audio please
 
Wadau natafuta nyimbo ya Mandojo na Domokaya- Dingi

Chorus ya hii ngoma nikiiskilizaga sikio langu linahamia kwenye bridge ya wimbo wa Shaggy feat Natasha unaitwa Ultimatum sjui kwa nini. Sasa sjui ni sikio langu tu au ni vipi....?
 

Attachments

Sio Mr.Prezzo ni Mr.Prezzy.

Prezzo ni yule wa Kenya ila huyu Prezzy ni wa Bongo TZ.

Cc MangoFarm

Mkuu samahani hivi huyu jamaa hajawahi kutoa ngoma nyingine aisee. Mi niliiskia hii G tu kama una ngoma yake nyingine naomba kiongozi. Thanks.
 

Attachments

Mkuu samahani hivi huyu jamaa hajawahi kutoa ngoma nyingine aisee. Mi niliiskia hii G tu kama una ngoma yake nyingine naomba kiongozi. Thanks.

Zipo ambazo amefanya peke ake nyingine amefanya na washkaji.

Niliyonayo hapa ni moja tu nyingine siko nazo aisee.
 

Attachments

Mkuu KIOO gwankaja na Idimi kuna nyimbo mbili za kwaito nazitafuta sana ila sijui waimbaji
(1)Kuna moja unaimbwa ""pwili mbwilipwizi" umeimbwa na madogo Fulani hivi
(2) na mwingine unaimbwa "hai hai hai" ni hivyo tu, tafadhalini sana nisaidieni hizo nyundo.


Smart guy
 
Kuna wimbo kipindi cha miaka ya 2006 ulikua unapigwa sana PULSE TV ambayo kwa sasa ndio inaitwa CAPITAL TV ulikua unaimba"Shima sogea sogea karibu nami nikushike wapi ili wanga wasitu gasigasi"


Nimeutafuta sana sijawahi kuupata waungwana,msaaada kwny tuta.
 

Anza na hizi. Huo wa mapwilipwiti ninao, ila sijajua uko sehemu gani, maana nina msitu wa nyimzo za kwaito, mpaka nipekua sana. Ila nakuwekea nikupata
 

Attachments

Anza na hizi. Huo wa mapwilipwiti ninao, ila sijajua uko sehemu gani, maana nina msitu wa nyimzo za kwaito, mpaka nipekua sana. Ila nakuwekea nikupata
Aisee ubarikiwe sana mkuu

Smart guy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…