Ni wakati gani unaweza au kutoweza kuchanganya dini na siasa?

Ni wakati gani unaweza au kutoweza kuchanganya dini na siasa?

You can fool some people sometimes, but you cant fool all the peoples all the time

Nyie baraza wacheni kabisa kujidai mnasemea watu wote wakati hata wengi hawawajui, msilazimishe mambo, haya mnayoendeleza ni chokochoko za uvunjifu wa amani

Kikisanuka hapa hatutawaona mjueeee,
Enzi ziliisha na hii ni dalili ya anguko rasmi
Ngoja tuone kama kweli uhuru unazingatiwa
Wacha vioja na ulete HOJA maana hiyo TEC walitoa waraka sambamba na HOJA sasa wewe mburula mmoja unakurupuka toka utokako na kuja kuropoka upumbavu humu.
Hiyo TEC ni jukwaa la wasomi tupu na wala sio Baraza la Idd.

Jaribuni kuwa waelewa kwamba hoja hupingwa kwa hoja na sio misemo ya kwenye kanga.
Mmezowea kutumika kama T-paper kisha mnatupwa sambamba na maji machafu.
 
You can fool some people sometimes, but you cant fool all the peoples all the time

Nyie baraza wacheni kabisa kujidai mnasemea watu wote wakati hata wengi hawawajui, msilazimishe mambo, haya mnayoendeleza ni chokochoko za uvunjifu wa amani

Kikisanuka hapa hatutawaona mjueeee,
Enzi ziliisha na hii ni dalili ya anguko rasmi
Ngoja tuone kama kweli uhuru unazingatiwa
Leo nimekuwa na bahati mbaya kufungua nyuzi mbovu kama hii.
 
Hivi unadhani kama sio chokochoko ni nini?
Na mmeshaambiwa msichanganye dini na siasa?
Kuendelea kuwasomea watu manatafta nini?
Alietumbia hivyo ana mamlaka gani kitaifa?

Anayo mamlaka gani katika mioyo ya watanzania?

Yaani mwizi atuambie tulieni niwaibie...
Halafu na sisi tukubali kutulia?

Ebho!
Endelea kumtii huyo mwizi wewe na familia na ukoo wenu lakini usitupangie na wengine....

Narudia tena ukome !
 
Wacha vioja na ulete HOJA maana hiyo TEC walitoa waraka sambamba na HOJA sasa wewe mburula mmoja unakurupuka toka utokako na kuja kuropoka upumbavu humu.
Hiyo TEC ni jukwaa la wasomi tupu na wala sio Baraza la Idd.

Jaribuni kuwa waelewa kwamba hoja hupingwa kwa hoja na sio misemo ya kwenye kanga.
Mmezowea kutumika kama T-paper kisha mnatupwa sambamba na maji machafu.
Jitayarisheni, zama zimepita
Endeleeni kukariri
 
You can fool some people sometimes, but you cant fool all the peoples all the time

Nyie baraza wacheni kabisa kujidai mnasemea watu wote wakati hata wengi hawawajui, msilazimishe mambo, haya mnayoendeleza ni chokochoko za uvunjifu wa amani

Kikisanuka hapa hatutawaona mjueeee,
Enzi ziliisha na hii ni dalili ya anguko rasmi
Ngoja tuone kama kweli uhuru unazingatiwa
Vp kwani na Leo umesomwa vigangoni?
 
You can fool some people sometimes, but you cant fool all the peoples all the time

Nyie baraza wacheni kabisa kujidai mnasemea watu wote wakati hata wengi hawawajui, msilazimishe mambo, haya mnayoendeleza ni chokochoko za uvunjifu wa amani

Kikisanuka hapa hatutawaona mjueeee,ni?
Enzi ziliisha na hii ni dalili ya anguko rasmi
Ngoja tuone kama kweli uhuru unazingatiwa
La 7b ni shinda kwenye nchi hii aliekwambia TEC wamekusemea wewe mvaa kobazi nani?
 
Labda umvivu wa kusoma, wengi wamezijibu na hata serikali wameeleza lakini kwa kuwa ni agenda rasmi basi kila mbinu inatumiwa kupinga,
Tukirudi kwenye matusi ni nyie ndio mnatukana, kama huyo hapo juu anmwambia rahisi eti hela ulizokula utazitoa kupitia tundu ya mwili, hii imekaaje? Najua kwa kuwa ni mwenzenu utasema hakuna tusi hapo, nitakupa mfano wakati flani wakati wa utawala wa nyerere kuna wajumbe walidai tanganyika, sasa nyerere kwa uhodari wake akawauliza kwani moja na moja ni ngapi? Walivyomjibu ni mbili akasema basi ni serikali ya muungano na serikali ya mapinduzi zanzibar yukiweka Tanganyika itakuwa tatu,

