Ninazo nashindwa tu kutuma hapaNahitaji nyimbo zote za chuchu sound za kipindi hicho
Lil wayne uproarHahahahah. I appreciate mkuu.
Kiukweli sio DJ kiongozi wangu, ila tu nimetokea kuupenda sana muziki tangu udogoni kitu kilichopelekea kuangukia kuwa an artist broh.
Ila kiukweli napenda kuskiliza muziki wa aina yoyote ule ambao unavutia na kupenya kwa urahisi maskioni mwangu mkuu.
Thanks again & again bro.
thank you so much, ndo wenyewNafikiri utakuwa unamaanisha huu??
Nyimbo ya pnc ...unaimbwa hivi...
Hata nitoke kila saa tuwe wote tutaishi vipi bila pesa"
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mwenye nyimbo ya P1 Black na blue - Niskize mi nafanya nini