Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Naombe uniwekee wimbo Maya, sijuwi uliimbwa na band gani, ila huu wimbo kuna maneno ya kiluga na kiswahili, kunasehemu anaimba mtu alikua mtumishi wetu leo anakua bwana. Huu wimbo nadhani wameukopi toka kwa waimbaji wa kikongo, na wao wakauimba kwa kiswahili kilichochanganywa na kiluga.
Tafuta youtube msanii anaitwa mafumu bilal 'bombenga' ndie alieimba wimbo huu mkuu!
 
Tafuta youtube msanii anaitwa mafumu bilal 'bombenga' ndie alieimba wimbo huu mkuu!
Wenyewe youtube haupatikani, Mafumo yupo na nyimbo zingene ila huu haujawekwa, Bali Maya zilizoimbwa kilingala tu.
 
Kuna wimbo katika album ya ''Machozi'' ya lady jay dee kuna sehemu jamaa anampigia simu jay dee unaitwaje!? Please.
 
Natafuta nyimbo ya (sikinde - kila jumamos/ Wikendi )naitafta huu mwaka wa nane
 
Mimi nina nyimbo(zilipendwa) naitafuta miaka mingi sana siikumbuki jina wala nani kaimba ila nakumbuka maneno yake anayeifahamu naomba anisaidie.naitafuta sana na huwa inapigwa kwenye miziki ya bendi

"kisa hiki jamani cha kusikitisha aahhhh,walinieleza majirani walionilea ohhh" ×2

Hawa majirani walionilea nitawalipa nini eh"
 
Mwenye nyimbo za fundi konde zile za zamani kabla ya kufanyiwa marudio akiwa na mushroom band aziweke hapa
 
Natafta wimbo wa Richard (mdogo wa Tundaman) ~ Mariose aliimba na udeude
 
Kuna mmoja wa kitambo sana sijui ameimba nani!
Ila baadhi ya maneno yanasema
Madaka ya jikoni, mwachie yeye Shemeji
kazi ya kuingilia......
 
Mwenye wimbo wa TNG squad_ like that anisaidie wakuu
 
Natafta wimbo unaitwa bukoba rap, jamaa simjui jina ila anaimba akielezea alivotoka bukoba kuja dar kutest fani, anaimba kwa rafudhi ya kihaya na anachanganya kiswahili kingereza na kihaya....
Chorus....anaimba hivi...
Izimbwa na tubale, bunazi sijui na wapi amepita mwisho kaja dar kutest life....mweny nao please
Chief Rumanyika.
 
Hbr aisee wakuu natafuta snaa nyimbo ya unique sisters zaidi yko na nyingine ya kicongo inaimbwa maya maya maya mayengo km sijakosea nitashkru km nitazipata
 
Back
Top Bottom