Ni vitu vipi vinaiangusha Tasnia ya Bongo Movie? Changia Mawazo

Ni vitu vipi vinaiangusha Tasnia ya Bongo Movie? Changia Mawazo

Swali ni je? wanazalisha Watu sahihi wa kutupatia kile tunachokiona kwa hao wanaotuvutia na filamu zao?.
Walioshikilia soko la filamu hawataki kuwapa nafasi hao wasomi sababu wanajua ndio anguko lao mazima, nina ushahidi na hilo pia kaangalie kipindi cha Salama na Monalisa utamsikia masikitiko yake.
 
Hapa mtapiga kelele ila ukweli ni huu. Watarishaji wa filamu bongo wanafanya kama vile soko linahijati(wateja).

Je unajua wateja wa filamu ni kina nani? Wateja wafilamu za kibongo wa muda wote ni wanawake (loyal customers) acha na sisi wanaume wazee wa logic thinking.

So yote mnayoona yanafanyika target kubwa ni hiyo. Watayarishaji masoko yao wanayajua vizuri sana ndio maana wanatenganeza hizo hizo na kulipa bills zao za kila siku.

Shabaha wahususi ya zama hizi ni kuruka kwenye television za ving'amuzi kwaiyo waandaaji wengi wamejikita kwenye maudhui ya ndani(local) ili vizuri na wateja wao.
 
Walioshikilia soko la filamu hawataki kuwapa nafasi hao wasomi sababu wanajua ndio anguko lao mazima, nina ushahidi na hilo pia kaangalie kipindi cha Salama na Monalisa utamsikia masikitiko yake.
kwa upande wa cinematographers wasomi hawajui kitu.
Nimekutana nao kadhaa full kutetemeka tu ukimpa camera.
Yote ni sababu wanafundishwa na film academicians na sio film experts
 
Kipaji then muonekano sasa siku hiz muonekano above all
 
Kanumba ndo alikuwa anaibeba industry ya Bongo Movie,kwahyo kifo chake ndo kiliharibu kila kitu maana Hawa waliobaki Ni wababaishaji tu
 
Shida ni soko. Soko halieleweki ndo maana hakuna anayewekeza nguvu nyingi bongo movies. Maana wanajua faida yao haitarudi. Hii ndo sababu wanendelea kutoa movies za low budget.
 
kwa upande wa cinematographers wasomi hawajui kitu.
Nimekutana nao kadhaa full kutetemeka tu ukimpa camera.
Yote ni sababu wanafundishwa na film academicians na sio film experts
Watanzania tupo nyuma kwenye kila kitu aisee labda Umbea na Masengenyo ndio tutakua namba moja duniani lakini vingine sijui tuna shida gani.
 
Walioshikilia soko la filamu hawataki kuwapa nafasi hao wasomi sababu wanajua ndio anguko lao mazima, nina ushahidi na hilo pia kaangalie kipindi cha Salama na Monalisa utamsikia masikitiko yake.
kingine hii industry ni open yeyote mwenye uwezo wa skills na pesa can join.
Wewe kama unamtaji milango ipo wazi unaweza kuingia.
Tengeneza stori if you can't hire mtu akusaidie.
Scrips na kila kitu including kuaanda cast you name it
Hire production team kazi ifanyike ya kiwango unachokitamani then upeleke sokoni.
Uone kama ni raisi au ni ngumu.
 
Watanzania tupo nyuma kwenye kila kitu aisee labda Umbea na Masengenyo ndio tutakua namba moja duniani lakini vingine sijui tuna shida gani.
yani ilo ndio soko lenyewe.
watu wanataka sembe wale washibe wewe unataka uwauzie ufuta eti kisa nayo ni nafaka.
 
Hawataki kujifunza....... elimu/sanaa ya uigizaji.....hakuna ubunifu kabisaaaaa.......anyway tuwaache tuu....mara ya mwisho kuangalia ilikuwa 2010......au wamebadilika now....
 
1. Wakivaa yale ma Make up yao wanatisha jamani, sijui ni nani anawakandika vile [emoji119]

2. Wanawake wakubwa mno yaani mitipwatipwa haipendezi kucheza scenes za harakati zaidi ya mambo ya familia, hawajui vile Models hupendezesha screen.

