Nnao ila kuuweka ndo mtihaniKuna wimbo unaitwa "mtani jirani" yupo juma nature ndani nafikiri ni wachuja nafaka. Chorus [emoji444]tutoe adhabu gan juu ya hawa wanaoturoga, kwa kuwa wanaoturoga tunaamini ni shetan, mwanga anayetutupia majin ni jiran.[emoji444]
Wanaitwa Joint Mobb wako na Juma natureKuna wimbo unaitwa "mtani jirani" yupo juma nature ndani nafikiri ni wachuja nafaka. Chorus [emoji444]tutoe adhabu gan juu ya hawa wanaoturoga, kwa kuwa wanaoturoga tunaamini ni shetan, mwanga anayetutupia majin ni jiran.[emoji444]
Mwimbo wa HONGERA unitwa "MASHABIKI" haujawahi kupatikana tena popote[emoji31]
"Friday niiiite, nitakukuta copa cabaaana, friday nite"Mwenye wimbo wa Mr Nice unaitwa 'Friday night' ulikwepo kweny albam yake ya kwanza. Huu aliimba tofauti kabisa na style yke ya takeu
"Friday niiiite, nitakukuta copa cabaaana, friday nite"
Natafuta wimbo wa kilio cha wanafunzi ameeimba jamaa sahizi ni mwalimu makongo pale pia natafuta wimbo wa hardcore wa bodea na profesa jay
Qchief ungeniumiza
Qchief ungeniumiza