Wadau kuna nyimbo ya muda saana inaitwa Mariyana kama sikosei iliimbwa na Mtonga Jazz.
kuna lugha ya kusini nafikiri
 
Kuna wimbo mmoja nimesahau jina, anaimba kiitikio Ochu Shegy

"Unajua mapenzi yalikuwepo zamani kwa sasa hakuna,
Unajua maradhi yanapenda vijana kwa wazee hakuna "

Nisaidie huo kama kuna mwenye nao

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

Saida karoli kuba baizile na nkurukumbi original na hile taarab ya kihaya natanguliza shukrani

Bukoba
 
Wakuu naomba nyimbo za watu pori kipindi wako pamoja afande sele, koba na ditto... nyimbo kama kioo cha jamii, na nyingine skumbuki ata zinaitwaje ila inaanza "watupori a.k.a washamba nyani wapya msitu wa zamani"

Naomba nyimbo ya monica ya ndala kasheba kama sikosei... mama nipe nauli nikamfuate monica amekimbia zambia kwa treni ya mizigo eehh..

Mwisho kabisa naombeni wimbo wa harusi ya kichagga ambao umekua mordenised na biti jipya unaitwa otereeeeeee.. nimeutafuta sana sijaupata. Natanguliza shukrani wakuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…