Basi saidia wimbo wa KU wa Utaona,Homa ya Jiji tumekamilika magwiji, tunakamata kijiji, mbishi tunamfunga mkwiji...
Sio mchezo hilo track jamaa waliandika sana mule!!
Naomba tupia Renegade ya Jigga na EmDaaaaah huyu jamaa ngoma zake nnazo nyingi sana aisee.Sjui hata naziwekaje zote hapa mkuu.
Jamaa walitisha sanadaaa mkuu umenikumbusha mbali aseee
Kwako @kioo
Shukran mkuuNiambie kiongozi.
Aisee hii Ramadhan imefanya nipotee kidogo hapa jukwaani Wakuu.
Tukipata wasaa tena tutaweka vitu tu msjali wakuu.
Thanks a lot.
Huu ni Uzi Maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.
View attachment 628965