jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Tunaomba maoni yako kuhusu vipengere vya mkataba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hautaendeleza Bandari yoyote Tanganyika bila ruhusu ya DP World.Tunaomba maoni yako kuhusu vipengere vya mkataba.
Makuwadi ya warabu wa dubai dpworld yanafikir yataenda kuishi dubai kwa upumbavu wake.Huu ujinga 👆 watu wakikosoa jambo ndio hutafsiriwa hivyo!!
hautaendeleza Bandari yoyote Tanganyika bila ruhusu ya DP World.
makuwadi ya warabu mwambieni mamayenu kuwa hela alizohongwa atazitolea kwenye kila tundu la mwili asipozirudisha kwa hiari.Hivi unadhani kama sio chokochoko ni nini?
Na mmeshaambiwa msichanganye dini na siasa?
Kuendelea kuwasomea watu manatafta nini?
Umepanick?makuwadi ya warabu mwambieni mamayenu kuwa hela alizohongwa atazitolea kwenye kila tundu la mwili asipozirudisha kwa hiari.
Na ndio maana nimetaja baraza,acha ujinga,baraza sio basuta.
Hakuna nguvu ya umma hapo, labda ya kanisa, lakini msichojua nalo limeanza kuwa dhaifu kila uchwao, Wengi mliodhani niRudisheni mlichokula!!
Usicheze na nguvu ya Umma.
Sie kazi yetu ni kutahadharisha tu, kwani zama hubadilika na mambo hugeukaSasa na wewe usichanganye dini na siasa yamesomwa kanisani yanakuhusu nini ya kanisani? Em tulia mkuu hakuna wakukiwasha kwenye hii ichi ila unatakiwa kujua mkataba ni mbovu na tumeugomea.....
wewe ukubali na ukiwa uko ulipo waambie umeukubali....
Madalali wanaumiza vichwa wayarudisha vp kianzio walichopewa!!Hakuna nguvu ya umma hapo, labda ya kanisa, lakini msichojua nalo limeanza kuwa dhaifu kila uchwao, Wengi mliodhani ni
wajinga wameelimika sasa
Kazi ipo
Peleka kiuno chako huko kibandamaiti, huku Bara watu wanatumia akili. Wakigomea kitu ujue wametafakari vya kutosha. Usitishie nyau wanaume.You can fool some people sometimes, but you cant fool all the peoples all the time
Nyie baraza wacheni kabisa kujidai mnasemea watu wote wakati hata wengi hawawajui, msilazimishe mambo, haya mnayoendeleza ni chokochoko za uvunjifu wa amani
Kikisanuka hapa hatutawaona mjueeee,
Enzi ziliisha na hii ni dalili ya anguko rasmi
Ngoja tuone kama kweli uhuru unazingatiwa
Pumbas, eti bara wanatumia akili?Peleka kiuno chako huko kibandamaiti, huku Bara watu wanatumia akili. Wakigomea kitu ujue wametafakari vya kutosha. Usitishie nyau wanaume.
Hizi ni hasira na chuki tu, ila ukweli upo pale pale, hakuna kilichiuzwa wala hakitauzwa, endeleeni kupiga mipashoMadalali wanaumiza vichwa wayarudisha vp kianzio walichopewa!!
Mali ya ukoo haiuzwi kirahisi hivyo, acheni tamaa ya FISI kutamani mkono unaoninginia!!
Mkataba FAKE mwisho august,Hizi ni hasira na chuki tu, ila ukweli upo pale pale, hakuna kilichiuzwa wala hakitauzwa, endeleeni kupiga mipasho
Ila mambo yanaenda kuwa chini juu
Ni mda tu
1 /9 tunasaini rasmi halafu mtu alete fyokoMkataba FAKE mwisho august,
September tutakuwa tunajadili issues zingine kbs!!
Huko ni kujihisi na kujishtukia tu. Watu wanamweshimu sana Mh:Rais na wala hawana tatizo na dini yake.Umepanick?
Tunauliza tu je kama angekuwa ni mama kuto ugalatiani mngemtukana namna hii?
Hii inadhihirisha wazi kuwa mmeumia sana rais wa kwanza MWANAMKE tanzania kuwa ni MUISLAM
Endeleeni na maumivu, Mungu akipenda hii ni mpaka 2030
Imeisha hiyooo
Labda umvivu wa kusoma, wengi wamezijibu na hata serikali wameeleza lakini kwa kuwa ni agenda rasmi basi kila mbinu inatumiwa kupinga,Huko ni kujihisi na kujishtukia tu. Watu wanamweshimu sana Mh:Rais na wala hawana tatizo na dini yake.
Watetezi wa mkataba ndio mnamdhalilisha Rais.
Mngetoa mapungufu ya wanaopinga vioengele vya mkataba ndio mngeonekana wa maana. Ila sasa hakuna hata mmoja anayejitokeza kutoa ufafanuzi kwa vipengele vinavyolalamikiwa badala yake mnatukana watu,mnawatishia na kutweza utu wao. Hiyo ni dalili ya kuelemewa kwa uzito wa hoja zitolewazo.
kinawauma nini? walaka wameandika wao, wameusoma kwenye makanisa yao, mbele ya waumini wao, kwani wamelazimisha watu kwenda kanisani?You can fool some people sometimes, but you cant fool all the peoples all the time
Nyie baraza wacheni kabisa kujidai mnasemea watu wote wakati hata wengi hawawajui, msilazimishe mambo, haya mnayoendeleza ni chokochoko za uvunjifu wa amani
Kikisanuka hapa hatutawaona mjueeee,
Enzi ziliisha na hii ni dalili ya anguko rasmi
Ngoja tuone kama kweli uhuru unazingatiwa
Najua hakuna atakaeweza kujibu, ni mipasho tu kwenda mbelekinawauma nini? walaka wameandika wao, wameusoma kwenye makanisa yao, mbele ya waumini wao, kwani wamelazimisha watu kwenda kanisani?
ni nyie someni mkataba wenu mbele za raia wenu, ili msichanganye siasa na dini.