harufumbaya
Member
- Feb 9, 2015
- 34
- 3
Huu ni Uzi wa mwanamember kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.View attachment 628965
Tafuta youtube msanii anaitwa mafumu bilal 'bombenga' ndie alieimba wimbo huu mkuu!Naombe uniwekee wimbo Maya, sijuwi uliimbwa na band gani, ila huu wimbo kuna maneno ya kiluga na kiswahili, kunasehemu anaimba mtu alikua mtumishi wetu leo anakua bwana. Huu wimbo nadhani wameukopi toka kwa waimbaji wa kikongo, na wao wakauimba kwa kiswahili kilichochanganywa na kiluga.
Wenyewe youtube haupatikani, Mafumo yupo na nyimbo zingene ila huu haujawekwa, Bali Maya zilizoimbwa kilingala tu.Tafuta youtube msanii anaitwa mafumu bilal 'bombenga' ndie alieimba wimbo huu mkuu!
Ukiupata nitag mkuuNatafuta sana wimbo wa Maya wa mafumu bilali,mwenye nao auweke au anitumie
Ukiwa na converter easy tuTatizo sio kugoogle youtube ni kudownload mp3
Naomba unisaidie mkuu, " Nani kauona mwaka" ya sikinde
aisee ndugu shukrani sana aisee...nmefurahi sn kuupata
Nilishaupata ila namna yakuweka hapa jamvini,ujuz huo ndo sinaUkiupata nitag mkuu
Chief Rumanyika.Natafta wimbo unaitwa bukoba rap, jamaa simjui jina ila anaimba akielezea alivotoka bukoba kuja dar kutest fani, anaimba kwa rafudhi ya kihaya na anachanganya kiswahili kingereza na kihaya....
Chorus....anaimba hivi...
Izimbwa na tubale, bunazi sijui na wapi amepita mwisho kaja dar kutest life....mweny nao please
sugu-moto chini....sitaki wa youtube maana ni kipande tu kile