Hujajibu swali la mleta mada uko OPSawa
Binafsi huwa nawashangaa, nyie wanaume mnavyoweza kuwafanya wanaume wenzenu, kwani hamuoni vibaya,
haya unavyombenua hivyo mwenzio sasa huyo mdudu wake unakuwa wapi.
Vile mnajiona nyie ni top au head ila hiyo siyo nzuri
Muelewe kiranga anachokisema Kina mantik ila mnajikuta amuelewi anachokimaanisha Kwa sababu mnataka mlete maana zenuMkuu acha basi kujitungia swali kwenye mtihani.. mimi nilieuliza ndio najua nachokitaka..
Hahahaaaaa, yani umeongea kana kwamba huwa unawaona wanavyowabenua..Sawa
Binafsi huwa nawashangaa, nyie wanaume mnavyoweza kuwafanya wanaume wenzenu, kwani hamuoni vibaya,
haya unavyombenua hivyo mwenzio sasa huyo mdudu wake unakuwa wapi.
Vile mnajiona nyie ni top au head ila hiyo siyo nzuri
Nimecheka kishenzi mwanangu..Wewe ngumbaru hujui kwamba si wanawake wote ni wakina mama.
Pia, hujui tofauti ya swala na suala.
Hapa ukiharibu utapigwa tu, hamna jinsi.
Kwa sababu umeleta mada JF hujapeleka Umoja wa Wanawake.
Mwanaume hutakiwi kuwa muoga kiasi hicho...Sifahamu ujasiri huu wa kumchakata mwanaume mwenzio baadhi ya wanaume wanautoa wapi!
Nilishawahi vuta chombo Lodge, nilikutana nacho kwa hotel, pic qal, na matiti juu pamoja na mshape mpaka sauti! Nilipokuja kukivua, nikakuta dushe linaning'inia! Wakuu, nilitoka room na hiyo speed ya ajabu, suruali niliivalia kaunta!
Kilugha swali halijaonyesha umoja hapo kwa maana ya wanawake wawe na jibu moja. Swali liko wazi tena limeweka wazi wanawake waonyeshe msimamo wao, aidha wa kuunga mkono au kuwa dhidi. Mtoa mada ameuliza swali sahihi kwa kuzingatia maana na mjengeko wa swali.Kwa nini unafikiri wanawake wana msimamo mmoja?
Kwani wanawake wote wanafikiri sawa?
Mtoa mada umeuliza swali zuri sana. Hakuna mwanamke mwenye kujielewa atakaye unga mkono suala la ushoga. Kwanini ?Kwa muda mrefu nimekua nikijiuliza hili swali bila kupata majibu muafaka.
Kila linapoibuka swala la ushoga, mara nyingi nimeona wanawake ama wakiwa hawaonyeshi kukerwa nalo, au wakilitetea. Na pia mara nyingi nimeona mashoga wengi marafiki zao wakubwa ni wanawake na wanawake hao huwa hawaoni shida kuonekana wameambatana na mashoga, kitu ambacho ni nadra sana kukuta mwanaume akiambatana na shoga waziwazi.
Sasa leo naomba akina mama mniambie nyie kwenye suala hili mpo upande gani?
a) Mnaunga mkono
b) Hamuungi mkono
c) Hamjali
We mdada uko open minded sana, nakutamani sana, watu kama wewe sikutani nao mitaani, Au nihame huku Mbagala niwe naishi hata Mikocheni? Nahisi maeneo tunayokaa nayo ni tatizo.NImeipenda sana hii kaka mkubwa...nimejifunza kitu , Thanks....
Kiranga matataHapana, msimamo wa wanawake wengi si sawa na msimamo wa wanawake.
Heading imeandikwa "msimamo wa wanawake", si "msimamo wa wanawake wengi".
Stop the collectivization of thoughts.
Ndio: kwani kuna wanawake mashoga?Kwani ushoga upo kwa wanaume tu?
Hahah mkuu!Nakazia hapa, naomba nikuone kidogo inbox 🙏
Hakuna maendeleo bila matata.Kiranga matata
Swali la maana sana hili.Kwahiyo hata mwanao akifika huko utaona ni kawaida tu kisa kaamua mwenyewe?
Nasubiri jibuKwani ushoga upo kwa wanaume tu?
Good point! Nchi za magharibi hasa Marekani na Ulaya wana sheria nyingi sana zinazowapa nguvu wanawake na mashoga kwa kigezo cha kupinga mfumo dume.Ushoga ni ishara au alama ya anguko la uanaume na Sasa hivi ulimwengu kupitia wanawake upo kwenye vita dhidi ya uanaume katika kubalance power na ku neutralize ushawishi kwenye jamii zetu............
Katika kuchochea harakati hizo zimetungwa sheria nyingi sana zinazomfanya mwanamke kuwa mtakatifu na anyenyekewe.......na pia zimetungwa sheria na harakati nyingi za kuwatambua na kuwapa haki sawa wanaume wanaotamani au kutaka kuishi na kutumika kama wanawake......ndoa za jinsia moja ni ishara mojawapo........
Kwa hivyo basi anguko la MWANAMUME ni alama ya ushindi kwao na linapolewa kwa shangwe kwa kutumia msamiati wa haki za kibinadamu..............
Nyakati za nyuma kulikuwa na vita nyingi za kimamlaka baina ya himaya au Kingdoms kwa kuwa hayo ndio hasa maumbile ya uanaume........Wenye mamlaka na ulimwengu wameliona Hilo mapema na wapunguza nguvu za kimlaka na ushawishi kwa wanaume ili kuleta msawazo wa kimadalaka na ajenda zao ovu chini ya ulimwengu......
Ustawi wa uanaume katika ulimwengu ni pigo kwa mamlaka na madalaka yao ajenda zao ovu kwa kuwa wanajua.... Wenzetu Wana madhaifu katika hayo....
DUNIA INAPOELEKEA NI UTASHI WA MUNGU TU NDIO UTAKAOTUOKOA........
Hakuna afadhali iwe kwa mwanamke ama mwanaume. Wote ni uchafu tu.Bora ufir...e mwanamke. Kufi....r mwanaume mwenzio hiyo ni heavy weight.That is repugnant to justice and morality