Attachments

Wakuu natafuta wimbo unaoibwa hivi
"welundu wenda chaali welundu wenda chaali weesaa boie mbeele weesa boie mbeele"
Sijui umeimbwa na makoma lakini jina la wimbo nimelisahau.
Tafadhali msaada wenu
 
wakuu naomba mwenye wimbo wa nimeamini remix wa Prof jay ft jaydee autupie.
 
Mkuu Samahani naomba wimbo Bang Bang jamaa fulani hv Senegal au Nigeria na nyimbo zote fela kuti pls...
 
Kuna wimbo mmoja sijui kaimba Caz T kuna baadhi ya maneno anaimba hivi "Tulipotoka ni mbali ni mbali tuvumiliane sahau yote yaliyopita tugange yajayo"mwenye nao tadhali autupie tuupakue
 
Shukran sana, ingawa nilikuwa nahtaji nyng zaidi.. Hasa za zay b na sister p..

Mwenye nazo ataniwasilishia hapa pamoja na za joslin wa wakali kwanza!
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…