Rockefeller
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,209
- 2,243
Kuna wimbo flani ni wa dini wa Zambia maarufu sana mkoa wa mbeya unaimbwa "nalisakilene sijui mini" Kama sijakosea kwa anaeujua tafadhali pm me.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi anafanya mdundiko mwananguMakini namkubar kipind kile anafanya Hao,Dakika 90,Muda japo kwa mbal akaanza kutoka kwenye misingi,,,siku hz simsikiliz sana
Jamaa kalenga biashara,,,juz kat nipo sehm flan hv nikaiskia ile swagile,,,dah nilicheka tu,,jamaa ni wabunfu kwenye biashara ile ngoma ikipigwa kwenye maeneo ya shwange hlf uwe high kiaina,,unajkuta unabounce mwenyew tu.Siku hizi anafanya mdundiko mwanangu
Hahah sure broJamaa kalenga biashara,,,juz kat nipo sehm flan hv nikaiskia ile swagile,,,dah nilicheka tu,,jamaa ni wabunfu kwenye biashara ile ngoma ikipigwa kwenye maeneo ya shwange hlf uwe high kiaina,,unajkuta unabounce mwenyew tu.
Hahahaha pamoja kaka.Hahah sure bro
Naona leo umegoma kulala kabisaHahahaha pamoja kaka.
Dah,,,mida mida nitalala bro,,nilikuwa nachek UEFANaona leo umegoma kulala kabisa
Aaah naona matokeo ya Liver yamekufurahisha sana, sema nini? tutajadili soccer maeneo yetu mana hapa tutauharibu uzi 😀😀😀Dah,,,mida mida nitalala bro,,nilikuwa nachek UEFA
Huyu anaitwa abeid. Nnao ila jinsi ya kupandisha nyimbo hapa ndio nilishashindwaSamahani mwenye wimbo mmoja hivi nakumbuka jamaa alikua anaitwa Maleek ngoma inaitwa Sikudhani
"Sikudhani kama ingekuwa hiviiii, sikudhani kama ungenitoka akiliniii........."
Aisee Abeid yah!Huyu anaitwa abeid. Nnao ila jinsi ya kupandisha nyimbo hapa ndio nilishashindwa
Sent from my Infinix NOTE 3 Pro using JamiiForums mobile app
PoaAisee Abeid yah!
Ngoja tusubiri kama kuna mtu anaweza kuupandisha, ila ikishindikana itabidi nikutafute tena tuone tunafanyaje
Hardcore Unit(Watengwa) - Tabia Mbaya
Joh Makin - Dakika 90
Joh Makin - Muda
Rado Hukumu Ndotoni
Dah.mkuu umenikumbusha hii ngoma japo sina...kula kona,kula kona....wanavuta kiitikio KOOOOOONA!Wakuu mwenye Nyimbo ya Manzese Crew KULA KONA
Ama ni hii ya "Forgive me?"Kuna ngoma kagonga p-funk,J moe na jamaa flani hivi wamechanika kimalkia jina siikumbuki ....mwenye nayo aidondoshe ni kali sana
Hii hapaWakuu mwenye Nyimbo ya Manzese Crew KULA KONA