Cbm crew - my girlfriendWakuu kuna nyimbo naitafuta lakini sijui inaitwaje wala nani aliyeimba inaimbwa hivi mamy usife moyo na yangu hali rizika na machache yaliyotayari kulimic penz lako sipo tayari umasikini na utajiri yote hali
Nimeitafuta sana nyimbo hii ya miaka ya 2010
Umewekwa angalia vizuriWimbo wa Yule jamaa aliimba kichga.. 'Ninamnagani tutaishi duniani mpaka siku tusema buriani@ Masawe alikuepo, manka, na yule Chuwa.. eti chuwa nae alikuepoooo
Natafuta wimbo wa nimeshindwa kuvumilia wa Pauline ZongoNisaidie wimbo wa abdul misambano na raila khatibu ....niwe naweeee hadi milele ....nasema ukweliiii mpenzi ujueee ninavyo kughaaani............
hiyo girlfriend ukiipata nigawie mkuuMkuu kioo naomba zifuatazao
Cbm crew-girlfriend
Watoto wa maghorofani zote
Sawahiyo girlfriend ukiipata nigawie mkuu
Mkuu kioo naomba zifuatazao
Cbm crew-girlfriend
Watoto wa maghorofani zote
Mkuu sijaona na watoto wa maghorofani jeMbona nilishaiweka hapa mkuu.
Mkuu sijaona na watoto wa maghorofani je
Bonge ngoma mzeeWashkaji kuna wimbo wa professor j siujui jina ila uko hv kuna watoto wanaimba kiitikio
(Baba baba baba nione huruma baba nione huruma baba) naiomba tafadhali”
Hakuna nimerudi na hakuna mizinguo tuJaribu kurudi nyuma zipo
Bonge ngoma mzee
Unaitwa TAIFA LA KESHONimeutafuta bila mafanikio asee hata ningeujua jina tu
UmepataSamahani mwenye wimbo mmoja hivi nakumbuka jamaa alikua anaitwa Maleek ngoma inaitwa Sikudhani
"Sikudhani kama ingekuwa hiviiii, sikudhani kama ungenitoka akiliniii........."
BadoUmepata
Nitakutumia mzeeBado