Unaudharau utamaduni wa Kiarabu> Tuambie ni nini maana ya ustaarabu halafu kubali kuwa wewe si mstaarabu.Achana na sisi na utamaduni wako wa kiarabu, Tutaendelea kukujoa tumesimama.
Ufanye hivyo Ili ugundue nini?Ili uwe kama Bakheresa,au Dangote?ina tija gani?au ndio maagizo ya Allah!Unless unakojoa polini kwenye majani, sehemu yene mchanga mwingi au vile vyoo special vya juu hasa vinavyokuaga stand za mabasi au vyoo vya kulipia au vile vya shimo la moja kwa moja unaweza ukasimama, ila hivi vyoo vya sink na kwengineko ni uchafu mwanaume kukojoa umesemama.
Ukikojoa kwa kusimama Mkojo unaruka na kuingia kwenye nguo, ukutani na chombo cha karibu cha kuhifadhia maji au kunawia.
Pia ni vizuri kuosha zakali yako baada ya kukojoa, sio baada ya kukojoa unaiingiza tu kwenye suluali na kufunga zipu.
Pia hakikisha umemaliza kila kitu ndio unawe na kuiingiza ndani vinginevyo kuna vidogo vidogo vinavyobakia vinakua vinakuja taratibu mwishoni na unaweza usifahamu.
Naomba kuwasilisha
Unaonekana wewe ni binti, wanaume huwa hatuandiki hivi. Kujisifia ukidume hali ya kuwa ni kidume ni kutokujiamini kama ilivyo kuweka wazi jambo ambalo liko wazi.We kojoa kwa kuchuchumaa, ila mimi kidume nasimama.
Poa.Yani nichukue udongo nijifute kwenye kikojoleo au nichukue jiwe nijisugue kuondoa mikojo iliyobaki? Huu ujinga sifanyi, kwanza mkojo ni uchafu uliokuwa mwilini hivyo hauna madhara kama yangekuwepo labda UTI ingeniathiri kabla sijautoa.
Siwezi jikuta msafi nikaogopa urea alafu nijipake udongo wenye uchafu wa nje. Bacteria humohumo, fungi na mayai ya wadudu. Kwahiyo mwanamke naye ajipake udongo na ajifute na jiwe kama maji hamna?
Wanataka kila mtu aamini wanavyoamini waoHilo ndilo la msingi, jamaa hasemi ukweli tu. Mbona hasemi kufuga ndevu ni uchafu?
Swali: Mwanamke naye anatumia jiwe au mchanga kujisafisha baada ya kukojoa endapo maji hamna?Poa.
Mkuu umenichekesha mno![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lol better y'all than me. I'll shake the damn thing after use like a normal mf.
Mwanaume kuchuchumaa , mhhMkuu kukojoa umesimama kuna wakati ni bora na kuna wakati sio bora.
Na kukojoa umechuchumaa ni bora na kuna wakati sio bora.
Kimsingi kinachozingatiwa kwenye kukojoa ni kwamba mkojo usiingie kwenye nguo kama ambwvyo mtu anaepusha mavi yasiingie kwenye nguo.
Na mtu aweze kukosha kitoka mkojjo kama ambavyo anakosha kitoka kinyesi.
Lengo sio kukojoa umechuchumaa bali lengo ni mkojo usifike kwenye nguo na ukoshe utupu vizuri.
So mtu anaweza kukojoa amekaa au amesimama maadamu tu anaweza kukosha tupu na mkojo usiingie kwenye nguo.
Kukata moja kwa moja kwamba kukojoa umechuchumaa ndio usafi nadhani hali make sense saana.
Sijui.Swali: Mwanamke naye anatumia jiwe au mchanga kujisafisha baada ya kukojoa endapo maji hamna?
Yule jamaa aliyewaambia dunia iko flat aliwaharibu sana hawa jamaa.Miaka yote tangu utotoni nakojoa kwa kusimama fresh tu, leo hii unaniambia nichuchumae? Gerarahiaa
Kama ishu ni nguo kuchafuka... washing mashine, sabuni maji yapo.. zitafuliwa
Kama sijui ni ishu za infection... hospital na madaktari bingwa wapo watanitibu
ila nikuhakikishie kuwa miaka yote hii tangu utotoni sikuwahi kupata tatizo lolote la kukojoa nikiwa nimesismama
[emoji50][emoji50][emoji50] hee hii sijawahi sikia kumbe mambo yankuwa hivyo ati?Nyie wenzetu sijui mkoje, na ile ya kujiingiza kidole cha kati hadi mwisho wakati wa kutawaza baada ya haja namba 2 imekaaje?