Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Nyingine hizi
Bila sanaa..
Show love - n2n

Mkuu umetisha sana

Kuna ngoma nilishazitafuta kwa miaka mingi sana bila mafanikio kama unazo tafadhali naomba
Rafiki - Suma lee ft Joh Makini
Wrong number - Snop lee
Mandojo na Domo kaya - sikumbuki jina ila wanaimba "Ni kitu gani haswa kilichofanya mpaka mimi ukaniacha"
 
Bila sanaa..
Show love - n2n

Mkuu umetisha sana

Kuna ngoma nilishazitafuta kwa miaka mingi sana bila mafanikio kama unazo tafadhali naomba
Rafiki - Suma lee ft Joh Makini
Wrong number - Snop lee
Mandojo na Domo kaya - asaiikumbuki jina ila wanaimba "Ni kitu gani haswa kilichofanya mpaka mimi ukaniacha"
I will be back tomorrow
Za mandojo ninazo
 
Natafuta wimbo wa "baba paroko" zilipendwa flani hivi una Maneno 'naleta mashitaka kwako baba paroooko.. Naleta mashitaka lwenu hukohuko kanisani eeee... Mimi na mama ya watoto nyumbani kivumbi na jashooo
Ni Pm nkutumiee
 
Narusha za ziada
Asee kwenye hizi za ziada kuna wimbo Wa lady jay dee kama sikosei upo kwenye album ya machozi siujui jina lake ila kwenye huo wimbo kuna jamaa anapiga simu halafu anaongea ongea hivi. Baadhi ya maneno yanasema .. Ninachofanya ni kukupenda, milele yote nitakupenda,nakupenda I love you... Nikiupata nitafurahi sana ndugu
 
Tatizo la Uzi kama huuu mkali huwa unaendaaaa halafu itafikia kipindi watu wanakuwa kama wamechoka hivi kurushiana madude. Tafadhali tusichoke kupeana gold olds
 
Mwenye ngoma ya "Simulizi za ufasaha" by gangwe mobb please,ilikuwa Kali sana pia Japo nakumbuka gangwe hawakuiachia sana redioni
 
Back
Top Bottom