pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Ungejua ya sirini ungetetemeka, kila lenye mwanzo lina mwisho, enzi imeisha ni mda tu tunasubiriTEC haina Enzi!
Ujumbe ukufikie kwamba nyakati zenu zinahseabika sasa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungejua ya sirini ungetetemeka, kila lenye mwanzo lina mwisho, enzi imeisha ni mda tu tunasubiriTEC haina Enzi!
Ujumbe ukufikie kwamba nyakati zenu zinahseabika sasa!
Inachoshangaza, mnaochukia ni ninyi. Waumini wala hawajachukia, ila wasio waumini sasa, ndio wanajenga chuki, sijui kwa nini ?Kila jambo lina mwanzo na huko ni kutia chuki waumini dhidi ya serikali, haiwezekani kurudia rudia kitu moja kila wiki isipokuwa ni kutaka kupandikiza chuki tu
Umeona hata muislam mmoja ameniunga mkono kwenye hoja hii? Bali wakristo zaidi 50 wamenichallenge, unajua kwanini?Inachoshangaza, mnaochukia ni ninyi. Waumini wala hawajachukia, ila wasio waumini sasa, ndio wanajenga chuki, sijui kwa nini ?
Kurudia rudia waraka wowote wa kanisa ni utaratibu wao wa kawaida. Kwani hao waumini hawawezi kupima ukweli wa kinachosemwa? Kawaambie serikali ipeleke hao waumini kwenye dhehebu jingine kama unaona nongwa wao wakitumia utaratibu wao, tena ndani ya nyumba zao za ibada.Kila jambo lina mwanzo na huko ni kutia chuki waumini dhidi ya serikali, haiwezekani kurudia rudia kitu moja kila wiki isipokuwa ni kutaka kupandikiza chuki tu
Ukitukanwa unalalamika. Unataka kusema nini wewe Mwarabu?You can fool some people sometimes, but you cant fool all the peoples all the time
Nyie baraza wacheni kabisa kujidai mnasemea watu wote wakati hata wengi hawawajui, msilazimishe mambo, haya mnayoendeleza ni chokochoko za uvunjifu wa amani
Kikisanuka hapa hatutawaona mjueeee,
Enzi ziliisha na hii ni dalili ya anguko rasmi
Ngoja tuone kama kweli uhuru unazingatiwa
Uislam na uanamke wake sisi unatuhusu nini by the way waislam nchi hii mko wangapi au hujui kuwa wakristu wakiamua kuwa waislam msipate rais nchi hii maisha yenu yote hamtapata, endeleeni na upumbavu wenu wa kijinga mkikaa misikitin wenyewe huwa mnajihisi nchi hii watu wote waislam wakati huku kanda ya ziwa waislam ni wa kuhesabu tena kwenye miji halafu mnaleta ushenz wa uislam, Narudia tena mwambieni mama yenu kuwa arudishe pesa alizohongwa na warabu kwa hiari asipofanya hivyo zitamtokea kwenye kila tundu la mwili wake.Umepanick?
Tunauliza tu je kama angekuwa ni mama kuto ugalatiani mngemtukana namna hii?
Hii inadhihirisha wazi kuwa mmeumia sana rais wa kwanza MWANAMKE tanzania kuwa ni MUISLAM
Endeleeni na maumivu, Mungu akipenda hii ni mpaka 2030
Imeisha hiyooo
Makuwadi ya warabu dpworld mwambieni mamayenu arudishe pesa alizohongwa na warabu asipofanya hivyo zitamtokea kwenye kila tundu la mwili wake kwa lazima.Hakuna nguvu ya umma hapo, labda ya kanisa, lakini msichojua nalo limeanza kuwa dhaifu kila uchwao, Wengi mliodhani ni
wajinga wameelimika sasa
Kazi ipo
Labda umvivu wa kusoma, wengi wamezijibu na hata serikali wameeleza lakini kwa kuwa ni agenda rasmi basi kila mbinu inatumiwa kupinga,
Tukirudi kwenye matusi ni nyie ndio mnatukana, kama huyo hapo juu anmwambia rahisi eti hela ulizokula utazitoa kupitia tundu ya mwili, hii imekaaje? Najua kwa kuwa ni mwenzenu utasema hakuna tusi hapo, nitakupa mfano wakati flani wakati wa utawala wa nyerere kuna wajumbe walidai tanganyika, sasa nyerere kwa uhodari wake akawauliza kwani moja na moja ni ngapi? Walivyomjibu ni mbili akasema basi ni serikali ya muungano na serikali ya mapinduzi zanzibar yukiweka Tanganyika itakuwa tatu,
Nadhani hapo umepata majibu ya kwanini mnsimamia upingaji wenu?
Hata kama manufaa yatarudi kwenu
Rais na aheshimiwe hata kama sio mkiristo
🤣 Ngoja dawa imkoleePumbas, eti bara wanatumia akili?
Hatishiwi mtu hapa, nyakati zimeisha na anguko ni hakika ni mda tu unasubiriwa, watu wamejipanga nyie endeleeni kukariri
Kila jambo lina mwanzo na huko ni kutia chuki waumini dhidi ya serikali, haiwezekani kurudia rudia kitu moja kila wiki isipokuwa ni kutaka kupandikiza chuki tu
Umeona hata muislam mmoja ameniunga mkono kwenye hoja hii? Bali wakristo zaidi 50 wamenichallenge, unajua kwanini?
Coz
Wakristo ni wadini sana
Wengi waropokaji hawajavisioma vipengere vya hiyo iga
Hakuna wanaopinga zaidi ya nyie tuSikufahamu kuwa una akili ndogo kiasi hichi,nawewe utakua na familia au na digrii?basi pole kwa familia yako na chuo ulichosomea.
Umejitoa akili hadi unaonekana mjinga hata kama ni pesa umelipwa basi kula nyama nyamaza ila kwa hili la mkataba wa dpw kila mwenye hekima na uelewa wa mambo anajua tz viongozi wameingia cha kike
Endelea tu na matusi, kwa kuwa wewe hukuzakiwa na mama, hii ni dalili nyingine ya kuchanganyikiwa baada ya kuona anguko linakujaMakuwadi ya warabu dpworld mwambieni mamayenu arudishe pesa alizohongwa na warabu asipofanya hivyo zitamtokea kwenye kila tundu la mwili wake kwa lazima.
Matusi hapana, tusubiri anguko tuUkitukanwa unalalamika. Unataka kusema nini wewe Mwarabu?
Kwa mimi huu naona ni kupandikiza chukiKurudia rudia waraka wowote wa kanisa ni utaratibu wao wa kawaida. Kwani hao waumini hawawezi kupima ukweli wa kinachosemwa? Kawaambie serikali ipeleke hao waumini kwenye dhehebu jingine kama unaona nongwa wao wakitumia utaratibu wao, tena ndani ya nyumba zao za ibada.
Aliyeelewa pls anifafanulie nitamuozesha @FaizaFoxy🤣You can fool some people sometimes, but you cant fool all the peoples all the time
Nyie baraza wacheni kabisa kujidai mnasemea watu wote wakati hata wengi hawawajui, msilazimishe mambo, haya mnayoendeleza ni chokochoko za uvunjifu wa amani
Kikisanuka hapa hatutawaona mjueeee,
Enzi ziliisha na hii ni dalili ya anguko rasmi
Ngoja tuone kama kweli uhuru unazingatiwa