Ni Waziri gani alikwenda gerezani kumshawishi Freeman Mbowe?

km ni waziri ni Mwingulu
 
Kwa hiyo Lema,ndio chawa wa Mbowe hadi ayajue yeye hayo kabla ya Katibu wa Chama?

Na hiviiii wafungwa wanaruhusiwa kupiga simu tena kuongea na walio nje ya nchi?
Mbowe Ni VIP, sio kapuku Kama wewe
 
Uongo tu na usanii wa lema kufikiri kwa kufanya hivyo anaongeza umashuhuri wa mbowe.
Mbowe hana lolote anapigania la maana hata kwa hao wamagharibi.
Wakati mnataka kumuonga hela akae kimya
 
Mbowe lifie gerezani kabisa maana hii chuki mmeianzisha wenyewe, mlifanya sherehe bila kificho kifo cha mpendwa wetu
Na bado tunasherekea[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Jamaa noma
 
Na bado tunasherekea[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Na li mbowe lenu linanyea kindoo na LAZIMA lifungwe na lipate mateso ili mtesekeee ndiyo israel afanye yake na lema ni anafanya kazi za kuzibua mitaro ya choo kwa mabeberu.
 
Lema ameongeza kuwa Mbowe alimpigia simu akiwa na hasira sana, na alikataa mapendekezo yote yaliyoletwa na huyo waziri, alimjibu waziri huyo kuwa yuko tayari kufia magereza lakini hawezi negotiate masuala ya haki.
hapa katiha aya hii ndiyo utadhihirisha mwandishi hakuwa makini KUUDANGANYA UMMA WA JF
sasa mbowe anaruhusiwa kuwa na simu akiwa mahabusu?
 
Yaani mie ATA afanye Nini siwezi mpenda maisha, na sababu ni hili la Mbowe
 
Na li mbowe lenu linanyea kindoo na LAZIMA lifungwe na lipate mateso ili mtesekeee ndiyo israel afanye yake na lema ni anafanya kazi za kuzibua mitaro ya choo kwa mabeberu.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] njoo tunywe red bull
 
Mungu anashughulikia mambo ya msingi ya waja wake.

Ukome kumwambia mungu upuuzi wenu. Kama ni wakati wa kutenda basi tenda na wewe.
 
mungu wako nilifikiri angewatendea haki kwa kuiondoa ccm, kumbe aliondoa mtu mmoja tu huku akijua kibano kitakuwa pale pale?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Na li mbowe lenu linanyea kindoo na LAZIMA lifungwe na lipate mateso ili mtesekeee ndiyo israel afanye yake na lema ni anafanya kazi za kuzibua mitaro ya choo kwa mabeberu.
Hi chuki uliyonayo itaja kukuua siku moja. sijui alikuingilia.....mpaka umchukie hivyo maana hizi ni siasa tu no situation is permanent.
 
"No retreat; No surrender". Haki haiuziki bali hufiwa.
 
Lema naye ana u much know usio na tija.
 
Kadanganya dunia wapinzani hata sisimizi haiwasumbui huku Lindi aliyekuwa diwani mgombea uchaguzi na wenzake wamefungwa miaka 8 huyu Mama mnaa sana kafir
 
Cheki hii tikiti, time difference ndo inazuia watu kuwasiliana[emoji1]
Sasa ndio umedhirisha ujinga wako.Time difference inazuia kuwasiliana ukiwa gerezani .Hivi unajua tunapishana saa ngapi na Canada?
Halafu unaqoute watu jaribu kuqoute niliyoandika.
Gerezani watu hawana uhuru wa kuwasiliana kwa simu kama unavyotaka tuamini uzushi wako.
Tena international call!!
Huyo Lema nae ni mzushi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…