Nadhani hapo umepata majibu ya kwanini mnsimamia upingaji wenu?
Hata kama manufaa yatarudi kwenu

Rais na aheshimiwe hata kama sio mkiristo
Kwanza umeanza kwa kunisemea kitu ambacho si sahihi.
Turudi kwenye hoja ya msingi hili swala linapingwa na makundi yafuatayo
1. Baadhi ya wanasiasa
2. Baadhi ya wanasheria
3. Wanachi wa kawaida mbalimbali
4. Baadhi ya viongozi wa dini (TEC)
Tamko la TEC halina tusi hata moja wala halisa kejeli yoyote kama ipo nioneshe. Nitafurahi endapo utanithibitishia kua kuna kiongozi wa kikristo alikosoa kwa kutukana/udini au ukanda/ukabila.
Ajabu ni kuwa TEC wametoa msimamo wao hapo ndipo mkaingiza swala la udini. Kitu ambacho TEC walitoa msimamo wao kama wanavyotoa mara kwa mara.
Hivi ndugu vifungu vya sheria unafafanua kwa kupiga story ?
Watu wanasema mkataba hauna ukomo,badala ya kuonesha kifungu kinachoonesha ukomo ili wakae kimya watu wanatukana na kutishwa.
Hoja nyingine inayolalamikiwa ni ile ya kuipa Tanzania wajibu na kuipa DP World haki. Kuwa wakitaka eneo wapewe tena bila fidia,je kuna kifungu ndani ya mkataba kinachofafanua tofauti ?
Haya uhalisia unaanza kuonekana leo hii sheria ya Nchi ya kulinda rasilimali zinataka kubadilishwa ili ziendane na mkataba. Hivi ni ipi ilipaswa kufuata mwenzake, mkataba kufuata sheria za Nchi au Sheria za Nchi kufuata mkataba ?
Ukweli ni kuwa kwenye sheria kinachokufunga ni maandishi (mkataba uliosaini) sio story za kujetetea.
 
Hivi unadhani kama sio chokochoko ni nini?
Na mmeshaambiwa msichanganye dini na siasa?
Kuendelea kuwasomea watu manatafta nini?
Wamesomewa ndani ya makanisa yao, au hayo majizi ya kura yana hati miliki ya waumini?
 
Haya uhalisia unaanza kuonekana leo hii sheria ya Nchi ya kulinda rasilimali zinataka kubadilishwa ili ziendane na mkataba
Magufuli alwahi kusema "sheria hizi si msahafu kama kuna maslahi tunabdilisha tu na wala hakuna ajabu"
 
Wamesomewa ndani ya makanisa yao, au hayo majizi ya kura yana hati miliki ya waumini?
Kila jambo lina mwanzo na huko ni kutia chuki waumini dhidi ya serikali, haiwezekani kurudia rudia kitu moja kila wiki isipokuwa ni kutaka kupandikiza chuki tu
 
Magufuli alwahi kusema "sheria hizi si msahafu kama kuna maslahi tunabdilisha tu na wala hakuna ajabu"
Hilo linajulikana kuwa sheria sio msahafu kwa hiyo sasa hivi unabadili sheria ili ziendane na matakwa ya DP World je ukipata mwekezaji mwingine itabidi ubadirishe tena kufuata matakwa yake ?
 
La 7b ni shinda kwenye nchi hii aliekwambia TEC wamekusemea wewe mvaa kobazi nani?
Mnajidai elimu bora kumbe ni mafelia ya mwisho kabisa kazi kubebana tu, juzi nimeenda ofisi moja ya serikali iliyosheheni wanaojidai elimu wamesoma sana yaani ni miujiza kwa kwenda mbele huduma nyingi zinafeli kwa kubebana
 
Hilo linajulikana kuwa sheria sio msahafu kwa hiyo sasa hivi unabadili sheria ili ziendane na matakwa ya DP World je ukipata mwekezaji mwingine itabidi ubadirishe tena kufuata matakwa yake ?
Bandari ni moja tu
 
You can fool some people sometimes, but you cant fool all the peoples all the time

Nyie baraza wacheni kabisa kujidai mnasemea watu wote wakati hata wengi hawawajui, msilazimishe mambo, haya mnayoendeleza ni chokochoko za uvunjifu wa amani

Kikisanuka hapa hatutawaona mjueeee,
Enzi ziliisha na hii ni dalili ya anguko rasmi
Ngoja tuone kama kweli uhuru unazingatiwa
Nilifikiri Kuna hoja za maana kumbe utopolo mtupu
 
Back
Top Bottom