Dah hata mm hii ngoma inakosha sana haswa pale Nature anapoianza verse ya pili na Marehemu Ngwair anapomaliza verse ya kwanza. Hatari sana.Siyo mkuu inaitwa “Mi msela" nimeipata Google tayari.
Old skool
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah hata mm hii ngoma inakosha sana haswa pale Nature anapoianza verse ya pili na Marehemu Ngwair anapomaliza verse ya kwanza. Hatari sana.Siyo mkuu inaitwa “Mi msela" nimeipata Google tayari.
Uko sahihi kabisa mpwa siku hz wanaimba matusi matusi tu, na kushikana shikana vitandani. Wanaume wao kulia lia tu. Bongofleva ilikua zamani siku hz hamna kituHivi Hawa wasanii hawajui wamekalia hela kiasi gani tu..Wakiamua kufanya tours watafunika mbaya.Hizi nyimbo zao hazichuji kabisa.
Wakiandaa matamasha ya hip hop watajaza mpaka watashangaa.Yaani siku hizi wapenzi wa ngoma kali hatuna pakwenda.Utakutana na wabana pua Mara Nyegezi nyimbo hata hazieleweki.Ujinga ujinga tu.
Kosa la marehemu hii hapa. Enjoy manKosa la Marehemu.......
Mkuu Idimi shukrani sana kwa ushiriki wako unaouonyesha hapa kaka mkubwa,hizi nyimbo nyingi nimepotezana nazo na nazihitaji sana ila namna ya kuzipata ndo issue nilikuwa nazo kwenye computer ila iliingia virus zikaondoka zote na sijapata namna nyengine kuzipata.Narusha za ziada
Shukran mkuu!!jamaa amezishusha hapaRuka na namba inbox nikurushie whatsapp
Ukiachana na hyo collab aliyofanya na Lady Jay Dee,,kuna ngoma gan alifanya peke yake Marehem D-Rob?Narusha za ziada
Kuna moja inaitwa " Mimi Msafiri". Ninayo, ila sina uhakika ipo sehemu gani. Nadhani wenye nayo watairusha humu.Ukiachana na hyo collab aliyofanya na Lady Jay Dee,,kuna ngoma gan alifanya peke yake Marehem D-Rob?
Pamoja sana kamanda. Kama una playlist tupia hapa, tutazi upload. Uzuri wake ni kwamba jamaa wengi wanazo, kwa hio kila aliyenayo anatupiamo tu!Mkuu Idimi shukrani sana kwa ushiriki wako unaouonyesha hapa kaka mkubwa,hizi nyimbo nyingi nimepotezana nazo na nazihitaji sana ila namna ya kuzipata ndo issue nilikuwa nazo kwenye computer ila iliingia virus zikaondoka zote na sijapata namna nyengine kuzipata.
Kama unazo nyingi nyingi naomba zitupie hapa mkuu.
Nitafanya hivyo mkuu.Pamoja sana kamanda. Kama una playlist tupia hapa, tutazi upload. Uzuri wake ni kwamba jamaa wengi wanazo, kwa hio kila aliyenayo anatupiamo tu!
Msafiri si ilikuwa ya Kwanza Unit mkuu?Kuna moja inaitwa " Mimi Msafiri". Ninayo, ila sina uhakika ipo sehemu gani. Nadhani wenye nayo watairusha humu.
Ni kwanza unit ndiyo...Msafiri si ilikuwa ya Kwanza Unit mkuu?
Antonio ?Kuna ngoma kagonga p-funk,J moe na jamaa flani hivi wamechanika kimalkia jina siikumbuki ....mwenye nayo aidondoshe ni kali sana
Antonio ?
Ngoja ntakuwekea badae
Duuh wewe jamaa una hatariMike T
Mkuu mkuu una hatari sana nimeona hilo goma la D-rob aiseee. daahNarusha za ziada