Huu ni uzi maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.

wimbo ninaoutafuta mimi lyrics zake ni "samahani dada naomba namba yako moja tu, nataka kuongea mimi na we, nataka nikueleze jinsi gani ambavyo mi, moyo unapenda kuwa mimi na we, we dada weeeeee, unanifanya mi nakosa raha, ni we dada wewe, sababu mi nakupenda sana"
nimesahau maneno vizuri, wa zamani sana, jina sikumbuki muimbaji sikumbuki
 
Hii nyimbo ya Ngwair. Dakika moja. Iko Album ya Nge
 
Mwimbaji anaitwa bhudagala, wimbo nimeusahau jina..
 
Kuna ngoma flani hivi chorus kaimba Jay mo sijakusa inaitwaje nimeisaka sana..... Chorus iko hivi

"Mi nakomaa na Wala sijali vile wazushi wanavoshangaa.... Rijali lazima utoke jasho mi nakomaa nakomaa"

Pia nikipata shega tu ya darkmaster
 
Anayeufahamu wimbo unaotumika kama soundtrack kwenye tamthilia ya uzalo.....Nautafuta
 
kuna wimbo

"kila leo napofikiria, pigo gani litaacha historia, awe kiongozi awe rai, ......."

inaongelea mambo ya viongozi kufa, ya zamani.

Nipeni hii pini
 
Wakuu naombeni mtuvanisaidie kuupata wimbo wa GOSPEL wenye maneno haya" Nitalitaja taja jina laako, kila mara nitarefresh, kwenye ukuu wa mbawa zako, nitaenjoy, kwa maana umeniona"""
 
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…