Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Ukweli kidogoIssue ya kutumika kwenye mambo ya siasa ndio imewaangusha. Wanatumia muda mwingi kupiga kampeni za siasa
😂😂😂😂Uliona wapi Msanii kwenye Movie au Series role zote anachukuwa yeye😁
😂Story KANUMBA😂Script KANUMBA😁Sound KANUMBA😁Make up KANUMBA
Kina Ray wapo lakiniKanumba ndo alikuwa anaibeba industry ya Bongo Movie,kwahyo kifo chake ndo kiliharibu kila kitu maana Hawa waliobaki Ni wababaishaji tu
Tatizo hilo😂😂😂😂
Mi nadhani kabla hatujawalinganisha bongo movie na wakorea, waphilipn, wahindi tuangalie sisi kama tanzania tunalingana na nchii izoo kwenye tasnia ipiii footbal vitasa uchumi tecnologia hawakufika hapo siku moja wameanza lini kuproduce izoo movie zao bongo tumeanza lini turidhike na level yetu huku tukisupportiana kesho tuwebora zaidi
Habari wana JF,
Nimejiuliza sana hivi kwanini Movies zetu za kibongo na series zetu hazipendwi kama hao Waturuki, wakorea, wafilipino, wahindi etc?
Kwangu mimi nimepitia tamthiliya na muvi mbali mbali za kibongo na kugundua kasoro zifuatazo:
1. Zinakosa uhalisia ,uhalisia wa kimatukio, wahusika na kiutaalamu.
2. Wanakosea Muendelezo wa matukio, Mtu kavaa hivi akitokea sehemu nyingine unaona kuna tofauti.
3. Teknolojia duni
Ni vitu gani vingine Bongo movies wanakwama tuwasaidie?
Sure,,, hawana vitu vya kumtoa nyoka pangoni.... Hakuna Cha bajeti wala nini filam bora hutegemea vichwa Bora vya wahusika na directors wa filamu husika
Habari wana JF,
Nimejiuliza sana hivi kwanini Movies zetu za kibongo na series zetu hazipendwi kama hao Waturuki, wakorea, wafilipino, wahindi etc?
Kwangu mimi nimepitia tamthiliya na muvi mbali mbali za kibongo na kugundua kasoro zifuatazo:
1. Zinakosa uhalisia ,uhalisia wa kimatukio, wahusika na kiutaalamu.
2. Wanakosea Muendelezo wa matukio, Mtu kavaa hivi akitokea sehemu nyingine unaona kuna tofauti.
3. Teknolojia duni
Ni vitu gani vingine Bongo movies wanakwama tuwasaidie?
Ni naona shida kubwa ipo kwa directors (waongozaji). Director kwa kiasi kikubwa ndio huamua muvie iwe na uhalisia au la. Ila wasanii tunaowengi sana wenye uwezo na stori ambazo zinaweza kuwa converted into movie zipo nyingi sana mtaani. Filamu nyingi zilizoongozwa directors kutoka nje na actors wa hapa kwetu ni zinaubora sana. Rejea "Siri ya mtungi"na "hadithi za kumekucha".
Kuhusu bajeti, ni bora wafanye filamu moja iliyo na ubora kuliko kufanya filamu kumi za tia maji tia maji.
Namba 3 wala toa sio sababu. Unaijua movie ya Nelia?(sio bongo movie but najaribu kukupa uhalisia) ila tu kiufupi bongo movie nyingi hawajui wanachokifany wanaigizia insta atleast karibuni kuna tamthiliya kama beki 3 na kombolela zimeknock na uhalisia.
Ustaa wa kishamba haswa akishamiliki m10 naye ni kujifungia ndani mchana usiku kula bata
Hapo ndipo wanapokosea
Asantenikudanga kwa wanawake kunawafanya wasiwe serious na kazi yao..
Ukuwaji kwa wanaume nao unawafanya wasiwe serious kwenye kazi yao..
kuendekeza ngono, na sifa miongoni mwao kunawafanya wasiwe serious na kazi yao..
Swali Lako zuri...Habari wana JF,
Nimejiuliza sana hivi kwanini Movies zetu za kibongo na series zetu hazipendwi kama hao Waturuki, wakorea, wafilipino, wahindi etc?
Kwangu mimi nimepitia tamthiliya na muvi mbali mbali za kibongo na kugundua kasoro zifuatazo:
1. Zinakosa uhalisia ,uhalisia wa kimatukio, wahusika na kiutaalamu.
2. Wanakosea Muendelezo wa matukio, Mtu kavaa hivi akitokea sehemu nyingine unaona kuna tofauti.
3. Teknolojia duni
Ni vitu gani vingine Bongo movies wanakwama tuwasaidie?
Hahaa vizuriSwali Lako zuri...
1. Ukosefu wa ubunifu,,,hatuna wasanii wa kutufumbua macho Ila wakutufumbia macho kibao! UPUUZI!
2. Kama unajua kuigiza afu huna kalio hollaa Ila Kama hujuikuigiza na kalio unalo,unakuwa mke wa stering'!!! UNDEZI!
3. Bongo muvi kila anaeigiza Kama mlinzi Ni mchekeshaji kwenye muvi zingine!!! HATUTOBOI.
4. Kinachosemwa kingine afu kinachotafsiriwa kwenye subtitle tofauti!!! UKENGE!
5. Asilimia kubwa muvi zinahusu zali la mentali. Boya kaolewa na tajiri na demu kuangukia kwa pedeje!! TUTABAKI TULIPO!!!
6. Unaigiza umaskini kijijini afu wingi la kilo mbili liko kichwani! USHENZI MTUPU
Hahaa watakuelewaKiwanda cha kuwazalisha wanaume mariooo
Na wadangaji tu
Ova