Sio Mr.Prezzo ni Mr.Prezzy.

Prezzo ni yule wa Kenya ila huyu Prezzy ni wa Bongo TZ.

Cc MangoFarm
 

Attachments

Nipe namba pm..nikutumie whatsapp hapa nashindwa kuweka...
Kuna wimbo kiitikio chake kiko hivi "upiga debe kwangu ilikuwa poa,fani katika maisha ikaja kuniokoa,Hali ya wazazi kijiji........", yaan story ya huu wimbo n kuwa jamaa alkuwa mpga debe baadae akaanza mziki,kuptia mziki akafahamiana na lishuga mamy likamwambukiza ngoma,huu wimbo nmeshautafuta sana
 
Mzimuni Family ft Q Chief -Fani katika Maisha
 
 

Attachments

Wandango -Ingekuwa poa (jibu la ingekuwa vp ya Mwana FA)

LWP ft Inspecta haruni-Mke wa mtu

Nuruely ft Fid Q- Mng'aro wa silva

Manyema family -Jinsi Tulivyo

Zishushen hapa..
 

Attachments

Iyo inaitwa ya mike najide inaitwa Nyaluland
 
Hio ngoma inaitwa Msela, iko na very hard beats!
 
Mi nashangaa kwanini hawajaanda tour! Naamini kuna wataopata hela za mitaji wengi tu! Hata wakiita "Old is Gold Tour" still ina sound freshi! Watapiga pesa na watajaza kumbi with the right marketing mix effort!
 
Hip hop sahihi.....nazan ni ile ya aliyekuwa demu wa marehem Complex ambaye walikufa wote kweny ajali..
Vivi feat Ay-umuhimu
Ay kwenye chorus anaimba "hip hop sa ipo hewani/
Hip hop sa ipo hewan/
Hakuna shuka chini inapobidi juu kwa juu/
Umuhimu wetu ubaki na tuzidi kuwa juu/
Sijui km nmepatia ila nazan ndio huo
Kuna goma lilikua linaitwa Msafiri la kitambo sijui nani kaimba ile, mwenyenayo tafadhari

Sugu - hayakua mapenzi

Na kuna goma walikua wanaimba "Hip hop sahihi ...." sikumbuku ni ya nani?
 
Mandojo na domokaya inaitwa Nizikwe hai
 
Kuna jamaa anaimba "Nimemfukuza mpenzi wangu eti kwasababu ya binti, nimemfukuza wangu moyo eti kwasababu ya binti.." msaada iyo ngoma wakuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…