wegman
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 1,468
- 2,090
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna nyimbo flan ivi alikuawa akiitumia Gadna G Abash ktk kipindi cha jahazi,
ni longtime kidogo,, anayejua anitap plz
Wagosi wa kaya-Tax driver, asali wa moyo sio remix naomba mwenye nazo
Uzi mzuri mno huu hebu naombeni kwanza Nurueli Mng'alo wa Silva na Edi shegi milima ya kwetu...
Aisee mm naukubali sana wimbo wa awiro wa mbeya moja ya mashairi yaenda ivi
"ndiomana ndiomana.......... ndiomana twinzire.....twinzire wa maaaaama ndiomana twinzire wa baba ndiomana twinzire "
Mwenye nao please help me
Enzi hizo Mziki wa dansi una nguvu kuliko bongo fleva,twanga pepeta wa kizindua album nchi nzima inajua,hit singles nyingi za muziki wa dansi(sasa nikumbeshie mara ya mwisho lini umesikia nyimbo ya dance iliyohit na kuwa gumzo.),enzi izo aly choki supastaa,akawa kila akienda kwenye uzinduzi wa album mpya anaingia na mbwembwe mara kaja na farasi,album nyengine akaja na catapilar,sasa hao kina banza wakatia kionjo hicho kama kijembe cha kisanaa kwa ally choki na twanga.Kuna sehemu mwishoni eti wanaimba “kwenye starehe Tinga Tinga limefikaje??” Sijui walikuwa na maana gani hawa Kina Banza
PNC FEAT. MR BLUE wimbo unaitwa mbona"Watu wanasema nisikufuateee,tena ikibidi nisikukumbuuuke,thamani ya kitu ajuaye mwenye chakee,niacheni chozi linidondoke.Nikikumbuka iyo sura yaaake ...."
Wakuu anayeukumbuka huo wimbo naomba anitajie hata jina la wimbo au aliyenao aniwekee hapa please .
Ni wimbo aliouimba Kwa sauti zilizolangiliwa vizuuuuuurii sana.
Msaada Please,
Aliimba JetmanKuna wimbo ulikua unaimba uyu demu mcheki akipita anatingishatingisha naomba kujua uliimbwa na nani ili niu downlod
Ingawa rohoni nimekwisha, namwomba mola anisaidie, niweze kukusahau kabisa, nipate mwingine kushinda wewe...! Nilikupenda sana oooh mfano wa maua, lakini hupendeki bora sasa uende. Huu wimbo umeimbwa na wakenya fulani hivi
Original wa Western Jazz bahati mbaya niliufuta, nikauacha huu copy yake wa Safari saound,Wanaitwa Western Jazz ndo walioimba huu wimbo
KumbeAliimba Jetman
Usisahau salama shilingi miambili yaweza kukuokoa...Dah ukiupata wa V2 nasonga mbele please nipatie
yapHizo nyimbo mnagoogle kisha mnadanlod
Hizo nyimbo mnagoogle kisha mnadanlod