Ni vitu Gani huvipendi katika Movie zilizotafsiriwa kwa Kiswahili?

Ni vitu Gani huvipendi katika Movie zilizotafsiriwa kwa Kiswahili?

Huyu msengerema yaani episode moja yeye anatoa 4. Mnaoangalia hizi series za kutafsriwa mna kazi sana. Episode 1 ina dk 10?
Baada ya bando kupanda, nikasema ngoja nikarushe nilichokutana nacho bora niendelee kudownload tu.
Mimi hainiingii akilini series ina episode hadi 1000+ inatia ukakasi. Movie nyingine zinakuwa na season moja lakini madj wanakuwa na hadi season 4 ya hiyohiyo season 1
 
Acheche🤣🤣 jina linachekesha

Nilikua naangalia zile za Rufufu Mukandala, jaman alikua ni anatafsiri uongooo ila ndio movie zinanoga hatari😂😂
Jana tulikuwa tunaangalia mov na dogo… akasema mov haina subtitles, haijatafsiriwa mie hata hainogi 😂 na inaleta usingizi.


Zinanogesha sema mov quality hamna 😝 unakuta nyingine zimepauka hadi basi kama ile SOZ
 
Jana tulikuwa tunaangalia mov na dogo… akasema mov haina subtitles, haijatafsiriwa mie hata hainogi 😂 na inaleta usingizi.


Zinanogesha sema mov quality hamna 😝 unakuta nyingine zimepauka hadi basi kama ile SOZ
Zile quality zao hahahaa sijui kwann zinqkuq mbaya

Movie za kutafsiriwa unaanzia wapi kusinzia mfano, hizo sauti zinavyoumiza na kudisturb masikio🤣🤣
Ni kuenjoy mwanzo mwenga
 
Mi kuna siku nilichoka zaidi kwenye ile Tamthilia ya Kesari ya Azam yule anayetafsiri si akachomekea neno Royal Tour. 😅😅

Ikabidi nicheke tu sababu ule ni uongo uliokithiri.
 
Kiufupi hizo movies nilizichukia pale nilipoanza kuwa msomi

Tofauti na hapo zilikuwa ndio movies zetu watoto wa Manzese
 
Sawa mjanja wa Kijiji. Kumbe tafsiri ya lugha ni ujinga.
Utakuwa mtafasiri movie wewe, anyway yaani nikiona mtu anaangalia hizo series za kutafsiri namshusha thamani, mnatafsiri mtafikiri mnagombana na mtu kelele nyingi mpaka kero.
 
Jana tulikuwa tunaangalia mov na dogo… akasema mov haina subtitles, haijatafsiriwa mie hata hainogi [emoji23] na inaleta usingizi.


Zinanogesha sema mov quality hamna [emoji13] unakuta nyingine zimepauka hadi basi kama ile SOZ
Movie inakua na quality ya 3gp itatoa wapi ubora? Ambayo dj anajielewa kwambaaali ataweka 480p ama 360p. Ambazo hizo ni low quality video. Atleast mtu aweke 720p (HD) au full HD kabisa (1080p)
 
Movie inakua na quality ya 3gp itatoa wapi ubora? Ambayo dj anajielewa kwambaaali ataweka 480p ama 360p. Ambazo hizo ni low quality video. Atleast mtu aweke 720p (HD) au full HD kabisa (1080p)
Wanaweka hivyo ili wapate wateja wengi zaidi
 
Back
Top Bottom