Wadau naomba kwa anaeufahamu huo wimbo anisaidie kuupata...
Your browser is not able to display this video.
 

Attachments

  • night night ( 750 X 750 ).mp4
    1.4 MB
[emoji116]
Your browser is not able to display this video.
 
Natafuta wimbo fulani wa gospel, nadhani ni RC na ni mpya kiasi kama sijakosea. Mashairi yake kwenye kiitikio wanaimba ee bwana watupa/watunyeshea mvua....
Uimbaji wake unataka kufanana na wimbo wa mimina neema wa kwaya ya mtakatifu kizito makuburi.
 
Kuna wimbo wa kilugha wa zamani 80s sina hakika ila una mirindimo kama ya ngoma za kihaya na sijui vzuri maneno wala mwimbaji zaidi ya rythm ya wimbo. Mwimbaji ni mwanaume na baadhi ya maneno yana mwelekeo huu hapa.

".....Mborobonde Mborobonde eeeeyaa ainaaina karikela karikuna eeeeyaa ainaaina...."
 

Kuna nyimbo ya dansi iliimbwa kwa lugha ya kihaya ni nzuri sana sijui ni hiyo ilikuwa inapigwa Radio Tanzania (RTD) enzi hizo.
 
Kuna wimbo una maneno baadh "mimi na ww tumetoka mbali toka primary mpk sekondari" umeimbwa na JI tofaut na ule wa kidato kimoja..... una mdundo flan iv wa reggae nisaidien jaman
 
Na tafuta wimbo

WA hello

Jamaa nime msaau Jina ila anaimba

Hellooo, ukiwa mbali una nitesa Hellooo
Hofu na mawazo nime jaza heloo..

Kwenye video alivaa vomiwan Fran anataka kufanan

Nime msaau Jina uyu jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…