KIOO
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 6,235
- 5,854
kuna wimbo was mrisho mpoto na kikundi chake cha parapanda kabla hawajatawanyika, ndo nyimbo iliyomtambulisha mpoto
"salamu zangu kwako" mwenye nao
Ndio ile anatuma salamu zake kwa mjomba au...?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna wimbo was mrisho mpoto na kikundi chake cha parapanda kabla hawajatawanyika, ndo nyimbo iliyomtambulisha mpoto
"salamu zangu kwako" mwenye nao
Wakuu kuna ngoma moja ya Rama D ameimba na kinanda tu bila ya midundo mwenye nayo anisaidie tafadhali.
ndio ya kwanza kabisaNdio ile anatuma salamu zake kwa mjomba au...?
kuna wimbo was mrisho mpoto na kikundi chake cha parapanda kabla hawajatawanyika, ndo nyimbo iliyomtambulisha mpoto
"salamu zangu kwako" mwenye nao
KIOO nifanyie mpango wa nyimbo inaitwa "Wasafiri" wameimba wagosi wa kaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Ivi naweza download toka huku ku save kwenye cm yangu?
Mbona nikienda kuisaka siikutiUkishai-download inakuwa imeshaingia kwenye simu teali.
Wachujs nafaka wimbo wachuja nafaka tafadhali na huo wa kingwendu maharage mboga ya matunda wimbo nilikuwa nao nikaufuta bahati mbaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona nikienda kuisaka siikuti
App kabsa yenyew niliitoa play storeUnatumia browser gani kuingia JF...?
Mimi natafuta Muranzniwa, Lenyalo, This is Africa na Melody, ni nyimbo zimepigwa na Pmela Nkutha wa Africa Kusini