3. Ubunifu wa Story zero na hii inatokana na Waandishi kua na Low IQ, hawawazi mambo makubwa zaidi ya yale yale tuliyoyazoea miaka nenda rudi,

4. Vifaa Duni, kuanzia Cameras, Technologia hadi Bajeti

5. Vipaji hakuna, wanachukuana wale wale kwa kujuana, kuna Wasomi wa Chuo cha Sanaa wanabaniwa kila sekta wanapitishwa wauza Sura

My Take;
Apatikane mdau/wadau mzuri awekeze kwenye hicho kiwanda, awekeze kwa Wasomi waliobobea kwenye kila taaluma ya Filamu, Sanaa yetu ikifika mbali hata hao Watalii watakuja wenyewe, kwanza tuna maeneo mengi sana na mazuri ya kufanyia shootings.
Wengi wao hawana ufahamu juu ya mambo mbalimbali ya dunia(issues), pia wengi hawasoni vitabu na machapisho ya waandishi nguli, elimu ndogo hapa ni mchanganyiko wa elimu ya darasani na Ile ya kutembea maeneo tofauti ndani na nje ya nchi... Visa vyao ni mapenzi tu.

Hawafuatlii ishu nyeti kama za rushwa, wizi wa kimtandao, ukwepaji wa Kodi, uharibifu wa mazingira, wizi wa magari, usafirishaji na biashara ya binadamu, matatizo ya ajira...

Mwisho waigizaji wengi wa bongo movu Sio waigizaji, labda Kuna biashara wanazifanya kupitia mwavuli wa kuigiza
Nchi yetu ina historia za Watu waliofanyia makubwa Taifa hili, kutwa tunaangalia movies za wenzetu wakiwaenzi mababu na mabibi zao kupitia Movies ili Historia inabakie na hata iwe rahisi kwa Watoto kujifunza Shuleni,

Kiwanda chetu cha Filamu kimeshindwa kufanya hayo, tunaletewa huyu kamfumania yule, yule Mtoto wake alikua huyu ila hakujua, sijui Mama wa Kambo nini yaani ujinga ujinga tu.
Wamepata maoni yenu wana jf
 
Tanzania hakuna Film Schools hivyo kutarajia wafanye ubora zaidi ya hapo ni miujiza tu...hizo nchi zote unazozitaja zina Film Schools za kutosha.

Ipo haja ya kuandaa kizazi kipya kuhusu suala zima la filamu.

Watoto wangali Wachanga Wanapaswa kufahamu umuhimu wa screen play na jinsi ya kuzitumia...kwa leo hii ukitaka uwalazimishe hawa waliopo sio kazi rahisi maana wameshakomaa na waliingia kwenye hii tasnia bila kujali sana mambo mengi yanayoijenga tasnia...shortcut ni nyingi na ukiwauliza watakwambia ni ufinyu wa bajeti.

Suala la kuatengeneza Filamu ni gumu tofauti kabisa na wengi tunavyochukulia.
Screen play bora ndio uti wa mgongo (spine) ya filamu bora...swali ni je tunao au tunazalisha Waandishi wazuri wa Miswada?.

Baada ya screen play bora lazima uwe na Mpiga picha bora (Cinamatographer)...yaani mbali na kuwa na weledi wa kupiga picha pia awe na ufahamu wa tasnia ya filamu...aijue script, ajue kutumia story board, ajue namna ya kuwasilina na timu nzima inayohusika na Filamu, kwamba wanapojadili shotlist basi waongee lugha moja.

