ISLETS
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 8,120
- 5,352
BENDERA YA TANZANIA
Bendera ya Tanzania,ndiyo ya kujivunia
Ilianza kupepea, mwaka sitini na moja
Hapo inashuhudiwa, tunavyojitegemea
MUUMBA wetu Rabuka ijaze yako fanaka
Rangi yachanikiwiti,Yaonesha mbuga zetu
Manjano ndiyo madini,Yaliyo uchumi wetu
Bluu huonesha maji yaliyo nchini mwetu
Nyeusi Ni yetu sisi,Waafrika asilia
MUUMBA wetu Rabuka ijaze yako fanaka
audio please