Assa Kamwela
Member
- Aug 18, 2018
- 87
- 25
Blalbasketi!!
Mulemule mwanangu,!
Mwenye nao afanye msaada aisee[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
KozaMkuu Kuna wimbo umeimbwa kiswahili na General Defao , "kosa langu baba unihurumie , basolinaaa
Mwenye Ngoma km darasa huru. Yamenikuta gwm. Huyu jamaa. Super wabongo. Miko 10 ya rap. Kila mtu starehe yke. Kifupi ngoma zote za 2003 kushuka chini...
Shukran sana mkuu!!Hizo nyingine zipo hapo juu pitia uzi utaziona.
Hiyo Super Wabongo sijaielewa bado.
ENJOY THE MUSIC.
Kiongoz samahan,naomba unitumie tena wimbo wa solo thank,simu yangu.Simu tangu ilizingua na ile IPO kwenye Ile simu.Nitumie wasap 0625-789 736Wimbo ninao ila siwez kuutuma humu.
Ngoja nitaangalia kama ninao...Hahahahah.
JamiiForums ni kubwa sana ngoja tusubiri mdau mwenye HAZINA ya kutosha ataweza kuwa nao mkuu.
Pengine hata mwenye wimbo husika anaweza akawepo humu.
Aisee Chivalo kama unatuskia tunaomba huu wimbo aisee.
UNANIKUMBUSHA MADEM.