Tatu ni Muigizaji bora, bila muunganiko wa hizi kada tatu muhimu usitarajie zao lililo bora.
Swali ni je? wanazalisha Watu sahihi wa kutupatia kile tunachokiona kwa hao wanaotuvutia na filamu zao?.
Lazima walipe pesa kidogo sababu hakuna cha maana kinachopelekwa kwenye screen,

Hebu itengenezwe filamu nzuri, yenye story ya kusisimua uone kama hawatawalipa vizuri.
Vizuri
 
Walioshikilia soko la filamu hawataki kuwapa nafasi hao wasomi sababu wanajua ndio anguko lao mazima, nina ushahidi na hilo pia kaangalie kipindi cha Salama na Monalisa utamsikia masikitiko yake.
Hawataki kujifunza....... elimu/sanaa ya uigizaji.....hakuna ubunifu kabisaaaaa.......anyway tuwaache tuu....mara ya mwisho kuangalia ilikuwa 2010......au wamebadilika now....
kingine hii industry ni open yeyote mwenye uwezo wa skills na pesa can join.
Wewe kama unamtaji milango ipo wazi unaweza kuingia.
Tengeneza stori if you can't hire mtu akusaidie.
Scrips na kila kitu including kuaanda cast you name it
Hire production team kazi ifanyike ya kiwango unachokitamani then upeleke sokoni.
Uone kama ni raisi au ni ngumu.
Hawataki kujifunza....... elimu/sanaa ya uigizaji.....hakuna ubunifu kabisaaaaa.......anyway tuwaache tuu....mara ya mwisho kuangalia ilikuwa 2010......au wamebadilika now....
Hapa mtapiga kelele ila ukweli ni huu. Watarishaji wa filamu bongo wanafanya kama vile soko linahijati(wateja).

Je unajua wateja wa filamu ni kina nani? Wateja wafilamu za kibongo wa muda wote ni wanawake (loyal customers) acha na sisi wanaume wazee wa logic thinking.

So yote mnayoona yanafanyika target kubwa ni hiyo. Watayarishaji masoko yao wanayajua vizuri sana ndio maana wanatenganeza hizo hizo na kulipa bills zao za kila siku.

Shabaha wahususi ya zama hizi ni kuruka kwenye television za ving'amuzi kwaiyo waandaaji wengi wamejikita kwenye maudhui ya ndani(local) ili vizuri na wateja wao.
kumbe watu wengi tunafuatilia hizi movie tatizo Ubora .
 
Walioshikilia soko la filamu hawataki kuwapa nafasi hao wasomi sababu wanajua ndio anguko lao mazima, nina ushahidi na hilo pia kaangalie kipindi cha Salama na Monalisa utamsikia masikitiko yake.
Hawataki kujifunza....... elimu/sanaa ya uigizaji.....hakuna ubunifu kabisaaaaa.......anyway tuwaache tuu....mara ya mwisho kuangalia ilikuwa 2010......au wamebadilika now....
kingine hii industry ni open yeyote mwenye uwezo wa skills na pesa can join.
Wewe kama unamtaji milango ipo wazi unaweza kuingia.
Tengeneza stori if you can't hire mtu akusaidie.
Scrips na kila kitu including kuaanda cast you name it
Hire production team kazi ifanyike ya kiwango unachokitamani then upeleke sokoni.
Uone kama ni raisi au ni ngumu.
Hawataki kujifunza....... elimu/sanaa ya uigizaji.....hakuna ubunifu kabisaaaaa.......anyway tuwaache tuu....mara ya mwisho kuangalia ilikuwa 2010......au wamebadilika now....
Hapa mtapiga kelele ila ukweli ni huu. Watarishaji wa filamu bongo wanafanya kama vile soko linahijati(wateja).

Je unajua wateja wa filamu ni kina nani? Wateja wafilamu za kibongo wa muda wote ni wanawake (loyal customers) acha na sisi wanaume wazee wa logic thinking.

So yote mnayoona yanafanyika target kubwa ni hiyo. Watayarishaji masoko yao wanayajua vizuri sana ndio maana wanatenganeza hizo hizo na kulipa bills zao za kila siku.

Shabaha wahususi ya zama hizi ni kuruka kwenye television za ving'amuzi kwaiyo waandaaji wengi wamejikita kwenye maudhui ya ndani(local) ili vizuri na wateja wao.
kumbe watu wengi tunafuatilia hizi movie tatizo Ubora .
 
