Cheki comment hapo juu,nimei quote post aliotuma huo wimbo,ikishindikana ntakuwekea kesho,sasa hv nipo sehem mtandao wa shida kidogoAiseee.. Nimetiririka na Uzi ila siuoni kabisa. Unaweza ukanitumia tena mkuu?? Utakuwa umenisaidia sana
Pamoja mkuu, ngoja niutafute kwa Mara nyingineCheki comment hapo juu,nimei quote post aliotuma huo wimbo,ikishindikana ntakuwekea kesho,sasa hv nipo sehem mtandao wa shida kidogo
Pamoja mkuu, ngoja niutafute kwa Mara nyingine
Jamani nani kaupata huu wimbo?Wimbo wa Jackson Benty Asante Yesu kwa kuwa u mwema
asante mkuu kama inawezekana hizo za uvc ulizonazo nipe hizo hizo ulizonazo
Wadau mbona ngoma zingine za juzi tu na zipo Google zimejaa kwa kila blog?Naongezea;Nick mbishi where my crown
Tameka , wimbo wa dully sykesHuu ni Uzi Maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.
View attachment 628965
Album au wimbo wowote wa "ZE KILA KITU" Hawa walikua wanabadirisha nyimbo za mbele wanaimba Kwa kiswahili kama Vile Careless Whisper.a
Mack D.. kifo cha Nyani.. UMASIKINI NI BALAA
JO MAKINI FT RAMA DEE - SINA MUDA/SINA TIME (sina time ya kuwa nawe, bora niishi mwenyeweeeh, mwenyeweeeh.)
DOGO HAMIDU - WANYAMWEZI FAMILY FOREVER
NIKIZIPATA - CHALII FLANI HIVI WA SHY TOWN ( nikizipata, aah masela wote watadata, nikizipata hata madem walionitosa watataka wawe wangu)
Mbio za ukingoni sasa sakafuni - temba, daz baba...
Hali halisi - kb ft sumalee
AY FT FID Q - SINA MUDA
Pamoja mzee,kama vipi funguo PM,kuna ishu nataka nikuchekiShukrani Sana mkuu. Tisha Sana!