tu kushangilia mauaji ya Wapalestina kwa kudhani wanaouliwa ni Waislam

Huu ndo ukristo ulio nao!!Ukristo halisi ni huu;".....Msishindane na mtu mwovu.Akupigaye shavu la kushoto,mgeuzie na la kuume"
 
Huu ndo ukristo ulio nao!!Ukristo halisi ni huu;".....Msishindane na mtu mwovu.Akupigaye shavu la kushoto,mgeuzie na la kuume"
Hamnaaa banaa haiwezekani kuwakaribisha na kuwahifadhi magaidi kwenye nyumba takatifu na tukufu ya bwana. Hili ni kosa na laana kubwa matokeo yake kombora walilorusha litue kwa wateule likatua
 
Vita ya Russia na Ukaraine sisi waislam inatuhusu nin hadi utuhishe nayo.
 
Ni Kwa kigezo kipi kinachokufanya ustand na Israel Taifa ambalo haliutambui ukristo?
 
mngekemea kipind hamas wamelianzisha , na unapoona ni sw hamas kuua waisrael ila sio sw waisrael kijibu bas ww ni mpumba...
 
palestina hawatak
 
Wakristo hawata kuelewa mana ukimbariki israel utabarikiwa na ukimlaani utalaaniwa,sambamba na hilo tuendelee kulaani mauaji ya kigaidi yaliyofanywa na yanayoendelea kufanywa na hamasi.
hiyo dini yenu ina watu wapumbav sana , wanachofanya wapalestina kwa waisrael mnaonaga ni sw tu ila waisrael kujibu sio sw , ndio maana magaidi ni wengi kwenye dini yenu maana unafik na ubinasfs umeshamir hata Mousab Yosef kasema the same kuhusu nyiny
 
Najisi 😂 nyie shukuruni Mtume Muhammad ndio aliye wafundisheni usafi, nyie si mpa leo au majuzi ndio mmejuwa kujichamba kwa maji na wengine mpaa leo mnatumia hizo toilet paper hata mvae suite mkipita mnanuka mavi tu.

Tatizo unajitoa akili tu Israel amenda piga kanisa kuna silaha za Hamasi 😂


View: https://youtu.be/OOBcs33LrFU?si=Uo1HkUZ_-sj-Mv8e Wacha waingie Gaza uone watakavyo uliwa hao mnao jidai wanalindwa na Mungu 😂 hao wanalindwa na America na Europe tu

Huyo rais wa America anajidai Hamasi ni ma dictotor na yeye ni nani kuna nchi duniani inapinga sheria za UN kama America 😂
 
Wapalestina 18 wa Kikristo waliuawa katika mlipuko katika Kanisa la Saint Porphyrius, Reuters inaripoti. BBC haijaweza kuthibitisha takwimu hii.

Hapo awali Hamas ilisema watu walikuwa wakilinda kanisa hilo na kulaumu shambulio la anga la Israeli kwa uharibifu huo.

Jeshi la Israel liliambia shirika la habari la AFP kwamba ndege zake za kivita ziligonga kituo cha amri na udhibiti kilichohusika katika kurusha roketi na makombora kuelekea Israel, na matokeo yake, "ukuta wa kanisa katika eneo hilo uliharibiwa".
 
Huyu huyu mtume Muhammad alikuwa anapaka wanja na hina na kumlamba mdomo na kumnyonya ulimi mwanamme mwenzake al Hussein msikitini akiwa uchi???
 
Kwa kweli ujinga ni kitu kibaya sana, ukiwatizama hawa jamaa fikra Zao na jinsi wanavyojiona kuwa wao ni waerevu unakosa la kusema kabisa, wagalatia Wana matatizo sana
 
Huyu huyu mtume Muhammad alikuwa anapaka wanja na hina na kumlamba mdomo na kumnyonya ulimi mwanamme mwenzake al Hussein msikitini akiwa uchi???
Hizo ni history za wajinga tu, uislam na ushoga wapi na wapi hongereni taifa lamungu wenu ndio mnaongoza ushoga na ushonga ni damu damu na ukristo hebu fatilia uone makanisa mangapi wanaowana wanaume kwa wanaume 😂
 
fuatilia usiwe zezeta wa propaganda za hawa waislam , Kamsikilize Moasab Yosef aliyekuwa mtoto wa kiongoz wa hamas , hv walichofanya hamas uliona ni kitendo cha kukichekea ? ni nchi gan ingekaa kimya kwa kile kitendo ? kama Kenya aliivamia Somalia kisa watalii wasiozid 20 je jiulize vifo vya watu 260 na mateka juu na bado wanaendeleza mashambuliz , je ulitaka israeñ wafanyaje?

