paula deanda - when it was meNautafuta ule wimbo ambao BEAT yake mara nyingi ilikuaga inapigwa kwenye kipindi cha DIVA loveness love cha ALA ZA ROHO,,,, ile beat au mdundo uliokua unatumika kunogesha kipindi cha diva basi nyimbo yake ndo naitafuta
Mwamba usije kuwa class mate wangu hata mie huo wimbo ulipigwa Sana welcome form 1 mi ninao kama una watsap niomp nikutumie
Naupataje mkuu?Uzi wa aina hii upo tayari hapa!
Ninao ila uko kwenye TAPEHabari za jpili wanakikundi naombeni wimbo wa Balaji wimbo unaitwa faraja mi naliaaaa mpaka nashindwa kuvumiliaaaa.
Habari...?mimi natafuta wimbo MASIMANGO umeimbwa na TOT Band (Waziri Sonyo na Banza Stone)M/Mungu awarehemu..
Ha ha ha ha ha sahihi kabisa duuu, fanya utafute huyo msanii ndugu yanguHapana maneno yanasema ,Kunguni na viroboto ni marafiki zaaaaanguuuuu, Chawa na panya tuliishi nyumba moja, ila kwanini usiku mnanisumbuuua... Naaaasikitikaaaaaaaa.....halafu ndio anasema samahani saaana saaamaani saaaaana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kanyimbo hako marehemu bibi mzaa baba alikuwa anakapenda balaa.
Tunamuwekea katika redio yake ya tape , anakaa kibarazani huku anagida mbege au Ihombwa kama alivyokuwa anaiita.
Dah we jamaaaa umenikumbusha mbali sana na haka kanyimbo. Ngoja nitafute jina la msanii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nitafutie wimbo wa bima lee una maneno kama shida na wewe, tabu na wewe, mikosi na wewe.Hakuna nyimbo nayoitafutaga nikaikosa hadi wimbo wa mussa ninao.