MANYORI Jr
JF-Expert Member
- Mar 25, 2012
- 462
- 343
PamojaAsante sana,
Siyo mkuu inaitwa “Mi msela" nimeipata Google tayari.Sio ile ya "mtoto wa jakaya"
Ya Mike T ni Nyaluland...
Uko sawa Sonel ndo aliimba Posta
Pengo ya Waswahili moja ya ngoma bora sana toka kwa hawa jamaa
Matonya Feat Mr Blue & Berry Black-KaribuIpo ile ya matonya album ya kwanza yupo yeye,bluu na mtu kama dark master- Mwanachemba ,sema mashairi yake mistari inaruka ila kuna....'chombeza,poteza,mapombe makali tunawafundisha kumeza!
Nimelisikiliza hilo goma yani tabata waliyokua wanaongelea kipindi hicho na ukiangalia ilivyo sasa hivi utaona kama walikua wanaimba habari za kusadikikaNi hatari sana mkuu. Hahah.
Bahati mbaya uko mbali.Dah, Huyu jamaa ni google ndogo aisee nimefanikiwa kupata nyimbo nyingi kutoka kwake.
Mkuu natanguliza shukrani nyingi sana kwako na mkuu KIOO aisee mmenisaidia sana wakuu.
Much respekt kwenu wakuu.
👊🏽👊🏽👊🏽
Bahati mbaya uko mbali.
Nina mizigo yote ya bongo flava tangu enzi za akina II Proud mpaka akajiita Sugu, GWM, Balozi, Mr. Paul nk. Ngoja nirushie screen shots. Sijajua utapataje hizi nyimboView attachment 947661
Ile track nadhani inaitwa MselaKuna goma moja la kibabe Ngwair{RIP} alimshirikisha Juma Nature bahati mbaya nimesahau verse na chorus ila hapa napoandika beats zake zinanijia kichwani ila kuuelezea zaidi kwa ufasaha nashindwa ila beat lake likitaka kufanana na beat la Shock Ones la Mobb Deep naomba mwenye nayo hii ngoma anipe link.
Thanks in advance wakuu.
Shukran sana mkuu!!
Kuna ngoma ya
Waswahili -Pengo
Mike Tee ft Lady Jay Dee jina la wimbo nmesahau ila ni ngoma yake ya mwanzo kabsa(kama sijasahau ilikuwa inaitwa bongoland)
Joh Makin -Dakika 90
Soneli -Posta (sina uhakika sana na jina la msanii)
Uko sahihi kabisa manKuna Tofauti Kati ya Bongo flavor na Bongo Hip Hop tusichanganye
Dah.haya mangoma nayasaka sana man.kuyapata ndo changamoto