Walioshikilia soko la filamu hawataki kuwapa nafasi hao wasomi sababu wanajua ndio anguko lao mazima, nina ushahidi na hilo pia kaangalie kipindi cha Salama na Monalisa utamsikia masikitiko yake.
Hawataki kujifunza....... elimu/sanaa ya uigizaji.....hakuna ubunifu kabisaaaaa.......anyway tuwaache tuu....mara ya mwisho kuangalia ilikuwa 2010......au wamebadilika now....
kingine hii industry ni open yeyote mwenye uwezo wa skills na pesa can join.
Wewe kama unamtaji milango ipo wazi unaweza kuingia.
Tengeneza stori if you can't hire mtu akusaidie.
Scrips na kila kitu including kuaanda cast you name it
Hire production team kazi ifanyike ya kiwango unachokitamani then upeleke sokoni.
Uone kama ni raisi au ni ngumu.
Hawataki kujifunza....... elimu/sanaa ya uigizaji.....hakuna ubunifu kabisaaaaa.......anyway tuwaache tuu....mara ya mwisho kuangalia ilikuwa 2010......au wamebadilika now....
Hapa mtapiga kelele ila ukweli ni huu. Watarishaji wa filamu bongo wanafanya kama vile soko linahijati(wateja).

Je unajua wateja wa filamu ni kina nani? Wateja wafilamu za kibongo wa muda wote ni wanawake (loyal customers) acha na sisi wanaume wazee wa logic thinking.

So yote mnayoona yanafanyika target kubwa ni hiyo. Watayarishaji masoko yao wanayajua vizuri sana ndio maana wanatenganeza hizo hizo na kulipa bills zao za kila siku.

Shabaha wahususi ya zama hizi ni kuruka kwenye television za ving'amuzi kwaiyo waandaaji wengi wamejikita kwenye maudhui ya ndani(local) ili vizuri na wateja wao.
kumbe watu wengi tunafuatilia hizi movie tatizo Ubora .
 
Habari wana JF,

Nimejiuliza sana hivi kwanini Movies zetu za kibongo na series zetu hazipendwi kama hao Waturuki, wakorea, wafilipino, wahindi etc?

Kwangu mimi nimepitia tamthiliya na muvi mbali mbali za kibongo na kugundua kasoro zifuatazo:

1. Zinakosa uhalisia ,uhalisia wa kimatukio, wahusika na kiutaalamu.

2. Wanakosea Muendelezo wa matukio, Mtu kavaa hivi akitokea sehemu nyingine unaona kuna tofauti.

3. Teknolojia duni
Ni vitu gani vingine Bongo movies wanakwama tuwasaidie?

Maigizo yanayoashilia ngono na mapenzi ,maonyesho ya vitandani mengi

Pili ukosefu wa uhalisia wakilishi
 
Mkuu hao hawaehauriki. Kabisa. Unadhani hawaoni hizi nyuzi, wanaona ila wanajiamini wao ndio kila kitu.

  • Movie zao ata ule uhalisia kidogo tu hazina.
  • Kila mlinzi/mfungua geti ni tahira.
  • Kila mchekeshaji lazima apige kelele na avae kama kichaa.
  • Wanaume kuigiza scene za mwanamke.
  • Hao wakina mkojani sijui ata uwa mnawaelewaje.
  • Movies hazina ata ile scripts sijui inaitwa. Naona kama msanii anatafuta maneno pale pale kwenye camera.
  • Movie moja hafu visa kama mia mbili hivi. Movie inaanza mtu na mke wake wana ugomvi, utakuta katikati jamaa amerogwa kazini, kisha boss wake amefumaniwa na mwanafunzi, then mkuu wa shule wa uyo mwanafunzi ameibiwa baiskeli, then mama wa mwizi wa baiskeli bishara yake ya vitumbua inaenda vizuri, yaani unapotea.
Tukianza warekebisha hao tutaonekana tunawaonea wivu. Waache waendelee kunyonywa na Sinema Zetu, DSTV na Channel zingine.

Me nasahivi saburia Thor: Love & Thunder. We endelea msubiria Mkojani aendelee kusema “Nyamazaaa weweeee”
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aiseee umetisha
 
Back
Top Bottom