Asee ninao ila sijui nawekaje hapaaaPassenger - wrong direction
Umetisha mze babaa..MoTechnique.
Ingia hapo attach photo, files afu endelea...Asee ninao ila sijui nawekaje hapaaa
Gwankaja nikirudi kutoka katika mashimo ya mfalme suleimaan sintakusahau na huyu bwana mkuu kioo.
Niombeeni dua nirudi salama.
Wakuu wimbo wa Dark Master-Nimepamiss Hone tafadhali saana
Nitumieni
King kaka ft safari sound--bado nakupenda
Siyo kwaya ya mabibo hiyo kweliMimi nautafuta wimbo fulani wa gospel uliimbwa na kwaya Fulani kitambo sana. Nmesahau jina lake na Nina la kwaya yenyewe lakini nakumbuka mistari take baadhi. Na mistari yenyewe ni ifuatayo: Nimekuleta chini nikakupa kila kitu lakini umesahau kwamba Mimi ni muumba wako. Ntashukuru Nikiupata.
Mwenye ako na nyimbo za Mack Dizzo_Jumba bovu na zingine msaada wakuu
Mkuu ukiupata huo wimbo nshtue na mm...Asee wakuu hili jukwaa ni msaada tosha kwetu ss wahenga wa middle age...
Naombe mwenye wimbo unaimbwaga hivi...
NIMEKUFANANISHA WE DADA
NIMEKUFANANISHA WE SISTER
NDIO MAANA MM NIMEKUITA..
JITI-Ndoto tata
Wakuu gwankaja KIOO na mkuu Idimi naomba niangalizieni hizi ngoma,sina uhakika sana kama zimeshawekwa hapa jukwaani maana kote nilikopita huko juu sijapata kuziona[emoji116][emoji116][emoji116]
Kicheko tu LWP.
Hatari Kitu Gani Zay B.
Tumbo Deni la Dunia Uswahilini Matola.
Mwanangu Huna Nidhamu Dudubaya Konki.
Mc Katuni Solo Theng.
Tunajirusha Inspector Haroun&Nazizi.
Tupo Kamili Mabaga Fresh.
Tuwe na Adhabu Gani juu ya hawa Wanaoturoga Juma nature ft.......
Barua Daz Nundaz.
Mtoto wa Gate Kali Inspector Haroun.
Mtoto Iddi J Nature.
We Ndo Mchizi Wangu N2N.
Hawatuwezi N2N.
Tunawapiga Bao N2N{hii ni diss song kwa Kikosi Cha Mizinga}.
Sister Sister GK.
Wanakuita Sugu Mr II ft Stara.
Watu Kibao,hii inazungumzia wingi wa vitu na watu jamaa jina lao limenitoka.
Wauguzi Wagosi Wa Kaya.
Starehe Ni Gharama LWP Majitu ft Mr Paul.
Bishoo Jay Mo
Mvua na Jua Jay Mo
Wachuja Nafaka Doro,KR,Nature.
Ingekuwa Vipi Mwana FA ft Jay Mo
Nasikia Utamu/Hausikii Utamu,jamaa flani hivi nahisi wakenya mmoja anaimba sauti nyembamba mwengine kwa sauti nzito.
Thanks in advance wazee.
Cheka kidogo-Dudu baya
Jerome-WazaziHabari wakuu kuna wimbo mmoja nautafuta sana sijui umeimbwa na nani kiitikio chake kiko hivi
Niko radhi nianguke kwa magoti iiiiii ninahaki ya kujua kosa langu mimi nije niombe samahani
zikateni mikononi mwangu pingu uuuu