Thanx mkuu,yani Leo nimeenjoy sana nyimbo za huyu jamaa nilikua sijamsikiliza muda mrefu jamaa anachana mbayaaa yani real hip hop
Stay blessed mkuu KIOO tupia zingine
 
Ni wa kiingereza!?
 
Write your reply...asanteni sana wakuu ila bado
1: haturap fa ft kwanza unit
2: acha kulia _ Mike t
3: Homa ya jiji _ mack d ft inspector, balozi & imam abas
4: saa mbaya gk ft o_ten
 
Homa ya Jiji tumekamilika magwiji, tunakamata kijiji, mbishi tunamfunga mkwiji...

Sio mchezo hilo track jamaa waliandika sana mule!!
Write your reply...asanteni sana wakuu ila bado
1: haturap fa ft kwanza unit
2: acha kulia _ Mike t
3: Homa ya jiji _ mack d ft inspector, balozi & imam abas
4: saa mbaya gk ft o_ten
 
Write your reply...asanteni sana wakuu ila bado
1: haturap fa ft kwanza unit
2: acha kulia _ Mike t
3: Homa ya jiji _ mack d ft inspector, balozi & imam abas
4: saa mbaya gk ft o_ten
 

Attachments


Aisee na mie leo naomba niombe wakuu.

Naomba ngoma 2 ya Chivalo_Unanikumbusha na ngoma ya kwanza ya Witness Wa Wakilisha kipindi anajiita Bad_Gear.

Natanguliza shukran. Thanks.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…