Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Aiseeee, wee jamaa una hatari sana mkuu.

Natumai utakuwa ni mmoja kati ya MA-DJ waliopo kwenye radio moja kubwa sana mkuu.

Ntakuwa nakosea sana kama sitasema HESHIMA KWAKO MKUU ntakuwa ni mchoyo wa fadhila aisee.

Kwa kuanza tu kwanza naomba hiyo ngomae Mr.Prezzo G aisee. Ni hatari sana hiyo ngoma bro. Ni ya moto zaidi ya band mkuu.

Thanks a lot bro.

Sio Mr.Prezzo ni Mr.Prezzy.

Prezzo ni yule wa Kenya ila huyu Prezzy ni wa Bongo TZ.

Cc MangoFarm
 

Attachments

Nipe namba pm..nikutumie whatsapp hapa nashindwa kuweka...
Kuna wimbo kiitikio chake kiko hivi "upiga debe kwangu ilikuwa poa,fani katika maisha ikaja kuniokoa,Hali ya wazazi kijiji........", yaan story ya huu wimbo n kuwa jamaa alkuwa mpga debe baadae akaanza mziki,kuptia mziki akafahamiana na lishuga mamy likamwambukiza ngoma,huu wimbo nmeshautafuta sana
 
Kuna wimbo kiitikio chake kiko hivi "upiga debe kwangu ilikuwa poa,fani katika maisha ikaja kuniokoa,Hali ya wazazi kijiji........", yaan story ya huu wimbo n kuwa jamaa alkuwa mpga debe baadae akaanza mziki,kuptia mziki akafahamiana na lishuga mamy likamwambukiza ngoma,huu wimbo nmeshautafuta sana
Mzimuni Family ft Q Chief -Fani katika Maisha
 
Kuna wimbo kiitikio chake kiko hivi "upiga debe kwangu ilikuwa poa,fani katika maisha ikaja kuniokoa,Hali ya wazazi kijiji........", yaan story ya huu wimbo n kuwa jamaa alkuwa mpga debe baadae akaanza mziki,kuptia mziki akafahamiana na lishuga mamy likamwambukiza ngoma,huu wimbo nmeshautafuta sana
 

Attachments

Wandango -Ingekuwa poa (jibu la ingekuwa vp ya Mwana FA)

LWP ft Inspecta haruni-Mke wa mtu

Nuruely ft Fid Q- Mng'aro wa silva

Manyema family -Jinsi Tulivyo

Zishushen hapa..
 

Attachments

IMG_1343.JPG
picha inajieleza
 
Shukran sana mkuu!!

Kuna ngoma ya
Waswahili -Pengo

Mike Tee ft Lady Jay Dee jina la wimbo nmesahau ila ni ngoma yake ya mwanzo kabsa(kama sijasahau ilikuwa inaitwa bongoland)

Joh Makin -Dakika 90

Soneli -Posta (sina uhakika sana na jina la msanii)
Iyo inaitwa ya mike najide inaitwa Nyaluland
 
Kuna goma moja la kibabe Ngwair{RIP} alimshirikisha Juma Nature bahati mbaya nimesahau verse na chorus ila hapa napoandika beats zake zinanijia kichwani ila kuuelezea zaidi kwa ufasaha nashindwa ila beat lake likitaka kufanana na beat la Shock Ones la Mobb Deep naomba mwenye nayo hii ngoma anipe link.

Thanks in advance wakuu.
Hio ngoma inaitwa Msela, iko na very hard beats!
 
Hivi Hawa wasanii hawajui wamekalia hela kiasi gani tu..Wakiamua kufanya tours watafunika mbaya.Hizi nyimbo zao hazichuji kabisa.

Wakiandaa matamasha ya hip hop watajaza mpaka watashangaa.Yaani siku hizi wapenzi wa ngoma kali hatuna pakwenda.Utakutana na wabana pua Mara Nyegezi nyimbo hata hazieleweki.Ujinga ujinga tu.
Mi nashangaa kwanini hawajaanda tour! Naamini kuna wataopata hela za mitaji wengi tu! Hata wakiita "Old is Gold Tour" still ina sound freshi! Watapiga pesa na watajaza kumbi with the right marketing mix effort!
 
Hip hop sahihi.....nazan ni ile ya aliyekuwa demu wa marehem Complex ambaye walikufa wote kweny ajali..
Vivi feat Ay-umuhimu
Ay kwenye chorus anaimba "hip hop sa ipo hewani/
Hip hop sa ipo hewan/
Hakuna shuka chini inapobidi juu kwa juu/
Umuhimu wetu ubaki na tuzidi kuwa juu/
Sijui km nmepatia ila nazan ndio huo
Kuna goma lilikua linaitwa Msafiri la kitambo sijui nani kaimba ile, mwenyenayo tafadhari

Sugu - hayakua mapenzi

Na kuna goma walikua wanaimba "Hip hop sahihi ...." sikumbuku ni ya nani?
 
Mandojo na domokaya inaitwa Nizikwe hai
Bila sanaa..
Show love - n2n

Mkuu umetisha sana

Kuna ngoma nilishazitafuta kwa miaka mingi sana bila mafanikio kama unazo tafadhali naomba
Rafiki - Suma lee ft Joh Makini
Wrong number - Snop lee
Mandojo na Domo kaya - asaiikumbuki jina ila wanaimba "Ni kitu gani haswa kilichofanya mpaka mimi ukaniacha"
 
Kuna jamaa anaimba "Nimemfukuza mpenzi wangu eti kwasababu ya binti, nimemfukuza wangu moyo eti kwasababu ya binti.." msaada iyo ngoma wakuu
 
Back
Top Bottom