Nkurudishe kwenye historia , kuanzia miaka 1861 waisrael walianza kurudi hapo na hawakuchangamana na wapalestina bali walienda maeneo ya chini kabisa na kununua maeneo kisha wakawa wanalima na baadae kujenga viwanda kufikia mwaka 1948 mkoloni wa hilo eneo alipotangaza uhuru basi waisrael wakajitangazia uhuru kwa maeneo waliyokwepo na sio maeneo ya wapalestina na hayo maeneo yapo maandiko/vitabu vingi vya wafasiri waliowai pita hapo wanasema hawakukuta mtu yalikuwa mapori yenye magofu tu na makaburi ya kale ya waisrael , hivyo baada ya waisrael kujitangazia uhuru kwenye kiardhi kidogo sana ukilinganisha na lile la wapalestina , waisrael wakaanza pata wageni ktk yale maeneo ambao walikuwa wanadai pale ni kwao na waisrael hawaba haki ya kuwepo pale , wkt huu wapalestina walikuwa na eneo krb robo tatu ya ardhi yote iliyoachiwa huru na uingereza na israel alikuwa na karobo tu ambacho kalikuwa mabonden , basi wapalestina wakasahau kuapambaba kujenga nchi na wakaja na agenda ya kuwatoa waisrael hapo ili wabakie wao kwenye eneo lote ( UBINAFSI HUU , Mbona South Africa hakutaka wameza Lesotho na Swaziland ? Mbona sisi waafrika hatukutaka kuwafukuza waarabu wa afrika kaskazini sababu waliua mababu zetu na kukamata yale maeneo ya kaskazin ).

Mwaka 1948 Waarabu na wapalestina wakaivamia Israel ila kibaya wakapigwa na ili Israel awepo salama ilimbidi apore maeneo ya majiran walioshiriki kumvamia maana israel ilikuwa mabonden so ilikuwa nyepes wao kupigwa au kupoteza vita incase wakivamiwa ghafla , Hali hii waarabu wamekuwa wanaifanya kwa waisrael mara kwa mara na badala ya kuleta matumaini kwa wapalestina , ndo wapalestina wamekuwa wanapoteza maeneo zaid , Je hapa wakulaumiwa nan ?

Shida kuu ya Israel ni amani nchi zote za kiarabu na kwa wapelestina walishapewa option 2 , moja ni kuunda taifa moja ila wapalestina walikataa , na la pili ni kila mtu awe na taifa lake lkn Wapalestina waitambue Israel kama taifa huru na hii pia wapelestina walikataa.

Malengo makuu ya wapalestina ni kuwaondoa waisrael hapo na sio kuish nao kwa amani , mtu wa karne ya 21 unapata ujasiri wap wa kusapoti watu wa namna hii ? hawa ni wabaguzi , tukianza kuwa na akili hz basi watu wengi itabidi waondolew katika maeneo mengi sana dunian .

Kibaya zaidi waaabu au wapalestina au washirika wengine ndo wamekuwa wanaanza ivamia israel , hivyo mara zote Israel amekuwa analazimishwa kuingia vitan akiwa hajajipanga na ili kumtisha mvamizi lzm apige mapigo mazito ili iwe hofu kwa mvamiz na tulivyo na akili za kulala tunahukumu tu anaejibu ila hatuoni huyu ambaye yupo duniani na ajui nini anatakiwa afanye , miaka 75 sasa wapalestina hawana hata fikra za kuunda nchi yao badala yake wamekuwa watumwa wa waarab na waajemi kwenye vita dhidi ya israel , je kama ni wewe ungewafanyaj majiran wa hv ?
 

Kwanza KABLA hujakimbilia kwenye matusi inakupasa utoke huko gizani Kwa KUDHANI kuwachukia wapelestine ni WA kuchukia uislam na waislam na kuwapenda WAISRAEL ni kupenda ukristo na wakristo,toka nje ya Hilo Giza Kwanza Kisha tujadili UPATE uelewa.

Sababu ndani ya wapelestine Kuna ndug zako wakristo wengi sana ambao ni wahanga wa mashambulizi ya Israel,huo Ugaidi unaosema hata wakristo magaidi wapo pia,kwani walichofanya marekani kwenda Iraq na kuua watu siyo kitendo Cha kigaidi??

Unajua kwanza definition ya neno Ugaidi,au ww unajua Ugaidi ni uislam tuh.
 
Ushahidi uko wapi kuwa Hamas imeua watoto wadogo Kwa kuwachinja?

Na nani kakueleza tunashangilia Hamas kumwaga damu?pia unazungumzia Hamas kumwaga damu,vip unaacha IDF inayomwaga Damu kila siku ya innocent Palestinian people?
ww ni mpumbav , inatosha kukuita hivyo , unataka ushaidi upi wkt hadi video clip zipo au unahisi waisrael mazezeta wanaeza danganywa na serikli yao kijinga
 
Unaandika uharo mtupu hujui hata historia.
 
ww kichwan ni bure , hamas walirusha makombora 5000 mlifurahia humu kama israel isingekuwa na namna ya kujilinda tungezungumza nin humu?
 

Israel sasa yashambulia makanisa baada ya kushambulia Misikiti na hospitali Ghaza​

mtapigwa popote pale mtakapojificha , mm mkristu ila naunga mkono piga makanisa kama hamas anatumiwa kama kinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…